Waziri wa TAMISEMI wakatazeni wanao tuchangisha pesa za ujenzi wa shule ndege mnazo panga kununua zinatosha watosha

Waziri wa TAMISEMI wakatazeni wanao tuchangisha pesa za ujenzi wa shule ndege mnazo panga kununua zinatosha watosha

Brightg

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2013
Posts
372
Reaction score
662
Leo nimepigiwa simu eti kamati inaomba nichangie pesa za simenti au matofali ili wafanikishe kujenga vyumba vya madarasa, mimi kama mdau wanahitaji mchango wangu.

Kama mwana JF hata mmoja haja hamasishwa au kufuatwa nyumbani basi subirini ni mkakati wanakuja. Kusema ukweli nimewapa lugha ambayo sio kwa sababu wamenikera hawatumii akili kuhamasisha.

Nina swali Hizi ndege tunazo panga kununua na huu ujenzi wa madarasa hakuna mahusiano au hizo pesa sa ndege haziwezi kujenga madarasa na pesa za ndege tukazitafuta wakati mwingine?
 
Hii ni serikali ya kishetani..... Nasikia wanaanza kujenga termina2 chattel
 
Leo nimepigiwa simu eti kamati inaomba nichangie pesa za simenti au matofali ili wafanikishe kujenga vyumba vya madarasa, mimi kama mdau wanahitaji mchango wangu. Kama mwana JF hata mmoja haja hamasishwa au kufuatwa nyumbani basi subirini ni mkakati wanakuja. Kusema ukweli nimewapa lugha ambayo sio kwa sababu wamenikera hawatumii akili kuhamasisha.

Nina swali Hizi ndege tunazo panga kununua na huu ujenzi wa madarasa hakuna mahusiano au hizo pesa sa ndege haziwezi kujenga madarasa na pesa za ndege tukazitafuta wakati mwingine?
Mie mwenyewe hii kitu imenikera huku kwetu eti wakaitisha kikao cha wazazi halafu kila mzazi achangie pesa ya ujenzi wa madarasa na vyoo vya waalimu.!
Halafu ni lazima.!
Sasa si bora nipeleke mwanangu private nilipe ada kubwa na mtoto afundishwe kuliko kuchangishana michango halafu watoto wanaenda kucheza tu
 
Wakurungenzi wananunua magari ya milioni 200 hadi 400 wakati hakuna vyumba vya madarasa,chumba kimoja inatosha milioni 15 hadi 20 sawa na vyumba 10 hadi 20.
 
Back
Top Bottom