Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ummy hakuoona akiwa waziri ??wachina wamehamisha kabisa vifaa vyao. Je fate ya barabara hiyo ni ipi?
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa, TAKE ACTION PLEASE, TATIZO NI NINI? BASI WAJE WAIRUDISHE KAMA ILIVYOKUWA MAANA NI KERO SANA WALIVYOIACHA
Ana mabasi zaidi ya kumi. V8 kitu gani kwake?Ummy mwenyewee Hana hata hamu tenaa Toka V8 ya uwaziri iache kumfata getini kwakee...
Mimi napita njia hii kwa shughuli zangu........ lakini ni mbaya sanaNyie Watu wa Tanga wavivu wavivu sana barabara zinajengwa kwa wachapakazi 😂😂
Juma aweso ni majiAna mabasi zaidi ya kumi. V8 kitu gani kwake?
Hiyo barabara muhusika hasa Ni JUMAA AWESO.
Mbunge wa pangani......apambanie hiyo bara baraJuma aweso ni maji
Lakini pia Ni mbunge wa hapa Pangani.Juma aweso ni maji
Uko sahihi kabisa. Kweli naye anaweza kuweka msukumoLakini pia Ni mbunge wa hapa Pangani.
Born and bred.
very sad!Roads fund haina hela.wakandarasi wengi tu wamekimbia miradi
Taarifa niiWachina wamehamisha kabisa vifaa vyao. Je fate ya barabara hiyo ni ipi?
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa, take action please, tatizo ni nini? basi waje wairudishe kama ilivyokuwa maana ni kero sana walivyoiacha
Austerity is needed ASAPGovernment coffers are empty.
Hali ni mbaya imagine DMDP ilikuwa ianze April hadi leo kimya.Roads fund haina hela.wakandarasi wengi tu wamekimbia miradi
They don't even know what the word(Austerity) means.Austerity is needed ASAP
Yani wawe serious jamani. Hiyo barabara ni muhimu very starategic. Barabara nyingine muhimu wafikirie kujenga kiwango cha lami ni kutoka king'ori hadi longido na kutoka Sanya juu hadi longido.Wachina wamehamisha kabisa vifaa vyao. Je fate ya barabara hiyo ni ipi?
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa, take action please, tatizo ni nini? basi waje wairudishe kama ilivyokuwa maana ni kero sana walivyoiacha