Waziri wa ulinzi wa Israel akiri kuwa S-300 ya Urusi iliiona na kuishambulia ndegevita ya Israel F-35 (Stealth Fighter🤣🤣) huko Syria

Waziri wa ulinzi wa Israel akiri kuwa S-300 ya Urusi iliiona na kuishambulia ndegevita ya Israel F-35 (Stealth Fighter🤣🤣) huko Syria

Sikirimimimasikini

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2019
Posts
2,926
Reaction score
15,634
Waziri wa Ulinzi wa Israel amekiri kuwa wanajeshi wa Urusi nchini Syria mnamo may 13 kwa mara ya kwanza waliamua kuitageti na kuishambulia ndege vita ya Israe F-35, ile midoli ya Marekani ambayo tumekuwa tukiaminishwa kuwa ni stealth fighter (hazionekani kwenye radar). La kushangaza ni kuwa radar za S-300 (mfumo wa Ulinzi wa anga wa kirusi uliondwa miaka kibao nyuma-mfumo wa zamani) ziliweza kuiona hiyo ndege 'stealth fighter plane' na kisha makombora ya s-300 yakaishambulia ndege hiyo kama kawa.

Kipindi iliposhambuliwa, Israel ilijitia kuficha ikadai kuwa makombora ya S-300 yalishambulia wakati ndege hiyo imeshatoka kwenye eneo la tukio. Sasa wameona waongee kweli ili Putin awaonee huruma asiwashambulie tena huko Syria.

Kwa miaka mingi Israel wamekuwa wakiiomba Urusi isitumie mifumo yake ya S-300 iliyopo Syria kushambulia ndege za Israel huko Syyria. Halafu kuna wapumb2vu fulani humu huwa wanadai kuwa S-300 zinashindwa kushambulia ndege za Israel ziingiazo Syria. Sasa ndio mjue kuwa sio tu kushambulia ndegevita za kawaida, bali hata zile ndegevita mnazodanganyana kuwa ni stealth fighters, F-35, zaweza kuonekana na kuangamizwa na mifumo ya ulinzi ya kawaida ya S-300 achilia mbali S-400.
=======

SmartSelect_20220729-210324_Chrome.jpg
Screenshot_20220729-210422_Chrome.jpg
Screenshot_20220729-210530_Chrome.jpg
 
Huo mfumo ungekuwa imara vile vinu vya nyuklia visingeangamizwa na ndege za Israel miaka michache iliyopita hapo Syria.

Hapo jasusi wa Israel anaplan ya kufanya operation kubwa na anatanguliza kuwasifia ili aje alipue kila kitu ikiwemo hizo S-300 na hata S-400 zikiletewa.
 
Itabidi ukarudie kusoma maana halisi ya stealth. Stealth sio kutoonekana bali ni ile reduced radar cross section (RCS) na ushahidi mwingine wa kuwepo kwa ndege angani mfano umbo, rangi, mawasiliano na joto linalotolewa na injini. Kila ndege inaweza onekana ila utaiona kwa umbali gani, nakumbuka F-35 inakadiriwa na Wamarekani kuwa inaweza onekana na S-400 ikiwa around 50km range. Huo muda S-400 inakuja kuona ishashambuliwa na kuharibiwa mapema sana kuna anti radiation missiles zina range zaidi ya 200km pale USAF.

Taarifa yenyewe inakuambia wameiona ndege ilishaondoka eneo la mashambulizi, yani imeshambulia wakaona airstrike wakajua kuna ndege angani na ndio wakitafuta na kufyatua kombora bila mafanikio. Ni uzembe wa S-300 miaka yote ndege za Israel zinazurula anga la Syria na hamna kitu watafanya kuzuia
 
Taarifa yenyewe inakuambia wameiona ndege ilishaondoka eneo la mashambulizi, yani imeshambulia wakaona airstrike wakajua kuna ndege angani na ndio wakitafuta na kufyatua kombora bila mafanikio. Ni uzembe wa S-300 miaka yote ndege za Israel zinazurula anga la Syria na hamna kitu watafanya kuzuia
Acha uongo
 
Mifumo mingi sana inaona hizi stealth Jets ata kama ni ya zamani, nyingi zikiswitch kwenye low frequency lazma ziione
Tatizo ni kuidungua maana zinatumia larger waveleng na missile haiwezi kulock target yake kuifata ndege
The only way ni kutumia infra red seeking bombs zinazofata joto ambazo ni za kizaman na kuzidifrect ni kaz ndogo

Kama kwenye article yako umesoma zaidi ni kuwa hazikudunguliwa japo s300 ilirusha bomb
 
Na kingine Israel haiombi ruhusa kwa Russia kwamba inaiogopa, Israel is not giving the https://jamii.app/JFUserGuide about Russia. Wanafanya hivyo ili kuepusha escalation zaidi, kwa taarifa yako Israel iliwahi kuwatandika Wasovieti waliokuwa na air base yao wenyewe nchini Misri wakijiamini na taifa lao kubwa wanamsaidia Anwar Saddat.

Ruhusa isipoombwa matokeo yake yatakuwa kama haya ambapo Russia alipoteza ndege na wanajeshi 15 na hakuwa na namna ya kufanya
IMG_20220729_214557.jpg
. Bado Israel inaweza shambulia air defence systems zitakazoishambulia kama ambavyo waliteketeza Pantsir za Syria miaka hii hii ya fujo.

S-300 zishapigwa na Azerbaijan kwenye Nagorno-Karabhak mwaka juzi zije ziishinde Israel. Hata last week Ukraine ilizipiga launchers mbili za S-300
 
Taarifa yenyewe inakuambia wameiona ndege ilishaondoka eneo la mashambulizi, yani imeshambulia wakaona airstrike wakajua kuna ndege angani na ndio wakitafuta na kufyatua kombora bila mafanikio. Ni uzembe wa S-300 miaka yote ndege za Israel zinazurula anga la Syria na hamna kitu watafanya kuzuia
Acha uongo
 
Mifumo mingi sana inaona hizi stealth Jets ata kama ni ya zamani, nyingi zikiswitch kwenye low frequency lazma ziione
Tatizo ni kuidungua maana zinatumia larger waveleng na missile haiwezi kulock target yake kuifata ndege
The only way ni kutumia infra red seeking bombs zinazofata joto ambazo ni za kizaman na kuzidifrect ni kaz ndogo

Kama kwenye article yako umesoma zaidi ni kuwa hazikudunguliwa japo s300 ilirusha bomb
This should not be underrated. Umegusia kitu muhimu sana, kuna surveillance radar na engagement radar. Surveillance radar inaona kabisa kuna kitu angani somewhere labda 60km away ila engagement radar haiwezi establish lock on kwenye missile na guidance ikafanyika. Wavelength ndogo inakuwa na range ndogo na ngumu sana kuitumia kupata pinpoit accuracy.

Ukitumia hizo heat seeking missiles ndio unakuta ndege ina countermeasures kama flares na bado hizo missiles zinataka uwe karibu
 
Waziri wa Ulinzi wa Israel amekiri kuwa wanajeshi wa Urusi nchini Syria mnamo may 13 kwa mara ya kwanza waliamua kuitageti na kuishambulia ndege vita ya Israe F-35, ile midoli ya Marekani ambayo tumekuwa tukiaminishwa kuwa ni stealth fighter (hazionekani kwenye radar). La kushangaza ni kuwa radar za S-300 (mfumo wa Ulinzi wa anga wa kirusi uliondwa miaka kibao nyuma-mfumo wa zamani) ziliweza kuiona hiyo ndege 'stealth fighter plane' na kisha makombora ya s-300 yakaishambulia ndege hiyo kama kawa.

Kipindi iliposhambuliwa, Israel ilijitia kuficha ikadai kuwa makombora ya S-300 yalishambulia wakati ndege hiyo imeshatoka kwenye eneo la tukio. Sasa wameona waongee kweli ili Putin awaonee huruma asiwashambulie tena huko Syria.

Kwa miaka mingi Israel wamekuwa wakiiomba Urusi isitumie mifumo yake ya S-300 iliyopo Syria kushambulia ndege za Israel huko Syyria. Halafu kuna wapumb2vu fulani humu huwa wanadai kuwa S-300 zinashindwa kushambulia ndege za Israel ziingiazo Syria. Sasa ndio mjue kuwa sio tu kushambulia ndegevita za kawaida, bali hata zile ndegevita mnazodanganyana kuwa ni stealth fighters, F-35, zaweza kuonekana na kuangamizwa na mifumo ya ulinzi ya kawaida ya S-300 achilia mbali S-400.
=======

View attachment 2308238View attachment 2308239View attachment 2308240
Mtoa mada punguza mahaba,

Wenzako wanapondwa pondwa na Himars na hayo machuma hayaoni kitu
 
Ukitaka kujua hizo ndege siyo kitu kwenye mitambo hiyo,mwulize US kwa nini alimkatalia Uturuki kununua ndege hizo baada ya kununua s-400 kutoka Russia?
Wakinunua Turky uku wana s300 ina maanisha watafanya testing na kugundua jinsi ya kuzidungua na kuziovercom
Apo ndo US hataki
Anataka vifaa vyake viwe siri kubwa kwa Urusi, ata F15 ya Saudi Arabia ilipopotea waliangaika sana kuitafta mpaka wakagundua ilipo, lengo ni ikidondoka mikononi mwa Urusi watagutuka waka nyuma kiasi gani kulingana na technologia ya mmarekani
F22 ndo kabisaa hawajaitoa ata robo
 
Treni iliyobeba vifaa vya kijeshi vya China imepita katika reli ya mwendo kasi huko Hangzhou (Mkoa wa Zhejiang)-eneo la Kamandi ya Mashariki ya jeshi la China. Kwa sasa haijajulikana vinaenda wapi ila kwa mwelekeo ni Mkoa wa Fujian, ambao uko katika mwelekeo wa Taiwan. https://t.co/toaQSKd24a
Wacha viende tu hao China kama wamechoka kukuza uchumi wao unao chechemea basi wajaribu kuleta choko choko hapo Taiwan watapigwa na kitu kizito
 
Ziara itafanyika na vitisho vitaendelea. Kila mtu ataishi maisha yake
Treni iliyobeba vifaa vya kijeshi vya China imepita katika reli ya mwendo kasi huko Hangzhou (Mkoa wa Zhejiang)-eneo la Kamandi ya Mashariki ya jeshi la China. Kwa sasa haijajulikana vinaenda wapi ila kwa mwelekeo ni Mkoa wa Fujian, ambao uko katika mwelekeo wa Taiwan. https://t.co/toaQSKd24a
 
Ukitaka kujua hizo ndege siyo kitu kwenye mitambo hiyo,mwulize US kwa nini alimkatalia Uturuki kununua ndege hizo baada ya kununua s-400 kutoka Russia?

Hizo ndege hakuna kitu ni makopo tu kwanza zinaanguka zenyewe[emoji23][emoji23][emoji23]. Wanatumia nguvu kubwa sana kuzipromote ila hazina maajabu yyte. US mambo yake ni ya kimchongo sana
 
Back
Top Bottom