Maulaga59
JF-Expert Member
- Feb 1, 2021
- 2,984
- 2,971
Ww ni kilaza hauna unacho jua ,kwani hii ni mara ya kwanza kwa Hamas na Israel kupigana?
Kama ni kuuwa raia mbona hata JWtz inaweza ,ubora wa jeshi uko kwenye medani ya mapambano na sio kuuwa watoto na wanawake.
Pumba wewe, hanas waliwahi kula kipigo wanachokula sasa hivi? Nipe mwaka na takwimu kwa mpukutisho huu ambao hadi dunia nzima inatetema! Umevaa musuli hapo unaongea pumba tu hapa! Nenda kawasaidie ndugu zako huko la sivyo watakwisha wote maana wanadhani vita ni kupigana kwa marungu na mawe!