Waziri wa Ulinzi wa Israel anaomba msaada kwa raia wa Gaza wasaidie kupatikana kwa Mateka

Waziri wa Ulinzi wa Israel anaomba msaada kwa raia wa Gaza wasaidie kupatikana kwa Mateka

Kwanza tambua target Namba Moja ya Israel katika vita hii ni kuwamaliza Hao magaidi . Ndiyo maana unaona IDF inafanya uharibifu maeneo Kila wakipata taarifa kuwa eneo Hilo wapo HAMAS wamejificha . Hilo la mateka ipo special unit Kwa ajili ya kufanya ukombozi , refer ya mateka wa Israel huko Uganda .

Hilo la kutambua mateka wako wapi litafuata baadae , lakini lengo kuu la Israel ni kupambana na hao wahuni .

Hebu Niambie ni taifa Gani limewahi kukaa meza Moja na magaidi na wakajadiliana Kisha kufikia makubaliano. Hao magaidi wanakupa msururu wa matakwa yao na wanataka uyatekeleze wewe ungeweza ?.
Kwa taarifa Yako hao mateka wa kipalestina wengi ni haohao magaidi waliofungwa kwenye magereza ya Israel. Ndio maana [emoji1258][emoji1258] ana slogan yake "no negotiations with the terrorists" usifikiri Hana akiri [emoji23][emoji23][emoji23]
Na US anawanyoosha haswaaaa.
 
Sio raia wote wa Palestina ni magaidi kama Hamas
Sasa kama mnalitambua hilo mbona mna shangilia Israel kuuwa raia hovyo hali yakuwa mnajua kuna raia wasio kuwa na mahusiano na hamas?
 
Kwani Israel ndo taifa la kwanza kupambana na hao unao waita magaidi?

Jeshi la Iraq lilipambana na kundi la IS lenye nguvu mara 5 ya Hamas kwenye mji wa mosuri wenye mamilioni ya watu lakini mwezi mzima wa mapigano mpaka jeshi la Iraq lina iteka mosuri ni watu wasio zaidi 1500 tu tena wengi wao wakiwa wapiganaji wa IS walikuwa wameuawa , lakini leo Israel imesha uwa watu karibia 10,000 na kati yao 8000 ni wanawake na watoto alafu hilo unaliita jeshi? Leo ni wiki nzima wanadai wameizingira gaza lakini mpaka sasa wameshindwa kuingia katikati ya mji[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2].
Si ni nyinyi mlisema Israel haingii Gaza, umebadili gia Tena ?😂😂😂. Anyway Gaza kuchukuliwa na Israel ni suala la muda Kaa Kwa kutulia sheikh ngoma Bado mbichi 😅😅
 
Si ni nyinyi mlisema Israel haingii Gaza, umebadili gia Tena ?[emoji23][emoji23][emoji23]. Anyway Gaza kuchukuliwa na Israel ni suala la muda Kaa Kwa kutulia sheikh ngoma Bado mbichi [emoji28][emoji28]
Ila kubali Jeshi la Israel ni kundi la wahuni tu kumbe hata jwtz tunawamudu [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji3]
 
Sasa kichapo gani ? Lini kuuwa raia hovyo ikawa sifa ya jeshi linalo itwa bora?

Kwenye vita ya dunia Ujerumani ndo nchi iliyo uwa watu wengi lakini mwisho wa vita ndo aliye shindwa vita.

Vita ya Vietnam , Marekani na washirika wake waliuwa mamilioni ya watu lakini mwisho wa siku Marekani aliikimbia Vietnam baada ya kupigwa kipigo cha mbwa koko.

Ubora wa jeshi unaonekana kwenye medani ya vita ba sio kuuwa raia hovyo hovyo.
Marekani hakupigwa vita hiyo unayosema na vietcongs hao. Yeye alienda asijue dhamira ya vita. Watu aliwategemea wapi vitani anawasaidia, kumbe wavietnam wanawasaidia, yaani jamaa wameweka kambi, wanaishi pamoja, marekani akakuta mbona mambo tofauti. Ikabidi aondoke si kujishusha.

Vita zote za germany alizoshiriki tunasema ziliisha in a draw hajawahi ua watu bila sababu.
Hizi vitu zingine maiandike tu mitandaoni kufanya justification.
Stay on point as the thread say.
 
Sasa kama mnalitambua hilo mbona mna shangilia Israel kuuwa raia hovyo hali yakuwa mnajua kuna raia wasio kuwa na mahusiano na hamas?
 

Attachments

  • 0979A015-41F2-43CC-9C8B-A0345CDAD2F4.jpeg
    0979A015-41F2-43CC-9C8B-A0345CDAD2F4.jpeg
    46.8 KB · Views: 1
Marekani hakupigwa vita hiyo unayosema na vietcongs hao. Yeye alienda asijue dhamira ya vita. Watu aliwategemea wapi vitani anawasaidia, kumbe wavietnam wanawasaidia, yaani jamaa wameweka kambi, wanaishi pamoja, marekani akakuta mbona mambo tofauti. Ikabidi aondoke si kujishusha.

Vita zote za germany alizoshiriki tunasema ziliisha in a draw hajawahi ua watu bila sababu.
Hizi vitu zingine maiandike tu mitandaoni kufanya justification.
Stay on point as the thread say.
Agent yellow
 
Sasa kichapo gani ? Lini kuuwa raia hovyo ikawa sifa ya jeshi linalo itwa bora?

Kwenye vita ya dunia Ujerumani ndo nchi iliyo uwa watu wengi lakini mwisho wa vita ndo aliye shindwa vita.

Vita ya Vietnam , Marekani na washirika wake waliuwa mamilioni ya watu lakini mwisho wa siku Marekani aliikimbia Vietnam baada ya kupigwa kipigo cha mbwa koko.

Ubora wa jeshi unaonekana kwenye medani ya vita ba sio kuuwa raia hovyo hovyo.
Mkuu sasa unawapangia wanajeshi mahali pa kupigana vitani??
Adui akivaa kiraia unaua
Adui akijificha nyuma ya watoto na wanawake unaua
Risasi haina macho
NB:MKUU ACHA KUTUPANGA WENGINE WANA TAALUMA UJUE.NI KWELI KUA USA HAKUPIGWA KIPIGO CHA MBWA KOKO VIETNAM BALI ALIJIONDOA.
 
Marekani hakupigwa vita hiyo unayosema na vietcongs hao. Yeye alienda asijue dhamira ya vita. Watu aliwategemea wapi vitani anawasaidia, kumbe wavietnam wanawasaidia, yaani jamaa wameweka kambi, wanaishi pamoja, marekani akakuta mbona mambo tofauti. Ikabidi aondoke si kujishusha.

Vita zote za germany alizoshiriki tunasema ziliisha in a draw hajawahi ua watu bila sababu.
Hizi vitu zingine maiandike tu mitandaoni kufanya justification.
Stay on point as the thread say.
Ww jamaa buana Marekani kapigana vita nchini Vietnam kwa zaidi ya miaka 8 na kapoteza maelfu ya wanajeshi na alipotez maelfu ya ndege sasa alijiondoa kivipi?

Vita ya Vietnam ni historia chungu na ilijaa aibu kwa Marekani.

Kwa hiyo kumbe Ujerumani alikuwa sahihi kuuwa mamilioni ya wayahudi, maana umetuambia kuwa Ujerumani hajawahi kuuwa watu bila sababu?
 
Yuko sahihi kuna watanzania wenzetu wametekwa na Hamas watu wa Gaza wasaidie watanzania wenzetu waachiwe

Kama ni majasusi wauawe haraka, hakuna cha utanzania wala nani, kama ni mossad wauliwe tu. Hamas tekelezeni
 
Wanaukumbi.

Waziri wa Ulinzi wa Israel anaomba msaada kwa raia wa Gaza wawasaidie kupatikana kwa Mateka, naona mambo yamekuwa magumu leo mwezi sasa walisema wanaenda Gaza kuifuta Hamas na kurudi nyumbani na mateka.
“I say to the residents of the Gaza Strip! Those who can contribute to the release of the hostages will be protected, the rest deserve to die ,” former Israeli Defense Minister Benny Gantz said on Israeli television.

Wanaomba bado msaada!!! Narudia tena, wanaomba bado msaada!!!! Wameshauwa raia, watoto, wazee halafu wanaomba msaada kweli!!! Ingelikua inawezekana ndugu zangu waislamu twendeni tukawasaidie ndugu zetu dhidi ya hao mayahudi weupe
 
Mkuu sasa unawapangia wanajeshi mahali pa kupigana vitani??
Adui akivaa kiraia unaua
Adui akijificha nyuma ya watoto na wanawake unaua
Risasi haina macho
NB:MKUU ACHA KUTUPANGA WENGINE WANA TAALUMA UJUE.NI KWELI KUA USA HAKUPIGWA KIPIGO CHA MBWA KOKO VIETNAM BALI ALIJIONDOA.
Kama kila jeshi lingekuwa linafanya linavyo taka basi kusingekuwepo Sheria za vita na wala kusingekuwa na mashitaka ya uharifu wa kivita.

Marekani hakujiondoa bali alikimbia baada ya kupata hasara ya maelfu ya wanajeshi wake kuawa na maelfu ya vifaa vyake vya kijeshi kuharibiwa,na vita ya Vietnam ni vita iliyo ipa hasara kubwa tangu kuhasisiwa kwa taifa hilo.

Kwahiyo Urusi akitangaza kujiondoa Ukraine na majeshi ya Ukraine yateka tena eneo lote la Ukraine utasema Urusi hajashindwa vita bali kajiondoa?😀😀😀😀😀😀
 
Kama kila jeshi lingekuwa linafanya linavyo taka basi kusingekuwepo Sheria za vita na wala kusingekuwa na mashitaka ya uharifu wa kivita.

Marekani hakujiondoa bali alikimbia baada ya kupata hasara ya maelfu ya wanajeshi wake kuawa na maelfu ya vifaa vyake vya kijeshi kuharibiwa,na vita ya Vietnam ni vita iliyo ipa hasara kubwa tangu kuhasisiwa kwa taifa hilo.

Kwahiyo Urusi akitangaza kujiondoa Ukraine na majeshi ya Ukraine yateka tena eneo lote la Ukraine utasema Urusi hajashindwa vita bali kajiondoa?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hamas sio jeshi au ni sawa kwa Hamas kuua raia wema ila sio sw IDF kujibu hivyo hivyo
 
Wanaomba bado msaada!!! Narudia tena, wanaomba bado msaada!!!! Wameshauwa raia, watoto, wazee halafu wanaomba msaada kweli!!! Ingelikua inawezekana ndugu zangu waislamu twendeni tukawasaidie ndugu zetu dhidi ya hao mayahudi weupe
akili yako ndogo kuelewa hiyo kauli , yaan ili usiguswe na dozi bas toa msaada la sivyo , wote wana haki ya kufa
 
Ww jamaa buana Marekani kapigana vita nchini Vietnam kwa zaidi ya miaka 8 na kapoteza maelfu ya wanajeshi na alipotez maelfu ya ndege sasa alijiondoa kivipi?

Vita ya Vietnam ni historia chungu na ilijaa aibu kwa Marekani.

Kwa hiyo kumbe Ujerumani alikuwa sahihi kuuwa mamilioni ya wayahudi, maana umetuambia kuwa Ujerumani hajawahi kuuwa watu bila sababu?
Tafuta sababu ya mjerumani kuuwa wayahudi. Very open reason.
Yaani enzi hizi watu wapuuzi mngekua mnauliwa ningekua jabali kma hitler. At this age vitu vidogo vidogo hvi huvifahamu ni kuzika tu.
 
Mkuu huu leo tena 😂😂😂😂 huu ni UZI WA NGAPI UKIFARIJI KUHUSU KICHAPO KINACHOENDELEA GAZA.......SI WALISEMA WATAIFUTA ISRAEL KWENYE RAMANI YA DUNIA.
😂😂😂 MBONA WANAOMBA CEASE FIRE BAADA YA KICHAPO KUWAKOLEA.

MAMBO MAGUMU KWA YUPI?
YULE ANAEOMBA CEASE FIRE AU YULE ANAETOA KICHAPO.?
MM NAKUSHAURI PROPAGANDA HAZISAIDII SABABU TUMEZIZOEA TOKA 1967.
israeli tanks.jpg
 
Back
Top Bottom