Makwizi Band
JF-Expert Member
- Aug 19, 2024
- 1,535
- 2,565
Binafsi nimejiwekea kukipa muda kila kitu; kuweka akiba ya maneno wakati mwingine ni muhimu sana. As far as I know; Israel and Iran they know each other. Iran haiidharau Israel kama sisi tunavyo fanya hapa wala Israel haiidharau Iran kama baadhi yetu tulivo humu ndani; nina sababu ya kusema hivo; unadhani why Iran inamuhamisha hamisha Ayatollah maeneo ya kuishi kila siku? Why wamemuhoji sana CDF wao and like kapumzishwa kazi yake ya ukuu wa majeshi? Again unadhani why Iran anaendelea kuitumia Lebanon kama shield na haendi mwenyewe front? Ni makosa sana kudhani kwamba Israel anaiogopa hivo Iran wakati ameua watu wake muhimu sana kwenye ardhi yake tena jijini Tehran, zipo habari kwamba hata their former president wao Israel ndio wamemuua kwa kutumia zile simu za analogy, kaua wana sayansi wake wa nuclear pale pale Tehran; unawezaje kumdharau huyu mtu? Again, nipo kinyume sana na wanao idharau Iran kwa Israel, Iran karusha makombora kadhaa jijini Tel avivu (zamani Yafa ) na Israel hajachukua hatua kwa haraka; narudia, Iran na Israel wanajuana in and out. Tujipe muda; huenda bei ya mafuta ikapanda tena yaaniIngekuwa Syria au Gaza imeishambulia Israel mara mbili mfululizo bado wangekuwa na vikao kama vya send off kila siku?
Acha kushikiwa akili fungua ubongo wako kwamba Iran ni mkubwa mno kwa Israel ndio maana unaona kila siku Israel anakuja na mipasho bila vitendo.
Hivi dunia ya leo bado mtu unaamini katika propaganda? Yaani mtu atwangwe mara mbili kipigo kitakatifu halafu asirudishe majibu bado unaaminishwa propaganda dhidi ya ukweli?
Ama kweli maajabu kamwe hayawezi kwisha duniani. Israel na mabwana zake wanaujua moto wa Iran ndio maana wanajadiliana hawafikii mwafaka kwasababu inaweza kuwa zahma kubwa kwa Israel akijaribu kujibu.