Waziri wa ulinzi Yoav Gallant asema baada ya kuipiga Iran dunia itaelewa mchakato wa maandalizi na mafunzo namna ulivofanywa na IDF

Waziri wa ulinzi Yoav Gallant asema baada ya kuipiga Iran dunia itaelewa mchakato wa maandalizi na mafunzo namna ulivofanywa na IDF

Ingekuwa Syria au Gaza imeishambulia Israel mara mbili mfululizo bado wangekuwa na vikao kama vya send off kila siku?
Acha kushikiwa akili fungua ubongo wako kwamba Iran ni mkubwa mno kwa Israel ndio maana unaona kila siku Israel anakuja na mipasho bila vitendo.

Hivi dunia ya leo bado mtu unaamini katika propaganda? Yaani mtu atwangwe mara mbili kipigo kitakatifu halafu asirudishe majibu bado unaaminishwa propaganda dhidi ya ukweli?

Ama kweli maajabu kamwe hayawezi kwisha duniani. Israel na mabwana zake wanaujua moto wa Iran ndio maana wanajadiliana hawafikii mwafaka kwasababu inaweza kuwa zahma kubwa kwa Israel akijaribu kujibu.
Binafsi nimejiwekea kukipa muda kila kitu; kuweka akiba ya maneno wakati mwingine ni muhimu sana. As far as I know; Israel and Iran they know each other. Iran haiidharau Israel kama sisi tunavyo fanya hapa wala Israel haiidharau Iran kama baadhi yetu tulivo humu ndani; nina sababu ya kusema hivo; unadhani why Iran inamuhamisha hamisha Ayatollah maeneo ya kuishi kila siku? Why wamemuhoji sana CDF wao and like kapumzishwa kazi yake ya ukuu wa majeshi? Again unadhani why Iran anaendelea kuitumia Lebanon kama shield na haendi mwenyewe front? Ni makosa sana kudhani kwamba Israel anaiogopa hivo Iran wakati ameua watu wake muhimu sana kwenye ardhi yake tena jijini Tehran, zipo habari kwamba hata their former president wao Israel ndio wamemuua kwa kutumia zile simu za analogy, kaua wana sayansi wake wa nuclear pale pale Tehran; unawezaje kumdharau huyu mtu? Again, nipo kinyume sana na wanao idharau Iran kwa Israel, Iran karusha makombora kadhaa jijini Tel avivu (zamani Yafa ) na Israel hajachukua hatua kwa haraka; narudia, Iran na Israel wanajuana in and out. Tujipe muda; huenda bei ya mafuta ikapanda tena yaani
 
Ndicho ninachokielewa kwa hawa JEWS, kwamba, Iran atalipia gharama tena kubwa!
 
Binafsi nimejiwekea kukipa muda kila kitu; kuweka akiba ya maneno wakati mwingine ni muhimu sana. As far as I know; Israel and Iran they know each other. Iran haiidharau Israel kama sisi tunavyo fanya hapa wala Israel haiidharau Iran kama baadhi yetu tulivo humu ndani; nina sababu ya kusema hivo; unadhani why Iran inamuhamisha hamisha Ayatollah maeneo ya kuishi kila siku? Why wamemuhoji sana CDF wao? Again unadhani why Iran anaendelea kuitumia Lebanon na shield na haendi mwenyewe front? Ni makosa sana kudhani kwamba Israel anaiogopa hivo Iran wakati ameua watu wake muhimu sana kwenye ardhi yake tena jijini Tehran, zipo habari kwamba hata their former president wao Israel ndio wamemuua kwa kutumia zile simu za analogy, kaua wana sayansi wake wa nuclear pale pale Tehran; unawezaje kumdharau huyu mtu? Again, nipo kinyume sana na wanao idharau Iran kwa Israel, Iran karusha makombora kadhaa jijini Telavivu (zamani Yafa ) na Israel hajachukua hatua kwa haraka; narudia, Iran na Israel wanajuana in and out. Tujipe muda
Umenena kiutu-uzima sana. Kongole mkuu. Nimejaribu kulifananisha tukio hili na mchezo unaoitwa chess game. Mchezo huu unachezwa na watu wawili (cf draft game) lakini kwa ma-genius Unaweza kuchezwa hata kwa siku 3+ bila kuisha.
 
Ingekuwa Syria au Gaza imeishambulia Israel mara mbili mfululizo bado wangekuwa na vikao kama vya send off kila siku?
Acha kushikiwa akili fungua ubongo wako kwamba Iran ni mkubwa mno kwa Israel ndio maana unaona kila siku Israel anakuja na mipasho bila vitendo.

Hivi dunia ya leo bado mtu unaamini katika propaganda? Yaani mtu atwangwe mara mbili kipigo kitakatifu halafu asirudishe majibu bado unaaminishwa propaganda dhidi ya ukweli?

Ama kweli maajabu kamwe hayawezi kwisha duniani. Israel na mabwana zake wanaujua moto wa Iran ndio maana wanajadiliana hawafikii mwafaka kwasababu inaweza kuwa zahma kubwa kwa Israel akijaribu kujibu.
Mipasho utajua baadae acha wanalizane na hezbulla
 
Mwamba anajiamini Sana huyu huyu kweli ni waziri wa ulizi Maana anatoa inspiration Kwa jeshi lake
Ni full general huyu! Anaijua bunduki vilivyo. Missiles anazijulia kuliko chai.
 
Ingekuwa Syria au Gaza imeishambulia Israel mara mbili mfululizo bado wangekuwa na vikao kama vya send off kila siku?
Acha kushikiwa akili fungua ubongo wako kwamba Iran ni mkubwa mno kwa Israel ndio maana unaona kila siku Israel anakuja na mipasho bila vitendo.

Hivi dunia ya leo bado mtu unaamini katika propaganda? Yaani mtu atwangwe mara mbili kipigo kitakatifu halafu asirudishe majibu bado unaaminishwa propaganda dhidi ya ukweli?

Ama kweli maajabu kamwe hayawezi kwisha duniani. Israel na mabwana zake wanaujua moto wa Iran ndio maana wanajadiliana hawafikii mwafaka kwasababu inaweza kuwa zahma kubwa kwa Israel akijaribu kujibu.
Ata Iraq watu walisema hivohivo alivotwangwa kimyaaa
 
Israeli tunakusubiria utufurihishe ..
Japo ayatollah ametoa visima vya mafuta kwa USA iliamshawishi Israeli asimpige kipigo kikali
 
Ingekuwa Syria au Gaza imeishambulia Israel mara mbili mfululizo bado wangekuwa na vikao kama vya send off kila siku?
Acha kushikiwa akili fungua ubongo wako kwamba Iran ni mkubwa mno kwa Israel ndio maana unaona kila siku Israel anakuja na mipasho bila vitendo.

Hivi dunia ya leo bado mtu unaamini katika propaganda? Yaani mtu atwangwe mara mbili kipigo kitakatifu halafu asirudishe majibu bado unaaminishwa propaganda dhidi ya ukweli?

Ama kweli maajabu kamwe hayawezi kwisha duniani. Israel na mabwana zake wanaujua moto wa Iran ndio maana wanajadiliana hawafikii mwafaka kwasababu inaweza kuwa zahma kubwa kwa Israel akijaribu kujibu.
Wewe huwa unafuatilia mambo au unasimliwa? Israel imetwangwa mara 2 bila majibu! Unaishi wapi?

Kama ulikuwa umelala usingizi, Iran iliposhambulia Israel kwa makombora rundo, ambayo ni only 20% yalifika anga la Israel na kutunguliwa, mabaki yakimjeruhi binti mmoja,, Israel ilijibu kwa kutwanga mtambo wa ulinzi wa Iran, na Iran ikafyata kimya. Hili shambulio la karibuni, bado wanajiandaa maana Israel huwa hairushi makombora hovyo, yatue nyikanix, kama inavyofanya Iran..
 
Wewe huwa unafuatilia mambo au unasimliwa? Israel imetwangwa mara 2 bila majibu! Unaishi wapi?

Kama ulikuwa umelala usingizi, Iran iliposhambulia Israel kwa makombora rundo, ambayo ni only 20% yalifika anga la Israel na kutunguliwa, mabaki yakimjeruhi binti mmoja,, Israel ilijibu kwa kutwanga mtambo wa ulinzi wa Iran, na Iran ikafyata kimya. Hili shambulio la karibuni, bado wanajiandaa maana Israel huwa hairushi makombora hovyo, yatue nyikanix, kama inavyofanya Iran..
Usitufanye watoto wewe mfia dini hizo habari zako mbona video zipo wazi kabisa zinaonesha mvua ya makombola yanapiga unafikiri kwanini baba yao USA kapeleka mifumo yake ya THAAD (terminal high altitude air defence) kwasababu Israel air defence system prove failure
 
Usitufanye watoto wewe mfia dini hizo habari zako mbona video zipo wazi kabisa zinaonesha mvua ya makombola yanapiga unafikiri kwanini baba yao USA kapeleka mifumo yake ya THAAD (terminal high altitude air defence) kwasababu Israel air defence system prove failure
WEWE PIMBI NGURUWE WA KIHA SUBIRINI MBWA NYIE WAKATI BABA YENU ALLAH YUKO BIZE NA MABIKRA KUZIMU NGOJA TUWANYOOSHE
 
Ingekuwa Syria au Gaza imeishambulia Israel mara mbili mfululizo bado wangekuwa na vikao kama vya send off kila siku?
Acha kushikiwa akili fungua ubongo wako kwamba Iran ni mkubwa mno kwa Israel ndio maana unaona kila siku Israel anakuja na mipasho bila vitendo.

Hivi dunia ya leo bado mtu unaamini katika propaganda? Yaani mtu atwangwe mara mbili kipigo kitakatifu halafu asirudishe majibu bado unaaminishwa propaganda dhidi ya ukweli?

Ama kweli maajabu kamwe hayawezi kwisha duniani. Israel na mabwana zake wanaujua moto wa Iran ndio maana wanajadiliana hawafikii mwafaka kwasababu inaweza kuwa zahma kubwa kwa Israel akijaribu kujibu.
Kibaya zaidi makombora karibu yote yalidondoshwa kwahyo Iran arudi field kujifunza kwa wakubwa
 
Back
Top Bottom