ntamwangah
Senior Member
- Jan 16, 2013
- 164
- 23
Dr,abdallah kigoda,kafariki dunia leo hospitalini appollo nchini india.chanzo itv
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni kwa mujibu wa Taarifa ya Bunge; Waziri wa Viwanda na Biashara, Abdalah Kigoda amefariki leo nchini India alikokuwa amelazwa kwa matibabu.
Balozi Kijazi amethibitisha taarifa hizi na familia imethibitisha kutokea kwa msiba huu.
Apumzike kwa amani
Pengine unatabiriI.L.W.R. Kwa heri comrade kinana, Mmoja kati ya wanasiasa watulivu kabisa nchini. Mungu amekupenda zaidi.