TANZIA Waziri wa Viwanda na Biashara, Abdallah Kigoda amefariki dunia

TANZIA Waziri wa Viwanda na Biashara, Abdallah Kigoda amefariki dunia

Poleni ndugu zetu.Mungu awatie nguvu ya kustahimili kipindi hiki kigumu.RIP Waziri Kigoda.
 
Kwa vile alikua ni mtz mwenzangu RIP.Ila why hivi ktk uchaguzi wa mwaka huu?
 
Aliyekuwa waziri wa viwanda na masoko na mbunge Wa Handeni Dr. Abdallah Kigoda amefariki dunia katika hospitality ya Apollo India. Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi, Amen
 
Serikali walikuwa wana ona aibu mawaziri wawili kufia India wakati tuna hospital zetu hawataki kuziboresha aibu sana

Punguzeni siasa kwenye misiba,hapa duniani wote tutakufa hakuna haja ya kuandika hayo maneno
 
Inawezekana Alishakufa Wakakanusha Makusudi.RIP Our Minister
 
Siku za mwanadamu ni kama maua.Poleni ndugu na familia ya marehemu.Mungu awape nguvu kipindi chote
 
hii ni kwa mujibu wa taarifa ya bunge; waziri wa viwanda na biashara, abdalah kigoda amefariki leo nchini india alikokuwa amelazwa kwa matibabu.

Balozi kijazi amethibitisha taarifa hizi na familia imethibitisha kutokea kwa msiba huu.

Apumzike kwa amani

alazwe pema peponi
 
Back
Top Bottom