TANZIA Waziri wa Viwanda na Biashara, Abdallah Kigoda amefariki dunia

Dr,abdallah kigoda,kafariki dunia leo hospitalini appollo nchini india.chanzo itv
 
U
Tunashukuru kwa taarifa ya mpendwa wetu Mungu akubariki sana.
 
Rip.vp muheshimiwa alikuwa mgombea.?wenye tarifa watujuze.
 
Inna Lillah Wa Innah Iylahi Rajiuun
 
Alikuwa amelazwa katika hospitali ya Apollo India.
Amefariki leo saa kumi jioni!
Source ITV saa mbili usiku
 
RIP mh. Umetangulia tu. Tuko nyuma twaja hata kama twajiona tu wazima kwa sasa!
 
Heh, ilikuja hapa, ikawa sio. Leo kweli, au ndio yale yale tetesi.
 
Alale mahala pema peponi . Amen
 
Pumzika Kwa Amani Mbunge Wangu Wa Handeni.

Msalimie Dk Mohamedi Mhita, Mwambie Mmeaiacha Handeni Ikiwa Katika Shida Kubwa Ya Maji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…