TANZIA Waziri wa zamani, Bakari Mwapachu afariki dunia

Upo sahihi, jina lake kamili ni Harith Bakari Mwapachu. Amewahi kuwa waziri wa iliyokuwa wizara mpya ya usalama wa raia 2005-2008. Pia waziri wa katiba 1995-2005. Wakati wa Mkapa, mzee Mwapachu na JK ndio mawaziri pekee waliohudumu wizara zao kwa miaka 10 mfululizo. Mdogo wake ndio amewahi kuwa balozi France.
 
Apumzike kwa amani,hivi huyo ni Juma Mwapachu au ni Bakari Mwapachu...?
 
Chanzo cha mauti tafadhali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…