Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Hakika hiki ni kizungumkutiView attachment 1700433
Tuendelee kujifukiza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika hiki ni kizungumkutiView attachment 1700433
Tuendelee kujifukiza
Jiheshimu wewe donaliloJe , Deportivo anahusikabkwa kumuwahisha ?
Apumzike kwa amani,hivi huyo ni Juma Mwapachu au ni Bakari Mwapachu...?
Kwa hivyo alikuwa extra......70+umri ulikuwa umisha mpa kisogo alikuwa na 80+
Kila mtu anayefariki pumzi zinakata ama hujui hilo!!?Mwaka huu kila changamoto ni upumuaji, siyo!???
Sawa , ngoja tuwapuuzeKuna wachawi watasema corona. Wapuuzeni
RIP Mwapachu.Waziri wa zamani wa Katiba na Sheria, Balozi Bakari Mwapachu amefariki dunia leo alfajiri Ijumaa Februari 12, 2021 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) alikokuwa akipatiwa matibabu, amesema Andrew Nkuzi msemaji wa familia ya Mwapachu.
View attachment 1700461
============
Waziri wa zamani wa Katiba na Sheria, Balozi Bakari Mwapachu amefariki dunia leo alfajiri Ijumaa Februari 12, 2021 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) alikokuwa akipatiwa matibabu.
Andrew Nkuzi ambaye ni msemaji wa familia ya Mwapachu ameieleza Mwananchi Digital kuwa mwili wa mbunge huyo wa zamani utawasili Tanga leo jioni na utahifadhiwa nyumbani kwake Mchukuuni kata ya Tangasisi.
Amesema mazishi ya kiongozi huyo yatafanyika kesho Jumamosi Februari 12, 2021 kijiji cha Pande Wilaya ya Tanga.
Mwapachu alikuwa Mbunge wa Tanga kuanzia mwaka 2000 hadi 2010 alipomwachia kijiti Omar Nundu (marehemu) na amewahi kushika nafasi mbalimbali za uongozi serikalini katika vipindi tofauti.
Soma pia - The History of Mwapachu family in relation to uhuru struggle
KwakeRIP Mwapachu.
Alikuwa mnyakyusa?
Kwa nini azikwe Tanga.