Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waswahili kwa Uongo mmejaliwa, sijui ni team "saccos"Diportivo la coro...
Acha ushamba au ujinga maandiko yameandikaje kuhusu umri wa Mtu kuishi, umri ulisha enda na magonjwa yakiutuuzima nayo yapo.Baba wa taifa njoo huku uone CCM wamemsukumiza saikatriki kesi Sasa watu wanaisha.
magonjwa ya uzee tu hayo.pumzika kwa amani mzee.
Chanzo cha kifo ni nini mkuu ?T Aliyewahi kuwa Waziri wa Katiba na Sheria wa Tanzania na mbunge wa Tanga mwaka (2000-2010), Balozi Bakari Harith Mwapachu amefariki dunia leo alfajiri Februari 12, 2021, katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alikokuwa akipatiwa matibabu, familia yake imethibitisha.
More to folllow
Cov.....21Chanzo cha kifo ni nini mkuu ?
Watu wako serious na msiba we unaleta Utoko wako Jukwaani??Je, ni changamoto ya upumuaji? Rip Balozi...
ThanksMtoa mada, nadhani iko haja uweke sawa; aliefariki hakuwa kuwa Balozi.
Harrith Bakari Mwapachu aliwahi kuwa Waziri wa Mambo ndani na sio balozi.
Aliewahi kuwa Balozi Ufaransa na baadae katibu mkuu wa East African Communuty ni mdogo wake ambae ni Balozi Juma Mwapachu.
Poleni sana Watanzania, wana Tanga na familia yote wa Mwapachu kwa msiba huu.
Picha hiyo ni ya mdogo wake Balozi Juma Mwapachu,wamefanana sana
Umri mzuri sana wa kufa. Yani hujutii kabisa kufa kwasababu ukizidi kuendelea kuishi ni mateso sana.Mwendo ameumaliza 80+ hamna alichokuwa amebakiza
Huo ubalozi aliupata lini. Jambo usilolijua ni sawa sawa na usiku wa kizaAliefariki ni Balozi Bakari Harith Mwapachu....
Muulize Mbowe mimi siyo Daktari wa Familia ya MwapachuChanzo cha kifo ni nini mkuu ?
Hakuna kitu kama hicho, huwezi kuwa MaCCM usibanwe na kaburi, wamedhulumu na wa naendelea kutudhulumu sana Watanganyika.Poleni wafiwa, Mwenyezi Mungu ampunguzie adhabu za kaburi Mzee Bakari Mwapachu