TANZIA Waziri wa zamani, Bakari Mwapachu afariki dunia

TANZIA Waziri wa zamani, Bakari Mwapachu afariki dunia

Apumzike kwa Amani.

Lakini na huyo msemaji au Mwandishi naomba kuuliza Ubalozi alipata lini
 
Pole nyingi kwa familia ndugu na jamaa katika kipindi hiki kigumu cha majonzi inalilah wa inayilah rajioon.
 
Baba wa taifa njoo huku uone CCM wamemsukumiza saikatriki kesi Sasa watu wanaisha.
Acha ushamba au ujinga maandiko yameandikaje kuhusu umri wa Mtu kuishi, umri ulisha enda na magonjwa yakiutuuzima nayo yapo.
 
magonjwa ya uzee tu hayo.pumzika kwa amani mzee.

Katika zama hizi wenye umri 50+ jihesabuni kuwa (serikali hii na genge lao isipokuwa wao na jamaa zao) wengine wote hamna thamani.

Ndiyo maana watahalalisha vifo vya kila mzee hata kama ni vya ugonjwa wasiopenda kuutamka.
 
T Aliyewahi kuwa Waziri wa Katiba na Sheria wa Tanzania na mbunge wa Tanga mwaka (2000-2010), Balozi Bakari Harith Mwapachu amefariki dunia leo alfajiri Februari 12, 2021, katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alikokuwa akipatiwa matibabu, familia yake imethibitisha.

More to folllow.

B315F83C-5C4E-4AAA-A235-741C21E67964.jpeg
 
T Aliyewahi kuwa Waziri wa Katiba na Sheria wa Tanzania na mbunge wa Tanga mwaka (2000-2010), Balozi Bakari Harith Mwapachu amefariki dunia leo alfajiri Februari 12, 2021, katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alikokuwa akipatiwa matibabu, familia yake imethibitisha.

More to folllow
Chanzo cha kifo ni nini mkuu ?
 
Mtoa mada, nadhani iko haja uweke sawa; aliefariki hakuwa kuwa Balozi.

Harrith Bakari Mwapachu aliwahi kuwa Waziri wa Mambo ndani na sio balozi.

Aliewahi kuwa Balozi Ufaransa na baadae katibu mkuu wa East African Communuty ni mdogo wake ambae ni Balozi Juma Mwapachu.
Poleni sana Watanzania, wana Tanga na familia yote wa Mwapachu kwa msiba huu.
Thanks
 
Kamaliza safari yake. Poleni wafiwa Mungu awape wepesi na nguvu pamoja na faraja wakati huu mgumu mnaopitia.
 
Back
Top Bottom