TANZIA Waziri wa zamani, Bakari Mwapachu afariki dunia

kazi ya deportivo la coruna hiyo duuuh
 
Aliefariki ni Balozi Bakari Harith Mwapachu

Picha imewekwa kimakosa, Bakari alikuwa na style yake ya miaka yote ya kuchana nywele kwa mtindo wa kulalia nyuma, wakati Juma ana style ya kuficha mvi

Aliwahi kuwa Waziri wa Sheria wakati wa Utawala wa Bw.Benjamin Mkapa, akahudumu kama Waziri wa Usalama wa Raia kwny Cabinet ya Kwanza ya Bw.Jakaya Kikwete

Juma ni mdogo wake ambae aliwahi kuwa Tanzania one kwny matokeo ya kidato cha sita miaka ya kati kati ya 1960s, pia akawa Katibu wa Jumuia ya Afrika Mashariki


Hii ni familia kubwa na yenye historia kubwa sana kwny history ya kuanzia harakati za uhuru Baba yako akiwa Mwamba katika miamba ya wakati huo

Allah ampe kauli thaabet Balozi Bakari bin Harith bin Mwapachu
Apumzike kwa amani,hivi huyo ni Juma Mwapachu au ni Bakari Mwapachu...?
 
inna lillah wainna ilayh raajiun


Retired njoo tumzike jirani mwenzetu yan ndio mana lile beach bonaza la kila jumapili la wiki iliyopita halikuepo kumbe ndio alikua mgonjwa
 
RIP Mwapachu.
Alikuwa mnyakyusa?
Kwa nini azikwe Tanga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…