TANZIA Waziri wa zamani, Bakari Mwapachu afariki dunia

mtoa uzi umesema amefariki leo alfajiri tarehe 12feb ilikuwa ijumaa halafu umesema atazikwa kesho jumamosi tarehe 12 feb.Kuna utata hapo ila nadhani ni makosa ya bahati mbaya rekebisha basi
 
Sasa mnategemea raisi awaambie kila siku mvae barakoa ? Mwanzoni huko aliwaonya na kutoa tahadhari,unategemea kila siku awambieni vaeni barakowa na kunawa kwa maji tiririka,
ameshatoa tamko ni wewe na nwele zako nikimaanisha akili. Msitegemee atarudi tena awaambie mvae barakowa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…