Nafikiri katika bandiko kuna hii sentensi, “given the pandemic situation....” inatosha kujibu swali lako.Ni Covid inahusika au ni magonjwa mengine?
Nakumbuka huyu ndie aliesema hata watanzania wakila nyasi ni lazima ndege ya Raisi inunuliwe.
Leo hii yeye na aliekuwa boss wake(Mzee Mkapa) wote hawapo.
Tuna mengi ya kujifunza katika hii dunia.
Poleni wafiwa.
8 Decades is a blessing ana udongo mzuri esp. kwa mtu anayeishi good life!Miaka 81 si haba
Wakati naandika hii comment, maelezo hayo hayakuwepo, ila sasa ni wazi jibu limepatikana.Nafikiri katika bandiko kuna hii sentensi, “given the pandemic situation....” inatosha kujibu swali lako.
Hivi ni mimi tu sijaelewa sababu za kifo au kuna mwingine naye hajaelewaWaziri wa Zamani, Basil Pesambili Mramba amefariki dunia leo agosti 17 akiwa anapatiwa matibabu regency hospital. Mramba alilazwa wiki mbili zilizopita kwa maradhi ya COVID-19.
Waziri wa Zamani, Basil Pesambili Mramba amefariki dunia leo agosti 17 akiwa anapatiwa matibabu regency hospital. Mramba alilazwa wiki mbili zilizopita kwa maradhi ya COVID-19.
Kifo chake kimesababishwa na Mshituko wa Moyo(Cardiac arrest)
Shikamoo mzeeMwana-Umbwe mwenzangu enzi hizo.
RIP
Ipo tena sana, ipo mnoApumzike kwa amani, habari ya kula nyasi ilishapita.
Waziri wa Zamani, Basil Pesambili Mramba amefariki dunia leo agosti 17 akiwa anapatiwa matibabu regency hospital. Mramba alilazwa wiki mbili zilizopita kwa maradhi ya COVID-19.
Kifo chake kimesababishwa na Mshituko wa Moyo(Cardiac arrest)
Mramba aliwahi kuwa Waziri wa fedha, pia Waziri wa viwanda, biashara na masoko
View attachment 1895289
Basil Pesambili Mramba
Born: 15th May, 1940. Departed: 17th August, 2021. With great sadness, the Mramba’s Family hereby announce the passage of our beloved father, Basil Pesambili Mramba; A life so beautifully lived deserves to be beautifully remembered.
Mzee succumbed to illness at the Regency Medical Center earlier this morning, 17th August; 2021. Given the pandemic situation, the family accepts your sympathies and prayers and asks for privacy.
We will receive visits from Family Members ONLY at his residence on Mawenzi Road, Oysterbay. Further information and program will be shared at a later stage.
The Lord has given, and the Lord has taken away; May God rest his soul in eternal peace. Amen.
Godfrey B. Mramba.
View attachment 1895304
R I PKuna taarifa kuwa waziri wa zamani wa fedha Basil Pesambili Mramba amefariki leo asubuhi katika hospitali ya Regency.
Ngoja nifuatilie zaidi!
Familia imethibitisha ni kweli. May His Soul RIP mzee aliyesema "ikibidi sisi wanyonge tutakula nyasi tu ila ni lazima chopper la Rais linunuliwe"
We beautifully remember "kula nyasi"we will never forget that