TANZIA Waziri wa zamani, Basil Pesambili Mramba afariki dunia kwa ugonjwa wa COVID-19

TANZIA Waziri wa zamani, Basil Pesambili Mramba afariki dunia kwa ugonjwa wa COVID-19

Ni Covid inahusika au ni magonjwa mengine?

Nakumbuka huyu ndie aliesema hata watanzania wakila nyasi ni lazima ndege ya Raisi inunuliwe.

Leo hii yeye na aliekuwa boss wake(Mzee Mkapa) wote hawapo.

Tuna mengi ya kujifunza katika hii dunia.

Poleni wafiwa.
Nafikiri katika bandiko kuna hii sentensi, “given the pandemic situation....” inatosha kujibu swali lako.
 
R.I.P ngoja tuendelee kula nyasi..
images.jpg
 
Waziri wa Zamani, Basil Pesambili Mramba amefariki dunia leo agosti 17 akiwa anapatiwa matibabu regency hospital. Mramba alilazwa wiki mbili zilizopita kwa maradhi ya COVID-19.
Waziri wa Zamani, Basil Pesambili Mramba amefariki dunia leo agosti 17 akiwa anapatiwa matibabu regency hospital. Mramba alilazwa wiki mbili zilizopita kwa maradhi ya COVID-19.

Kifo chake kimesababishwa na Mshituko wa Moyo(Cardiac arrest)
Hivi ni mimi tu sijaelewa sababu za kifo au kuna mwingine naye hajaelewa
 
Teknolojia ni ya kuiogopa sana,kabla ya kuzungumza jambo tulitafakali tulizungumzalo.....ila mwendo ameumaliza miaka 81 si hapa,maisha ya jasho,raha na damu ameyapitia
 
Waziri wa Zamani, Basil Pesambili Mramba amefariki dunia leo agosti 17 akiwa anapatiwa matibabu regency hospital. Mramba alilazwa wiki mbili zilizopita kwa maradhi ya COVID-19.

Kifo chake kimesababishwa na Mshituko wa Moyo(Cardiac arrest)

Mramba aliwahi kuwa Waziri wa fedha, pia Waziri wa viwanda, biashara na masoko
View attachment 1895289

Basil Pesambili Mramba

Born: 15th May, 1940. Departed: 17th August, 2021. With great sadness, the Mramba’s Family hereby announce the passage of our beloved father, Basil Pesambili Mramba; A life so beautifully lived deserves to be beautifully remembered.

Mzee succumbed to illness at the Regency Medical Center earlier this morning, 17th August; 2021. Given the pandemic situation, the family accepts your sympathies and prayers and asks for privacy.

We will receive visits from Family Members ONLY at his residence on Mawenzi Road, Oysterbay. Further information and program will be shared at a later stage.

The Lord has given, and the Lord has taken away; May God rest his soul in eternal peace. Amen.

Godfrey B. Mramba.
View attachment 1895304

Apumzike kwa amani Basil Mramba.

Ninakazia hajafa kwa Corona.

Hiyo ni cardiac arrest. Itakuwa hitilafu kwenye mfumo wa umeme wa moyo.

Kwani Prof. Matobolwa anasema je?
 
Corona ni janga la dunia.
tuchukue sana tahadhari haswa wale wanao sumbuliwa na magonjwa sugu kama vile;
1. KISUKARI
2. UKIMWI
3. UGONJWA WA MOYO
4. PRESHA YA KUPANDA
5. TB.
 
Mbingu ipo na kuzimu ipo, mtu baada tu ya kufa ni hukumu, waebrania 9:27, je! Umejiandaaje maisha yako baada ya kufa, moto wa jehannum unatisha, Mali za dunia hiii, vyeo, elimu, na tamaa za duniani zisije zikakutenga na upendo wa Mungu, Yesu anatupenda sana, tumkri yeye na kuishi maisha matakatifu tukiwa duniani!!!
 
Familia imethibitisha ni kweli. May His Soul RIP mzee aliyesema "ikibidi sisi wanyonge tutakula nyasi tu ila ni lazima chopper la Rais linunuliwe"

Mwigulu naye anatuambia tusio iweza/taka TOZO YA UZALENDO tuhamie Burundi!!!!
 
81yrs old, a life well lived. Pole kwa familia, ndugu na marafiki wote.
 
Back
Top Bottom