Waziri Zungu: Mitumba inachafua mazingira

Duu bloo angu [emoji12]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ebu tutolee huo upotoshaji usiyo na tija kwa taifa, unataka kutwambia kuwa nyie ndiyo mliyomsikiliza pekee yenu? Tazama michango ya watu wote mnataka kusema hawana akili?
Wacheni ujjnga wenu wa kuficha pembe la ng'ombe
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tijifunze kuvaa vipya tutakuwa na mawazo mapya.

Mimi namuunga mkono. Mitumba imepitwa na wakati.
 
Umejitahidi kuniqoute kila mara lakini sioni logic yeyote ya quotations zako.
Please be specific,what is wrong?
Is he right or wrong? na kama hayuko sawa nini suluhisho?
Maoni yako yamesimamia wapi ili tujadili kwa kina.?
JF ni sehemu huru ya kujadili ilimradi tusivunje sheria za nchi na wengine wapate kujifunza sio busara kufumbafumba facts.
 
Naona historia ya mitumba huijui.

Ni hivi juzi juzi tu, mwaka jana au juzi mwishoni walitishiwa nyau tu kwa kuzuiwa kwenye mpango wa AGOA wote kasoro Rwanda wakaukunja mkia. Huyo waziri mpya bado hajaelezwa uhalisia wa mambo.

Hizo 'jeans' zinazotengenezwa hapo kwa Mkapa Economic zone watawauzia akina nani?
 
Yaani viongozi wanataka kuendesha wizara na nchi mithili wanavyoendesha nyumba ndogo...!!
Hivi unateuliwa tu hivi unakuja na matamko na vitisho...
Are all these based on a researched information??
Unataka kuzuia mitumba sawa je, una mbinu mbadala za kusitiri utu na biashara za common wananchi?
Shame on you id 1oTs!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…