McRiyckeel
JF-Expert Member
- Jun 21, 2017
- 2,070
- 12,596
Pitia web hii hapaAisee HIV hatuwez kutengeneza kitu kama Alibaba ya kariakoo na wenye maduka wanapata direct connection na wateja na wasafirishaji
inawezekana mkuu ila inahitajika research kidogo tukipata wazoefu kama kaka Mshana Jr wanaweza kutusaidia tukapata pa kuanzia, maana naona zilizopo kuna kitu zinamissAisee HIV hatuwez kutengeneza kitu kama Alibaba ya kariakoo na wenye maduka wanapata direct connection na wateja na wasafirishaji
Waweza weka hapa kitu gani hasa waona kinapungua kwenye zilizopo?inawezekana mkuu ila inahitajika research kidogo tukipata wazoefu kama kaka Mshana Jr wanaweza kutusaidia tukapata pa kuanzia, maana naona zilizopo kuna kitu zinamiss
Bado mifumo ya fedha Bongo haijakaa sawa, na pia usanii still mwingiAisee HIV hatuwez kutengeneza kitu kama Alibaba ya kariakoo na wenye maduka wanapata direct connection na wateja na wasafirishaji
kuna ideas ninazo kweny kilimoKuna project mbili ambazo tunaweza kuzifanya zikaleta tija kwenye jamii:
1. VIDEO LECTURES( O-LEVEL & A-LEVEL PAST PAPERS, NOTES AND ASSIGNMENTS)
2. MARKETPLACE-AGRICULTURE( MKULIMA ANAUZA MAZAO YAO ONLINE, MAWAKALA WANAPOST BEI YA MAZAO KILA MKOA, WATALAAM WANATOA HUDUMA YA ELIMU KUHUSU KILIMO NA UFUGAJI WANACHAMA WANALIPIA).
KAMA WATATOKEA WATU SERIOUS TUKACHAGUA PROJECT MOJA YA KUFANYA MJE PM FOR MEETING AND AGREEMENT.
Jana nimeona TBC1 wanaonesha bei ya mazao nchi nzima, ni kitu poa sana hili wazo nilikuwaga nalo toka zaman sana na nilishatengenezaga system yake niliita masoko. Hii system ilikuwa inaonesha masoko yote nchi nzima kuhusu nafaka na bei zake.
Kwa maboresho zaidi ibad iwe na mawakala nchi nzima wawe wanapakia bei ya mazao na mifugo, kuwe na wataalam wanaotoa elimu ya kulipia kwa wakulima na wafugaji pia wakulima wawe wanaweza kuuza mazao au mifugo online.
Marketplace iwe ina escrow ndani yake ili wamiliki wa mfumo wapate commission kwa kila mauzo yanayofanyika ...
APP IWE NA FEATURE HIZI
1. P2P MARKETPLACE WITH ESCROW SYSTEM(VERIFIED MERCHANT ONLY CAN POST ADS)
2. SUBSCRIPTION CONTENTS( 30DAYS ONLY)
3. MARKET PRICE( AGENT POST PRICE FOR EACH COMMODITIES)
Karibu mkuu wa kazikuna ideas ninazo kweny kilimo
napend kushirik
possible wala sio kitu cha kuwaza.Aisee HIV hatuwez kutengeneza kitu kama Alibaba ya kariakoo na wenye maduka wanapata direct connection na wateja na wasafirishaji
Kukiwa na escrow kwenye system utapel kwisha kazi yake.Bado mifumo ya fedha Bongo haijakaa sawa, na pia usanii still mwingi
Iko vizuri, uza hisa upate mtajiPitia web hii hapa
www.pwaniplatforms.com
bado vitu vichache kufikia huko.....mostly ni capital tu kwaajili ya kuexpand
Unapiga mahesabu lets say unahitaji mtaji wa Tsh 200M,Inakuwaje?
anzisha basi hilo jamboTujaribu sisi tuwe mbegu
Count me inn Kaka anguThanks mwisho huu wa mwezi tutakuwa na kikao kwa wale ambao watakuwa interested.. Wajapan na wachina hata wahindi pia walifanya hivi wakaweza kwanini sisi tusindwe!?
Sahihi Nina hamu Sana kujifunza jambo hapainawezekana mkuu ila inahitajika research kidogo tukipata wazoefu kama kaka Mshana Jr wanaweza kutusaidia tukapata pa kuanzia, maana naona zilizopo kuna kitu zinamiss
Hii inawezekana vip wengine hatujui kitu hebu tupen shulepossible wala sio kitu cha kuwaza.
Kila kitu kipo tayari kilichobaki ni utekelezaji tu. System kama ya alibaba zipo tayari ni sisi ku take action na kuweka mifumo ya kifedha wateja wapate kununua bidhaa online.Hii inawezekana vip wengine hatujui kitu hebu tupen shule