Wazo bunifu: Ma IT wa JF

Wazo bunifu: Ma IT wa JF

Aisee HIV hatuwez kutengeneza kitu kama Alibaba ya kariakoo na wenye maduka wanapata direct connection na wateja na wasafirishaji
Bado mifumo ya fedha Bongo haijakaa sawa, na pia usanii still mwingi
 
Kuna project mbili ambazo tunaweza kuzifanya zikaleta tija kwenye jamii:
1. VIDEO LECTURES( O-LEVEL & A-LEVEL PAST PAPERS, NOTES AND ASSIGNMENTS)

2. MARKETPLACE-AGRICULTURE( MKULIMA ANAUZA MAZAO YAO ONLINE, MAWAKALA WANAPOST BEI YA MAZAO KILA MKOA, WATALAAM WANATOA HUDUMA YA ELIMU KUHUSU KILIMO NA UFUGAJI WANACHAMA WANALIPIA).

KAMA WATATOKEA WATU SERIOUS TUKACHAGUA PROJECT MOJA YA KUFANYA MJE PM FOR MEETING AND AGREEMENT.

Jana nimeona TBC1 wanaonesha bei ya mazao nchi nzima, ni kitu poa sana hili wazo nilikuwaga nalo toka zaman sana na nilishatengenezaga system yake niliita masoko. Hii system ilikuwa inaonesha masoko yote nchi nzima kuhusu nafaka na bei zake.
Kwa maboresho zaidi ibad iwe na mawakala nchi nzima wawe wanapakia bei ya mazao na mifugo, kuwe na wataalam wanaotoa elimu ya kulipia kwa wakulima na wafugaji pia wakulima wawe wanaweza kuuza mazao au mifugo online.

Marketplace iwe ina escrow ndani yake ili wamiliki wa mfumo wapate commission kwa kila mauzo yanayofanyika ...

APP IWE NA FEATURE HIZI
1. P2P MARKETPLACE WITH ESCROW SYSTEM(VERIFIED MERCHANT ONLY CAN POST ADS)
2. SUBSCRIPTION CONTENTS( 30DAYS ONLY)
3. MARKET PRICE( AGENT POST PRICE FOR EACH COMMODITIES)
kuna ideas ninazo kweny kilimo
napend kushirik
 
Inakuwaje?
Unapiga mahesabu lets say unahitaji mtaji wa Tsh 200M,
Gawanya aidha kwa bei unayotaka kuuza kila kipande cha hisa, lets say utauza kwa Tsh 1000 kila Kipande

Mahesabu
Mtaji / Bei ya kipande = Idadi ya Vipande

200 000 000 / 1 000 = 200 000

Hivyo utahitaji kuuza Vipande vya Hisa 200k kupata mtaji wako
Halikadhalika mwenye vipande vingi kwenye gawio la faida atapata fedha kubwa likewise kwenye vote power ya masuala mbalimbali yahusiayo kampuni atakuwa nayo kubwa
 
Back
Top Bottom