Pre GE2025 Wazo Jipya: Sema Mambo 3 CHADEMA wafanye sasa kwa Uchaguzi Mkuu 2025

Pre GE2025 Wazo Jipya: Sema Mambo 3 CHADEMA wafanye sasa kwa Uchaguzi Mkuu 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Joined
Mar 10, 2006
Posts
33,771
Reaction score
41,027
Ukiniuliza mimi ntasema mambo yangu matatu; siyo mageni sana lakini naamini yanaweza kuisadia CHADEMA kujiandaa na uchaguzi mkuu mwakani. Na wewe kama unayakwako yaweke labda katika wastani yatapatikana mambo matatu makubwa.

1. Itangaze mapema kama msimamo wa chama kuwa wagombea wote wa ubunge na Urais mwakani watakuwa ni wale waliowahi kuwa ndani ya CHADEMA SI CHINI ya miaka 2.

2. CHADEMA ianze mchakato wa kuhakikisha sera ya mano a mano. Yaani, kila jimbo lazima liwe na mgombea kama mechi ya mpira vile. Hakuna mahali CCM isimamishe CHADEMA ISIWE NA mtu. Wasiache jimbo hata moja lisiwe na mgombea wao.

3. Waandae mawakala pia kwa kila jimbo na kuwatengenezea APP ya kukusanya matokeo (hata kutumia TELEGRAM NA WHATSAPP). Lakini watenge hela za kuwalipa mawakala na waweke mfumo wa kuwalipa. Hakuna kukopa nguvu kazi ya mashabiki.
 
Ukiniuliza mimi ntasema mambo yangu matatu; siyo mageni sana lakini naamini yanaweza kuisadia CHADEMA kujiandaa na uchaguzi mkuu mwakani. Na wewe kama unayakwako yaweke labda katika wastani yatapatikana mambo matatu makubwa.

1. Itangaze mapema kama msimamo wa chama kuwa wagombea wote wa ubunge na Urais mwakani watakuwa ni wale waliowahi kuwa ndani ya CHADEMA SI CHINI ya miaka 2.

2. CHADEMA ianza mchakato wa kuhakikisha sera ya mano a mano. Yaani, kila jimbo lazima liwe na mgombea kama mechi ya mpira vile. Hakuna mahali CCM isimamishe CHADEMA ISIWE NA mtu. Wasiache jimbo hata moja lisiwe na mgombea wao.

3. Waandae mawakala pia kwa kila jimbo na kuwatengenezea APP ya kukusanya matokeo (hata kutumia TELEGRAM NA WHATSAPP). Lakini watenge hela za kuwalipa mawakala na waweke mfumo wa kuwalipa. Hakuna kukopa nguvu kazi ya mashabiki.
Namba 1 ni muhimu sana ila sijui kama katiba ya Chama inasapoti, Maana Katiba ndio mwongozo namba 1, ila nadhani linazungumzika
 
Ukiniuliza mimi ntasema mambo yangu matatu; siyo mageni sana lakini naamini yanaweza kuisadia CHADEMA kujiandaa na uchaguzi mkuu mwakani. Na wewe kama unayakwako yaweke labda katika wastani yatapatikana mambo matatu makubwa.

1. Itangaze mapema kama msimamo wa chama kuwa wagombea wote wa ubunge na Urais mwakani watakuwa ni wale waliowahi kuwa ndani ya CHADEMA SI CHINI ya miaka 2.

2. CHADEMA ianza mchakato wa kuhakikisha sera ya mano a mano. Yaani, kila jimbo lazima liwe na mgombea kama mechi ya mpira vile. Hakuna mahali CCM isimamishe CHADEMA ISIWE NA mtu. Wasiache jimbo hata moja lisiwe na mgombea wao.

3. Waandae mawakala pia kwa kila jimbo na kuwatengenezea APP ya kukusanya matokeo (hata kutumia TELEGRAM NA WHATSAPP). Lakini watenge hela za kuwalipa mawakala na waweke mfumo wa kuwalipa. Hakuna kukopa nguvu kazi ya mashabiki.
Chadema wanapitia ukata mkali sana wa fedha, tena wa kiwango kibaya zaidi, ukata ambao unaambatana na madeni makubwa kupindukia na yasiyolipika,

na kwahivyo,
sidhani kama watakua tayari kupokea ushauri wala mapendekezo kutoka kwa wadau wake au wanachama wake waandamizi, hasa katika kipindi hiki amabapo,
chadema pia, imegubikwa na migawanyiko ya wazi, utovu wa nidhamu, kutokuheshimia kwa viongozi wake na kutoaminiana kwa mivutano ya namna ya kuongoza chama miongoni mwa waandamizi wake wakuu...

Jambo la maana zaidi kwa chadema kafanya,
ni kuketi chini pamoja, kuondoa tofauti zao juu ya masuala mbalimbali ndani ya chama chao, ili hatimae waibuke na sauti moja, mkakati wa pamoja, mtazamo wa pamoja, sera za pamoja na uelekeo wa pamoja, kuliko ilivyo sasa kwamba kila moja ni kambale, anasema na kuamua atakacho kwa platfom ya Chama, na hakuna wa kumfanya chochote.

Mungu Ibariki Tanzania :BASED:
 
Namba 3 ni muhimu sana lakini inahitaji umakini, ukiacha hujuma zingine lakini Mawakala hao wakijulikana wanaweza hata kuuawa au kusingiziwa chochote na wale watu
 
Ukiniuliza mimi ntasema mambo yangu matatu; siyo mageni sana lakini naamini yanaweza kuisadia CHADEMA kujiandaa na uchaguzi mkuu mwakani. Na wewe kama unayakwako yaweke labda katika wastani yatapatikana mambo matatu makubwa.

1. Itangaze mapema kama msimamo wa chama kuwa wagombea wote wa ubunge na Urais mwakani watakuwa ni wale waliowahi kuwa ndani ya CHADEMA SI CHINI ya miaka 2.

2. CHADEMA ianze mchakato wa kuhakikisha sera ya mano a mano. Yaani, kila jimbo lazima liwe na mgombea kama mechi ya mpira vile. Hakuna mahali CCM isimamishe CHADEMA ISIWE NA mtu. Wasiache jimbo hata moja lisiwe na mgombea wao.

3. Waandae mawakala pia kwa kila jimbo na kuwatengenezea APP ya kukusanya matokeo (hata kutumia TELEGRAM NA WHATSAPP). Lakini watenge hela za kuwalipa mawakala na waweke mfumo wa kuwalipa. Hakuna kukopa nguvu kazi ya mashabiki.

..changamoto nadhani iko ktk uwezo wao wa fedha, na vifaa, kufanya kampeni ya nguvu nchi nzima.

..pia kuwa na chombo cha habari ambacho kiko loyal kwao na kitawatangaza kwa nguvu zilezile zinazotumika kutangaza Ccm.

..jambo lingine wabadilishe ujumbe wao kwa vyombo vya dola. Waache kuvizomea, badala yake wavielimishe, na kuvinasihi, ktk kutenda haki.

..ndani ya vyombo vya dola kuna watu wanapenda haki. Sasa Chadema ielekeze ujumbe kwa kundi hilo.
 
chadema acheni ujanja tulikubaliana hatapa fanyika uchaguzi bila katiba mpya na tume huru ya uchaguzi.

hizi gear za angani hazina ujanja kwa sisi wafuasi wenu.
 
Ukiniuliza mimi ntasema mambo yangu matatu; siyo mageni sana lakini naamini yanaweza kuisadia CHADEMA kujiandaa na uchaguzi mkuu mwakani. Na wewe kama unayakwako yaweke labda katika wastani yatapatikana mambo matatu makubwa.

1. Itangaze mapema kama msimamo wa chama kuwa wagombea wote wa ubunge na Urais mwakani watakuwa ni wale waliowahi kuwa ndani ya CHADEMA SI CHINI ya miaka 2.

2. CHADEMA ianze mchakato wa kuhakikisha sera ya mano a mano. Yaani, kila jimbo lazima liwe na mgombea kama mechi ya mpira vile. Hakuna mahali CCM isimamishe CHADEMA ISIWE NA mtu. Wasiache jimbo hata moja lisiwe na mgombea wao.

3. Waandae mawakala pia kwa kila jimbo na kuwatengenezea APP ya kukusanya matokeo (hata kutumia TELEGRAM NA WHATSAPP). Lakini watenge hela za kuwalipa mawakala na waweke mfumo wa kuwalipa. Hakuna kukopa nguvu kazi ya mashabiki.
Yote uliyopendekeza hapa, kasora hilo la kwanza yalifanywa na CHADEMA kuelekea 2015. Waliunda UKAWA na kila jimbo likawa na mgombea, walitumia wataalamu wa TEHAMA kutoka nje kusaidia mawakala, ila serikali ya CCM ikatumia mabavu.​
 
..changamoto nadhani iko ktk uwezo wao wa fedha, na vifaa, kufanya kampeni ya nguvu nchi nzima.

..pia kuwa na chombo cha habari ambacho kiko loyal kwao na kitawatangaza kwa nguvu zilezile zinazotumika kutangaza Ccm.

..jambo lingine wabadilishe ujumbe wao kwa vyombo vya dola. Waache kuvizomea, badala yake wavielimishe, na kuvinasihi, ktk kutenda haki.

..ndani ya vyombo vya dola kuna watu wanapenda haki. Sasa Chadema ielekeze ujumbe kwa kundi hilo.
CHADEMA before 2015, had enormous resources and clout, but meager political versatility/experience.

CHADEMA post 2020, has enormous political versatility and resilience, but scarce resources and clout.

In a current state of CHADEMA, taking on CCM alone in a general election is akin to courting death. It's simply political suicide.​
 
Back
Top Bottom