Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
Ukiniuliza mimi ntasema mambo yangu matatu; siyo mageni sana lakini naamini yanaweza kuisadia CHADEMA kujiandaa na uchaguzi mkuu mwakani. Na wewe kama unayakwako yaweke labda katika wastani yatapatikana mambo matatu makubwa.
1. Itangaze mapema kama msimamo wa chama kuwa wagombea wote wa ubunge na Urais mwakani watakuwa ni wale waliowahi kuwa ndani ya CHADEMA SI CHINI ya miaka 2.
2. CHADEMA ianze mchakato wa kuhakikisha sera ya mano a mano. Yaani, kila jimbo lazima liwe na mgombea kama mechi ya mpira vile. Hakuna mahali CCM isimamishe CHADEMA ISIWE NA mtu. Wasiache jimbo hata moja lisiwe na mgombea wao.
3. Waandae mawakala pia kwa kila jimbo na kuwatengenezea APP ya kukusanya matokeo (hata kutumia TELEGRAM NA WHATSAPP). Lakini watenge hela za kuwalipa mawakala na waweke mfumo wa kuwalipa. Hakuna kukopa nguvu kazi ya mashabiki.
1. Itangaze mapema kama msimamo wa chama kuwa wagombea wote wa ubunge na Urais mwakani watakuwa ni wale waliowahi kuwa ndani ya CHADEMA SI CHINI ya miaka 2.
2. CHADEMA ianze mchakato wa kuhakikisha sera ya mano a mano. Yaani, kila jimbo lazima liwe na mgombea kama mechi ya mpira vile. Hakuna mahali CCM isimamishe CHADEMA ISIWE NA mtu. Wasiache jimbo hata moja lisiwe na mgombea wao.
3. Waandae mawakala pia kwa kila jimbo na kuwatengenezea APP ya kukusanya matokeo (hata kutumia TELEGRAM NA WHATSAPP). Lakini watenge hela za kuwalipa mawakala na waweke mfumo wa kuwalipa. Hakuna kukopa nguvu kazi ya mashabiki.
