Pre GE2025 Wazo Jipya: Sema Mambo 3 CHADEMA wafanye sasa kwa Uchaguzi Mkuu 2025

Pre GE2025 Wazo Jipya: Sema Mambo 3 CHADEMA wafanye sasa kwa Uchaguzi Mkuu 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
..changamoto nadhani iko ktk uwezo wao wa fedha, na vifaa, kufanya kampeni ya nguvu nchi nzima.

..pia kuwa na chombo cha habari ambacho kiko loyal kwao na kitawatangaza kwa nguvu zilezile zinazotumika kutangaza Ccm.

..jambo lingine wabadilishe ujumbe wao kwa vyombo vya dola. Waache kuvizomea, badala yake wavielimishe, na kuvinasihi, ktk kutenda haki.

..ndani ya vyombo vya dola kuna watu wanapenda haki. Sasa Chadema ielekeze ujumbe kwa kundi hilo.
Hata kama utaielimisha Polisi lakini kila Askari atakayeitendea haki Chadema atafukuzwa kazi au atauawa, chukua haya maneno yangu.

Hivi Wambura au Kingai wasikie Askari anaitendea haki Chadema unadhani itakuwaje?
 
..changamoto nadhani iko ktk uwezo wao wa fedha, na vifaa, kufanya kampeni ya nguvu nchi nzima.

..pia kuwa na chombo cha habari ambacho kiko loyal kwao na kitawatangaza kwa nguvu zilezile zinazotumika kutangaza Ccm.

..jambo lingine wabadilishe ujumbe wao kwa vyombo vya dola. Waache kuvizomea, badala yake wavielimishe, na kuvinasihi, ktk kutenda haki.

..ndani ya vyombo vya dola kuna watu wanapenda haki. Sasa Chadema ielekeze ujumbe kwa kundi hilo.
Kuna moja (wengine wanaweza kuona ni dogo) lakini siyo. i.e. Imefika muda wa mwenyekiti kuachia kiti kwa mtu mwingine. Hili litafanya watanzania wengi kupata morali kwa kuwa na kiongozi mpya ambaye hata kina Msigwa hawawezi kumzushia mambo ya kuzusha. Mbowe ni kiongozi mzuri sana na amefanya mengi mazuri ila sasa hivi amechokwa (hili ni jambo la kawaida kwa kiongozi yoyote anayekaa muda mrefu hata awe mzuri namna gani).
 
Ukiniuliza mimi ntasema mambo yangu matatu; siyo mageni sana lakini naamini yanaweza kuisadia CHADEMA kujiandaa na uchaguzi mkuu mwakani. Na wewe kama unayakwako yaweke labda katika wastani yatapatikana mambo matatu makubwa.

1. Itangaze mapema kama msimamo wa chama kuwa wagombea wote wa ubunge na Urais mwakani watakuwa ni wale waliowahi kuwa ndani ya CHADEMA SI CHINI ya miaka 2.

2. CHADEMA ianze mchakato wa kuhakikisha sera ya mano a mano. Yaani, kila jimbo lazima liwe na mgombea kama mechi ya mpira vile. Hakuna mahali CCM isimamishe CHADEMA ISIWE NA mtu. Wasiache jimbo hata moja lisiwe na mgombea wao.

3. Waandae mawakala pia kwa kila jimbo na kuwatengenezea APP ya kukusanya matokeo (hata kutumia TELEGRAM NA WHATSAPP). Lakini watenge hela za kuwalipa mawakala na waweke mfumo wa kuwalipa. Hakuna kukopa nguvu kazi ya mashabiki.
Ushauri wako ungekuwa na maana iwapo kungekuwa na uchaguzi wa kweli, sio haya maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
 
Ukiniuliza mimi ntasema mambo yangu matatu; siyo mageni sana lakini naamini yanaweza kuisadia CHADEMA kujiandaa na uchaguzi mkuu mwakani. Na wewe kama unayakwako yaweke labda katika wastani yatapatikana mambo matatu makubwa.

1. Itangaze mapema kama msimamo wa chama kuwa wagombea wote wa ubunge na Urais mwakani watakuwa ni wale waliowahi kuwa ndani ya CHADEMA SI CHINI ya miaka 2.

2. CHADEMA ianze mchakato wa kuhakikisha sera ya mano a mano. Yaani, kila jimbo lazima liwe na mgombea kama mechi ya mpira vile. Hakuna mahali CCM isimamishe CHADEMA ISIWE NA mtu. Wasiache jimbo hata moja lisiwe na mgombea wao.

3. Waandae mawakala pia kwa kila jimbo na kuwatengenezea APP ya kukusanya matokeo (hata kutumia TELEGRAM NA WHATSAPP). Lakini watenge hela za kuwalipa mawakala na waweke mfumo wa kuwalipa. Hakuna kukopa nguvu kazi ya mashabiki.
1.chadema wakae pembeni kwa kuwa ccm haitegemei kura za wananchi ili kuingia madarakani,huo ndio uhalisia ata nape aliropoka wazi.
 
Chadema wanapitia ukata mkali sana wa fedha, tena wa kiwango kibaya zaidi, ukata ambao unaambatana na madeni makubwa kupindukia na yasiyolipika,

na kwahivyo,
sidhani kama watakua tayari kupokea ushauri wala mapendekezo kutoka kwa wadau wake au wanachama wake waandamizi, hasa katika kipindi hiki amabapo,
chadema pia, imegubikwa na migawanyiko ya wazi, utovu wa nidhamu, kutokuheshimia kwa viongozi wake na kutoaminiana kwa mivutano ya namna ya kuongoza chama miongoni mwa waandamizi wake wakuu...

Jambo la maana zaidi kwa chadema kafanya,
ni kuketi chini pamoja, kuondoa tofauti zao juu ya masuala mbalimbali ndani ya chama chao, ili hatimae waibuke na sauti moja, mkakati wa pamoja, mtazamo wa pamoja, sera za pamoja na uelekeo wa pamoja, kuliko ilivyo sasa kwamba kila moja ni kambale, anasema na kuamua atakacho kwa platfom ya Chama, na hakuna wa kumfanya chochote.

Mungu Ibariki Tanzania :BASED:
🤣 🤣 🤣
 
CHADEMA before 2015, had enormous resources and clout, but meager political versatility/experience.

CHADEMA post 2020, has enormous political versatility and resilience, but scarce resources and clout.

In a current state of CHADEMA, taking on CCM alone in a general election is akin to courting death. It's simply political suicide.​
🤣 🤣 🤣
 
Nimemuambia hataki kuelewa. Ayatollah akishafanya maamuzi kila jambo linawezekana. Mbona Lowassa aliruhusiwa kugombea 2015 bila hata kamati kuu ya chama kufahamu.

Mbowe is the party, and his words are the law.​
🤣 🤣 🤣
 
Ukiniuliza mimi ntasema mambo yangu matatu; siyo mageni sana lakini naamini yanaweza kuisadia CHADEMA kujiandaa na uchaguzi mkuu mwakani. Na wewe kama unayakwako yaweke labda katika wastani yatapatikana mambo matatu makubwa.

1. Itangaze mapema kama msimamo wa chama kuwa wagombea wote wa ubunge na Urais mwakani watakuwa ni wale waliowahi kuwa ndani ya CHADEMA SI CHINI ya miaka 2.

2. CHADEMA ianze mchakato wa kuhakikisha sera ya mano a mano. Yaani, kila jimbo lazima liwe na mgombea kama mechi ya mpira vile. Hakuna mahali CCM isimamishe CHADEMA ISIWE NA mtu. Wasiache jimbo hata moja lisiwe na mgombea wao.

3. Waandae mawakala pia kwa kila jimbo na kuwatengenezea APP ya kukusanya matokeo (hata kutumia TELEGRAM NA WHATSAPP). Lakini watenge hela za kuwalipa mawakala na waweke mfumo wa kuwalipa. Hakuna kukopa nguvu kazi ya mashabiki.
Unataka tiss waanza kuunsa sheria ya kuzuia app ya whatsapp nchini?
 
Namba 1 ni muhimu sana ila sijui kama katiba ya Chama inasapoti, Maana Katiba ndio mwongozo namba 1, ila nadhani linazungumzika
Still inawezekana kwa sababu sidhani kama kwenye katiba kuna sehemu inayosema kwa mfano "Mgombea wa urais ni Mtanzania yeyote bila kujali amekuwa mwanachama wa CHADEMA kwa muda gani!" Kukiwa na kifungu kinachosema "bila kujali amekaa CHADEMA kwa muda gani, basi mwongozo wa kuweka muda utakuwa batili lakini kama hawajataja muda, chama kinaweza kuweka mwongozo wa uchaguzi.
 
Ukiniuliza mimi ntasema mambo yangu matatu; siyo mageni sana lakini naamini yanaweza kuisadia CHADEMA kujiandaa na uchaguzi mkuu mwakani. Na wewe kama unayakwako yaweke labda katika wastani yatapatikana mambo matatu makubwa.

1. Itangaze mapema kama msimamo wa chama kuwa wagombea wote wa ubunge na Urais mwakani watakuwa ni wale waliowahi kuwa ndani ya CHADEMA SI CHINI ya miaka 2.

2. CHADEMA ianze mchakato wa kuhakikisha sera ya mano a mano. Yaani, kila jimbo lazima liwe na mgombea kama mechi ya mpira vile. Hakuna mahali CCM isimamishe CHADEMA ISIWE NA mtu. Wasiache jimbo hata moja lisiwe na mgombea wao.

3. Waandae mawakala pia kwa kila jimbo na kuwatengenezea APP ya kukusanya matokeo (hata kutumia TELEGRAM NA WHATSAPP). Lakini watenge hela za kuwalipa mawakala na waweke mfumo wa kuwalipa. Hakuna kukopa nguvu kazi ya mashabiki.
Bila kusita kabisa, namba 2 na 3; wasipo fanya hivyo watakuwa siyo watu makini. Haya tulisha yashauri; lakini maajabu hata kwenye huu wa serikali za mitaa hawakuwa tayari kiuweka mtu kila sehemu.
Wanajigamba wanao wanachama milioni 15, au sijui milioni 8; hawa watu wote itashindikana vipi kuwapata wagombea wa nafasi zote?

CHADEMA bado wamechanganyikiwa na ule ulaghai wa "mazungumzo ya maridhiano."

Nami nitaweka mapendezo zaidi baadae, hasa kuhusiana na uchafuzi wa kura unaofanywa na CCM wakati wa uchaguzi.
 
Back
Top Bottom