Pre GE2025 Wazo Jipya: Sema Mambo 3 CHADEMA wafanye sasa kwa Uchaguzi Mkuu 2025

Pre GE2025 Wazo Jipya: Sema Mambo 3 CHADEMA wafanye sasa kwa Uchaguzi Mkuu 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
..Ccm wana ruzuku ya bilioni 3.2 kila mwezi.

..mkiwaona Ccm wamenawiri na kutakata na wako kila mtaa mjue chanzo chake ni mabilioni wanayopata ktk ruzuku.
Mkuu 'Joka', hili la pesa tulisha lizungumzia sana. Sote tunajuwa CHADEMA haiwezi kuwafikia CCM kwa kiasi cha pesa kilichopo.
Lakini hii kamwe haiwezi kuwa sababu ya kutofanya hata yanayo wezekana kwa kiasi hicho kidogo kilichopo.
Kuna mambo ambayo pesa haiwezi kuyanunua toka kwa wananchi kwa kiasi chochote cha pesa CCM walicho nacho. Hiyo ni fursa nzuri kwa CHADEMA kuitumia.

Tatizo kubwa linalo wakabili CHADEMA ni hivi vyombo vya dola vinavyo tumiwa na CCM. Hili linaweza kukomeshwa na wananchi walio pania kukataa upumbavu huo. Hawa wananchi wanahitaji uongozi, na kuunganisha nguvu zao kufanya kazi hiyo.
 
..wangekuwa na kitega uchumi Magufuli angekiharibu.

..upinzani ni kama wameanza upya kutokana na unyama na ukatili uliotokea kati ya 2016 na 2020.
Chadema ilianziashwa mwaka gani na Magufuli alitawalq miaka mingapi?
 
Umesahau kuwa UKAWA iligeuka UKIWA? Ulikuwa ni muungano mbovu zaidi wa vyama vya upinzani kuwahi kutokea Afrika kama siyo duniani.
There's no honour among thieves. The ragtag alliance was doomed from the very beginning.

Alas, from your comment I sense a deep resentment against CHADEMA, and I don't know why.​
 
There's no honour among thieves. The ragtag alliance was doomed from the very beginning.

Alas, from your comment I sense a deep resentment against CHADEMA, and I don't know why.​
Not at all..may be a little disappointment if I were to put it mildly. I like many others supporters of the opposition had great hopes for CHADEMA. Sioni wanatokaje.
 
Not at all..may be a little disappointment if I were to put it mildly. I like many others supporters of the opposition had great hopes for CHADEMA. Sioni wanatokaje.
Why are you pulling punches ?

To help them, bitter truth needs to be rubbed on their faces. The perennial overstay of Mbowe has bled corruption, incompetent and tribal tropes within the party.

First, being desperate he went to bed with the Grand Duke of Ufisadi and gave him a carte blache for Presidential ticket in 2015, shattering hopes and aspirations from thousands of us.

Now, being in desperate mode to resuscitate his embattered business empire, he extended his hand to The Boss Lady, a process which has eroded trust even within the party ranks.

It's about time, we kiss him goodbye, and thank him for his service, relegating him to peripheral positions so as to rebuild confidence.​
 
Chadema ilianziashwa mwaka gani na Magufuli alitawalq miaka mingapi?

..Fatuma Karume alikuwa na kitega uchumi cha jengo la ofisi, Magufuli akapiga bomu.

..Chadema wangekuwa na rasilimali yoyote ya maana Magufuli asingesita kuiharibu.

..hoja ya umri wa Chadema haina mantiki sana kutokana na mazingira ya siasa za Tanzania.

..kwa kifupi nafasi ambayo wako Chadema leo, vyama vya Nccr, na Cuf, viliwahi kuwepo hapo. Kwa maana chama kikuu cha upinzani.

..Vyama vyote vikuu vya upinzani hapa Tanzania vimehujumiwa na kushambuliwa na serikali / dola kwa namna mbalimbali.

..Kwa maoni yangu mashambulizi ya dola dhidi ya vyama vya upinzani yanakatisha tamaa wananchi kujiunga navyo, na yanavidumaza kama sio kuviua vyama hivyo.

..Chadema ilishasambaratishwa kama ilivyotokea kwa Nccr, na Cuf. Swali ni;Je, Chadema ilisambaratishwa ikiwa na hali gani ukilinganisha na hao wengine?

..Kwa maoni yangu Chadema ilisambaratishwa wakati ikiwa na ushawishi mkubwa kuliko ule iliokuwa nao Cuf, au Nccr, wakati wanashughulikiwa.

..Kwa mazingira ya sasa hivi vyama vya upinzani vinaanza safari yao upya. Sasa ushawishi, na mtandao wa Chadema, wa kabla ya Magufuli kuingia madarakani ndio unaowezesha chama hicho kuibuka kwa haraka kuliko vingine.

NB:

..Magufuli alikuwa tofauti na watangulizi wake. Yeye alikuwa na ujasiri kuzidi wenzake ktk ubaya, unyama, na ukatili. Wenzake walifanya kwa kujificha, au aibu. Magufuli na wapambe wake walionyesha fahari ktk ukatili wao, na hawakujali consequences.
 
Chadema watafute wabunge na madiwani 2025. Rais atatoka CCM na atakuwa Mwanaume kijana aliye msafi asiye na kashfa ya kuuza rasilimali za Tanzania na asiye na kashfa ya utekaji.
 
Chadema watafute wabunge na madiwani 2025. Rais atatoka CCM na atakuwa Mwanaume kijana aliye msafi asiye na kashfa ya kuuza rasilimali za Tanzania na asiye na kashfa ya utekaji.
Mama Abduli atakubali?
 
Chadema ilianziashwa mwaka gani na Magufuli alitawalq miaka mingapi?
Kwani mpaka Magufuli anaingia cdm ilikuwa na nguvu kiasi gani boss? Nani aliyekuambia kuharibu kitu kunahitaji muda mrefu? Kujega kitu ndio huhitaji muda mrefu na sio kubomoa.
 
Ukiniuliza mimi ntasema mambo yangu matatu; siyo mageni sana lakini naamini yanaweza kuisadia CHADEMA kujiandaa na uchaguzi mkuu mwakani. Na wewe kama unayakwako yaweke labda katika wastani yatapatikana mambo matatu makubwa.

1. Itangaze mapema kama msimamo wa chama kuwa wagombea wote wa ubunge na Urais mwakani watakuwa ni wale waliowahi kuwa ndani ya CHADEMA SI CHINI ya miaka 2.

2. CHADEMA ianze mchakato wa kuhakikisha sera ya mano a mano. Yaani, kila jimbo lazima liwe na mgombea kama mechi ya mpira vile. Hakuna mahali CCM isimamishe CHADEMA ISIWE NA mtu. Wasiache jimbo hata moja lisiwe na mgombea wao.

3. Waandae mawakala pia kwa kila jimbo na kuwatengenezea APP ya kukusanya matokeo (hata kutumia TELEGRAM NA WHATSAPP). Lakini watenge hela za kuwalipa mawakala na waweke mfumo wa kuwalipa. Hakuna kukopa nguvu kazi ya mashabiki.
Bonge la point
 
There's no honour among thieves. The ragtag alliance was doomed from the very beginning.

Alas, from your comment I sense a deep resentment against CHADEMA, and I don't know why.​
Some actions or lack thereof from CHADEMA evoke such resentments in some instances. This should not be shocking to anyone.
 
Back
Top Bottom