ARv ni biashara kubwa sana duniani, hizi wewe unazopewa bure na serikali , ila serikali yako imeshakulipia , hakuna cha bure dunianiWangeamua kupunguza mtu mweusi wangebana arv tu, simple as that
Na wakisitisha kutoa hizo ARVHizo ARV si ni businesses as usual au?
Wao wenyewe na familia zao wanatibia Ulaya na Marekani wakiungua hata mafua tu pekee, ni ujinga pekeeKuna watu wanatembea kwa afya na wameishi maisha marefu sababu ya Wamarekani. Wapo ambao kila mwezi au wiki kadhaa wanaenda kuchukua dawa za ARVs ili kujiongezea Kinga mwilini na kupiga vita magonjwa ambukizi mbalimbali.
Madawa na tiba hizi zimetoka kwa msaada wa watu wa Marekani (na mimi mmojawapo). Ingekuwa wanataka kutupunguza kwa haraka hakuna pazuri kama pale tupapendapo!! Jinsi masikini wetu wanavyopenda kula na kulana, kulala na kulaliana, kutafuna na kutafuniana; maelfu kama siyo mamilioni ya maskini Hawa wangekuwa wamepumzika ahera madukani siku nyingi.
Tuache ufyatu!! Waacheni wazazi au jamii wanaotaka watoto wao wale chakula cha msaada. Tulikula sisi miaka ya themanini na tunashukuru. Wazazi au jamii wasiotaka kula wasilazimishwe. Wazazi wawakataze watoto kula chakula Nicholas. Lakini kuwanyima watoto na wazazi wengine wasio na tatizo na vyakula hivi ni ufyatu . Tukifika mahali kweli tu tunajitegemea kwa chakula tunaweza kukataa kwa sababu ya kutokujiabisha. Sasa hivi msemo wa wahenga "mwenye njaa hana haramu" una ukweli wake.
Nashauri serikali iache hamaki, itulie na kufikiria tena a more balanced approach. Tusiwe note hamnazo.
Hao viongozi wenyewe wanatibiwa Ulaya na Marekani na wakiiba wanaenda kuficha huko hukoWangeamua kupunguza mtu mweusi wangebana arv tu, simple as that
Internet yenyewe ni ya kwao na kila kituKwahio wewe kuna chakula ukila unakuwa Shoga ? Yaani unaamini kabisa hayo kwamba una element za ushoga ambazo zinakuwa triggered na Chakula ?
Kweli tunahitaji msaada zaidi upstairs....
Vifaa vyote wanatumia vya kutoka Marekani na UlayaWatanzania wapumbavu sana wanaogipa kumalizwa utafikiri wameambiwa wataishi milele
Haijalishi ni business or not. Mtu mweupe akitaka kut wipe, ni suala dogo sana. If almost huduma nyingi tunamtegemea, akiamua kuzitumia against us tuna pa kwenda?ARv ni biashara kubwa sana duniani, hizi wewe unazopewa bure na serikali , ila serikali yako imeshakulipia , hakuna cha bure duniani
Hayo maginjwa yenyewe yametengenezwa na kuletwa na nani kama sio wao? Zinduja muafrikaKuna watu akili zao wanazijua wenyewe.
Madawa mengi ya Cancer, Kifua kikuu na chanjo zote zinatoka hukp. Hizo ndiyo njia rahisi kudhuru watu .... lakini watu wanakubali ili wapone. Kwenye chakula wanajifanya wazalendo wakati watoto wa watu wanakufa na njaa ... inaelekea kuna watu hawajui hali ya utapia mlo kwa watoto wa Tanzania. The statistics are not good.
For the first time nimemdharau Bashe kwa kupoliticize hii issue.
Vifaa vyote wanatumia vya kutoka Marekani na Ulaya
Si tuchukue sample tupime kwenye maabara zetu km tunao uwezo?! 😄Pressure za Mitandaoni zimemchanganya Hadi anajifunga.
Utamfundisha nani na unaandika uzi kusifia msaadaa ! utaja olewa wwNi kweli maana huwa siwezi kufundisha watu wanaopanic hovyo.
Lazima utakua ni pisi kali mi sijaona mwanaume unakaa kusifia kupewa vya bure!!!Ni kweli maana huwa siwezi kufundisha watu wanaopanic hovyo.
Acha matumizi ya shisha dogo utaishia kushobokea mabasha, misaada nchi hii ni fashion. Sasa sijui mihemko ya Nini. Ni wapi nimeandika Uzi wa kusifia misaada? Kama umekosa mabasha huko mtaani kwenu acha kulazimisha mabasha kinguvu huku mitandaoni.Utamfundisha nani na unaandika uzi kusifia msaadaa ! utaja olewa ww
Wanataka idadi yao alioiongelea Eugenics Margareth Sanger ikamilike.Wangeamua kupunguza mtu mweusi wangebana arv tu, simple as that
Misaada ni debt trap au soft policy ndo maana utaletewa condom za msaaa za 1B afu watabeba madini ya 1Trion mSaada ni nyoko!! kataa msaadaMisaada yote ni uhuni tu, kama haituathiri kiafya (sidhani kama ina athari za kiafya) basi ina tuathiri kiuchumi.
Huu msaada wa mchele sijui nini, ukingalia ni serikali ya Marekani inawapa shavu na kuwatafutia masoko wakulima wake. Hakuna cha msaada, ni suala la uchumi zaidi, Marekani akiwa mshindi.