Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo ni theory, bahoji logic. Iko hivi, unatumia electronic devices , madawa, technology asilimia kubwa inatoka kwa nani? Even silaha na military tacticts tumejifunza wapi? Wakitaka kutuwipe kupitia nyanja tunazo wategemea wangesha tumaliza wayyyy back.Wanataka idadi yao alioiongelea Eugenics Margareth Sanger ikamilike.
Hata hivi ARVs za bure ni TRAP kwa Mwenye Akili anaona Wacha Mtu Mweusi ajae kwa asilimia 85% halafu wastopishe uone Mizoga hata wa kuzika watakosekana.
Mzungu hatupendi ila anaipenda Ardhi yetu na Madini yetu.
Ajent Orange iliyomiminywa kwenye Mashamba ya Mchele wa Vietnam athari zake mpaka leo zinaonekana👇Hizo ni theory, bahoji logic. Iko hivi, unatumia electronic devices , madawa, technology asilimia kubwa inatoka kwa nani? Even silaha na military tacticts tumejifunza wapi? Wakitaka kutuwipe kupitia nyanja tunazo wategemea wangesha tumaliza wayyyy back.
Siku muafrika atakapo jitegemea atleast 70%kwenye hizo nyanja ndipo atakomboka otherwise huna namna![]()
Unajua kwanini ilitumika?Ajent Orange iliyomiminywa kwenye Mashamba ya Mchele wa Vietnam athari zake mpaka leo zinaonekana👇
View attachment 2939182
Ilitumika hata pale Vita vilipoisha Ndege za Marekani zilikuwa zinaruka usiku na kumwagilia Mashamba ya so called "Yellow Man" seuze sisi Black People ambao tumepitia kila aina ya Madhila.Unajua kwanini ilitumika?
Binafsi mimi sio misaada ya nchi na nchi tu hata mtu anapokupa vijipesa na misaada ni kama anakutawala ni vigumu kusema hapa (anakuondolea UTU wako) lakini tukija kwenye point husika..., kama wewe huwapi chakula watoto wako na jirani akawapa makombo angalau wasife njaa; wa kulaumiwa ni wewe au jirani ?Misaada yote ni uhuni tu, kama haituathiri kiafya (sidhani kama ina athari za kiafya) basi ina tuathiri kiuchumi.
USA huwa inatoa Ruzuku kwa wakulima wake..., kwahio huwa kunakuwa na surplus hivyo ni bora kutoa misaada na kupata goodwill; ingawa napo huenda ni matumizi ambayo sio mazuri sana ya Kodi za wananchi wao sababu hizo pesa za kuwapa wakulima ruzuku huenda wangefanya vitu sustainable (the whole world is messed up)Huu msaada wa mchele sijui nini, ukingalia ni serikali ya Marekani inawapa shavu na kuwatafutia masoko wakulima wake. Hakuna cha msaada, ni suala la uchumi zaidi, Marekani akiwa mshindi.
Ilitumika hata pale Vita vilipoisha Ndege za Marekani zilikuwa zinaruka usiku na kumwagilia Mashamba ya so called "Yellow Man" seuze sisi Black People ambao tumepitia kila aina ya Madhila.
Tulikula njano iwe leo hii!ni wajinga wachache tu ndio wenye mawazo mgando kama hayo.kwani Marekani akitaka kutumia si ni dakika chache kwa umaskini huu.mbona gaza wanapanga foleni kugombea hicho chakula kwa hiyo wao ni wajinga
Ingia Stormfront jomba uone true colours za hao unaofikiri wanakupenda.Okay nikusaidie jeshi la marekani lililitumia kemikali ya Agent Orange during vietnam war kama dawa ya kuangamiza mimea ili kuondoa nyasi na miti iliyojificha na hivyo kuzuia maadui kujificha. Lengo lilikuwa kufanya maeneo yenye misitu mikubwa kuwa wazi ili kuzuia mashambulizi ya wanamgambo wa Viet Cong.
Walaicha kutumia agent orange 1971, while vietnam war iliisha 1975. So when and how walitumia agent orange after war?
Wapi nimesema wananipenda, hakuna mahali nimesema ni watu safi au hawana madudu.Ingia Stormfront jomba uone true colours za hao unaofikiri wanakupenda.
Mimi pia nawatahadharisha Watanzania wenzangu kuwa makini na Misaada haswa inayolenga Watoto wetu adui yeyote analenga next generation.Wapi nimesema wananipenda, hakuna mahali nimesema ni watu safi au hawana madudu.
Sisemi misaada ni mizuri sana, Well tumekuwa tukipokea misaada since when? Oh since uhuru to date. Ni athari gani tumepata mpaka sasa ambayo imesababishwa direct na misaada?Mimi pia nawatahadharisha Watanzania wenzangu kuwa makini na Misaada haswa inayolenga Watoto wetu adui yeyote analenga next generation.
Huenda uko sahihi kwa kusema kuwa "wangetaka kutuua wangesha tumaliza kwa HIV/UKIMWI". Hata hivyo, unatakiwa uelewe kwamba lengo la hayo magonjwa kuenea si kuua maskini wa Afrika! Hapa ndo watu wengi wanashindwa kuelewa. Hawana mpango wa kuwaua waafrika na hawatakuwa nao hata siku moja kwasababu wananufaika kwa uwepo wao.Kuna watu wanatembea kwa afya na wameishi maisha marefu sababu ya Wamarekani. Wapo ambao kila mwezi au wiki kadhaa wanaenda kuchukua dawa za ARVs ili kujiongezea Kinga mwilini na kupiga vita magonjwa ambukizi mbalimbali.
Madawa na tiba hizi zimetoka kwa msaada wa watu wa Marekani (na mimi mmojawapo). Ingekuwa wanataka kutupunguza kwa haraka hakuna pazuri kama pale tupapendapo!! Jinsi masikini wetu wanavyopenda kula na kulana, kulala na kulaliana, kutafuna na kutafuniana; maelfu kama siyo mamilioni ya maskini Hawa wangekuwa wamepumzika ahera madukani siku nyingi.
Tuache ufyatu!! Waacheni wazazi au jamii wanaotaka watoto wao wale chakula cha msaada. Tulikula sisi miaka ya themanini na tunashukuru. Wazazi au jamii wasiotaka kula wasilazimishwe. Wazazi wawakataze watoto kula chakula Nicholas. Lakini kuwanyima watoto na wazazi wengine wasio na tatizo na vyakula hivi ni ufyatu . Tukifika mahali kweli tu tunajitegemea kwa chakula tunaweza kukataa kwa sababu ya kutokujiabisha. Sasa hivi msemo wa wahenga "mwenye njaa hana haramu" una ukweli wake.
Nashauri serikali iache hamaki, itulie na kufikiria tena a more balanced approach. Tusiwe note hamnazo.
Misaada tunayopokea mingi inakuja kwa njia ya UN lakini pia hiyo kuna mingine imebainika kuwa na mionzi.Sisemi misaada ni mizuri sana, Well tumekuwa tukipokea misaada since when? Oh since uhuru to date. Ni athari gani tumepata mpaka sasa ambayo imesababishwa direct na misaada?
Madhara yapo sema ni madogo tu, nikama ilivyo dawa za uzazi wa mpango, hauwezi kusema hazina madhara, madhara yapo tena makubwa tu lkn nani yumo tayari kuzaa kama sungura? Je watoto wanaozaliwa na mama wa majira unaona wako sawa? Je kuku wetu wa kienyeji na wa kisasa ni sawa? Unaona wana akili sawa?Kuna watu akili zao wanazijua wenyewe.
Madawa mengi ya Cancer, Kifua kikuu na chanjo zote zinatoka hukp. Hizo ndiyo njia rahisi kudhuru watu .... lakini watu wanakubali ili wapone. Kwenye chakula wanajifanya wazalendo wakati watoto wa watu wanakufa na njaa ... inaelekea kuna watu hawajui hali ya utapia mlo kwa watoto wa Tanzania. The statistics are not good.
For the first time nimemdharau Bashe kwa kupoliticize hii issue.
Publication za hizo findings ziko wapi? Na ni taasis ipi ya serikal ili discover na ku publish hizo allegations?Misaada tunayopokea mingi inakuja kwa njia ya UN lakini pia hiyo kuna mingine imebainika kuwa na mionzi.
Kuna NGOs zilibainika kuwapiga Sindano Wasichana za kukinga Tetenas lakini zikabainika kuwa ni za kuwafanya wawe Tasa Sterilisation.
PIP: A priest, president of Human Life International (HLI) based in Maryland, has asked Congress to investigate reports of women in some developing countries unknowingly receiving a tetanus vaccine laced with the anti-fertility drug human chorionic gonadotropin (hCG). If it is true, he wants Congress to publicly condemn the mass vaccinations and to cut off funding to UN agencies and other involved organizations.Publication za hizo findings ziko wapi? Na ni taasis ipi ya serikal ili discover na ku publish hizo allegations?