Wazo Kebehi: Wangetaka Kutuua Wangetuacha na HIV/UKIMWI...

Wazo Kebehi: Wangetaka Kutuua Wangetuacha na HIV/UKIMWI...

Kuna watu wanatembea kwa afya na wameishi maisha marefu sababu ya Wamarekani. Wapo ambao kila mwezi au wiki kadhaa wanaenda kuchukua dawa za ARVs ili kujiongezea Kinga mwilini na kupiga vita magonjwa ambukizi mbalimbali.

Madawa na tiba hizi zimetoka kwa msaada wa watu wa Marekani (na mimi mmojawapo). Ingekuwa wanataka kutupunguza kwa haraka hakuna pazuri kama pale tupapendapo!! Jinsi masikini wetu wanavyopenda kula na kulana, kulala na kulaliana, kutafuna na kutafuniana; maelfu kama siyo mamilioni ya maskini Hawa wangekuwa wamepumzika ahera madukani siku nyingi.

Tuache ufyatu!! Waacheni wazazi au jamii wanaotaka watoto wao wale chakula cha msaada. Tulikula sisi miaka ya themanini na tunashukuru. Wazazi au jamii wasiotaka kula wasilazimishwe. Wazazi wawakataze watoto kula chakula Nicholas. Lakini kuwanyima watoto na wazazi wengine wasio na tatizo na vyakula hivi ni ufyatu . Tukifika mahali kweli tu tunajitegemea kwa chakula tunaweza kukataa kwa sababu ya kutokujiabisha. Sasa hivi msemo wa wahenga "mwenye njaa hana haramu" una ukweli wake.

Nashauri serikali iache hamaki, itulie na kufikiria tena a more balanced approach. Tusiwe wote hamnazo.
Mzeeeh!
Umesahau kuwa nchi hii inajiendesha kulingana na MTUKIO na TAHARUKI?

Muda wa kujiuliza, kutafiti na kulinganisha hatuna mkuu
 
Saa nyingine huwa hata naona aibu baadhi ya mambo, unagomea mchele tani kadhaa. Kisha watoto wa nchi nzima huko mashuleni na hospital wanapewa chanjo kwa hisani uliyekataa mchele wake?
Tusaidiwe kwenye angle nyingine nyingine Ila sio kwenye CHAKULA hapo nasema big NO..

""THERE IS NO FREE LUNCH IN AMERICA""

Hatujafikia huko kusaidiwa Michele na MAFUTA YA ALIZETI

Misaada HIYO ipelekwe GAZA, SUDANI, UKRAINE NA SASAIVI CONGO DRC
 
Hivi maelewano tatizo ni nini.
.......Tatizo ni huo msaada hatujauomba sisi
.....ko mtanzania sio mjinga kupokea kitu ambacho hajaombwa wala kuwa na shida nacho
 
Ukijifanya kutengeneza hiyo Dawa unauwawa unakuwa Targeted na Watu wanaoFund hiyo research yako nao wanakuwa Targeted.
Kwanini uwawe? Kama wataweza kukuua ukiwa unatengeneza dawa ya UKIMWI.
Je, watashindwa kufanya chochote kutudhuru sisi kama wanania?
Mbona hela za misaada huwa hawakatai?😀😀😀😀
 
Wanatengeneza pesa kwa matatizo wanayoanzisha wenyewe. HIV ni case study, walitaka kufanya hivyo kwa covid ila iliwatandika wao kabla ya kutufikia sisi.

It's a business wala hamna kingine, wangetaka kufuta race yetu huenda wangeweza, they're miles away in terms of everything.
 
Kutokujitambua tu
Mie nshaanza kuuza tayari huku, nimeanza na maharage
IMG-20240319-WA0016.jpg
 
Wanatengeneza pesa kwa matatizo wanayoanzisha wenyewe. HIV ni case study, walitaka kufanya hivyo kwa covid ila iliwatandika wao kabla ya kutufikia sisi.

It's a business wala hamna kingine, wangetaka kufuta race yetu huenda wangeweza, they're miles away in terms of everything.
Mpaka sasa Tanzania unahangaika na umeme wa mgao, uhaba wa madawati, uhaba w madrasa, afya bora na maji safi. Tutaweza ligi na mzungu anayetaka kuishi mwezini?
 
Kwanini uwawe? Kama wataweza kukuua ukiwa unatengeneza dawa ya UKIMWI.
Je, watashindwa kufanya chochote kutudhuru sisi kama wanania?
Mbona hela za misaada huwa hawakatai?😀😀😀😀
UKIMWI ni Family Planning Ndugu na Target yao kubwa ni "Sub Sahara" unajua maana ya "Sub Sahara" yaani sisi Negros angalia Data za UKIMWI huku kwetu halafu nenda kwao ukaone.

Hii Mentality ya kupenda vya Dezo na sasa wana Nano technology Mzee usifikiri tunapendwa sana.
 
Wapi mtaala wa beberu unasema CHANJO inasababisha AUTISM?

Mtaala wa BEBERU unasema chanjo is SAFE and EFFECTIVE
Ulichokiandika, akisoma Beberu anacheka sana😀😀😀😀
Huwezi ukawa msomi bila lugha ya Mabeberu😀😀😀😀😀😀
Halafu ukakazia kabisa Autism, is safe and effective😀😀😀😀.
 
Kuna watu wanatembea kwa afya na wameishi maisha marefu sababu ya Wamarekani. Wapo ambao kila mwezi au wiki kadhaa wanaenda kuchukua dawa za ARVs ili kujiongezea Kinga mwilini na kupiga vita magonjwa ambukizi mbalimbali.

Madawa na tiba hizi zimetoka kwa msaada wa watu wa Marekani (na mimi mmojawapo). Ingekuwa wanataka kutupunguza kwa haraka hakuna pazuri kama pale tupapendapo!! Jinsi masikini wetu wanavyopenda kula na kulana, kulala na kulaliana, kutafuna na kutafuniana; maelfu kama siyo mamilioni ya maskini Hawa wangekuwa wamepumzika ahera madukani siku nyingi.

Tuache ufyatu!! Waacheni wazazi au jamii wanaotaka watoto wao wale chakula cha msaada. Tulikula sisi miaka ya themanini na tunashukuru. Wazazi au jamii wasiotaka kula wasilazimishwe. Wazazi wawakataze watoto kula chakula Nicholas. Lakini kuwanyima watoto na wazazi wengine wasio na tatizo na vyakula hivi ni ufyatu . Tukifika mahali kweli tu tunajitegemea kwa chakula tunaweza kukataa kwa sababu ya kutokujiabisha. Sasa hivi msemo wa wahenga "mwenye njaa hana haramu" una ukweli wake.

Nashauri serikali iache hamaki, itulie na kufikiria tena a more balanced approach. Tusiwe wote hamnazo.
Umbumbumbu tu! Waziri kAAMUA KUTEMBELE UMBUMBUMBU WETU!
1.P2 zinatoka Pawaga?.
2. Kondom zinatoka kondoa.?
3. Lady Pepeta zinatoka Kamachumu?
4. Coca zinatoka Kishumundu?
5. chanjo zote za watoto za matone na sindano zinatoka Tabora?
6. KFC , PIZZA HUT wanatengeneza kuku na pizza kwa fomula ya uru kishumundu?
 
Ulichokiandika, akisoma Beberu anacheka sana😀😀😀😀
Huwezi ukawa msomi bila lugha ya Mabeberu😀😀😀😀😀😀
Halafu ukakazia kabisa Autism, is safe and effective😀😀😀😀.
Hakuna lolote. Unajishebedua tu ila ujumbe umefika kikamilifu.
 
Back
Top Bottom