Wazo Kebehi: Wangetaka Kutuua Wangetuacha na HIV/UKIMWI...

Wazo Kebehi: Wangetaka Kutuua Wangetuacha na HIV/UKIMWI...

PIP: A priest, president of Human Life International (HLI) based in Maryland, has asked Congress to investigate reports of women in some developing countries unknowingly receiving a tetanus vaccine laced with the anti-fertility drug human chorionic gonadotropin (hCG). If it is true, he wants Congress to publicly condemn the mass vaccinations and to cut off funding to UN agencies and other involved organizations.
Bumea ask for goverment publication. Hiyo ni random post. Na ninapo sema goverment, gov of tanzania na taasis zake zinazohusika
 
Bumea ask for goverment publication. Hiyo ni random post. Na ninapo sema goverment, gov of tanzania na taasis zake zinazohusika
Open Access Library Journal > Vol.4 No.10, October 2017
HCG Found in WHO Tetanus Vaccine in Kenya Raises Concern in the Developing World
John W. Oller1, Christopher A. Shaw2,3, Lucija Tomljenovic2,3, Stephen K. Karanja4, Wahome Ngare4, Felicia M. Clement5, Jamie Ryan Pillette5
1Communicative Disorders, University of Louisiana, Lafayette, USA.
2Ophthalmology and Visual Sciences, Graduate Program in Experimental Medicine, University of British Columbia, Vancouver, Canada.
3Neural Dynamics Research Group, Vancouver, Canada.
4Kenya Catholic Doctors Association, Nairobi, Kenya.
5University of Louisiana, Lafayette, USA.
DOI: 10.4236/oalib.1103937 PDF HTML XML 10,931 Downloads 154,059 Views Citations
Abstract
In 1993, WHO announced a “birth-control vaccine” for “family planning”. Published research shows that by 1976 WHO researchers had conjugated tetanus toxoid (TT) with human chorionic gonadotropin (hCG) producing a “birth-control” vaccine. Conjugating TT with hCG causes pregnancy hormones to be attacked by the immune system. Expected results are abortions in females already pregnant and/or infertility in recipients not yet impregnated. Repeated inoculations prolong infertility. Currently WHO researchers are working on more potent anti-fertility vaccines using recombinant DNA. WHO publications show a long-range purpose to reduce population growth in unstable “less developed countries”. By November 1993 Catholic publications appeared saying an abortifacient vaccine was being used as a tetanus prophylactic. In November 2014, the Catholic Church asserted that such a program was underway in Kenya. Three independent Nairobi accredited biochemistry laboratories tested samples from vials of the WHO tetanus vaccine being used in March 2014 and found hCG where none should be present. In October 2014, 6 additional vials were obtained by Catholic doctors and were tested in 6 accredited laboratories. Again, hCG was found in half the samples. Subsequently, Nairobi’s AgriQ Quest laboratory, in two sets of analyses, again found hCG in the same vaccine vials that tested positive earlier but found no hCG in 52 samples alleged by the WHO to be vials of the vaccine used in the Kenya campaign 40 with the same identifying batch numbers as the vials that tested positive for hCG. Given that hCG was found in at least half the WHO vaccine samples known by the doctors involved in administering the vaccines to have been used in Kenya, our opinion is that the Kenya “anti-tetanus” campaign was reasonably called into question by the Kenya Catholic Doctors Association as a front for population growth reduction.
 
Kwakweli ni uwendawazimu kabisa ule.

Wakitutaka ni sekunde tu...hata hizi soda nyingi formula na ingredients zake si zinatoka Merekani jamani?
Sisi tunazihakiki kwa vipimo kutoka Namanyere Sumbawanga?
Labda tunazihakiki kutoka mwazye na Kaengesa Sumbawanga 😂🙏
 
Kwakweli ni uwendawazimu kabisa ule.

Wakitutaka ni sekunde tu...hata hizi soda nyingi formula na ingredients zake si zinatoka Merekani jamani?
Sisi tunazihakiki kwa vipimo kutoka Namanyere Sumbawanga?
Ogopa sana cha DEZO ndugu.
 
mjomba ni bora kufa na ukwimi lkn una sifa ya dume la mbegu kwanza hakuna wakubaki milele kuliko kuletewa michele itakayopelekea vijana kuwa mchelemchele
Wakitaka kufanya hivyo ni dk 1 na wewe unakuwa kwenye list.
Unakataa mchele ila unatumia madawa ya Marekani.😀😀😀😀
Waziri na jopo lake wanaenda kuzindua kisima cha milion 30 wakiwa na magari yenye thamani ya milion 500😀😀😀 na watu wanapiga makofi na kuwapongeza.
Simba kafunga magoli 6 kila goli ni milion 5 jumla milion 30😀😀😀😀
Ni kitu gani hapa Tanzania, hao wamerekani wakiamua kukifanya mtawazuia? Nchi yenyewe inanuka umasikini yaani watu wanataka kwenda kuishi mwezini, wafrika wanahangaika na maji
 
Bashe kasema waje wanunue Mchele wa hapa Tanzania halafu watupe hivyo virutubisho tuvifanyie utafiti ndio tuwaruhusu Wamixi.
Waje wanunue mchele hapa umeambiwa hao ni ndugu zako ? Kwamba na watupe virutubisho tufanye utafiti alafu tuwaambi waje wamix ? Kwanini tusifanyie utafiti huo mzigo uliokuja na kama una madhara tuwashitaki WHO na organizations zote kubwa Duniani ?
Huyu Waziri yuko Active na anaona mbali.
Yaani unamsifia kabisa kwamba yupo active ?!!!! Hivi wangefanya kazi zao hata kungekuwa kuna uhitaji wa msaada wowote in the first place ?!!!

Kazi yake pale sio kupiga porojo zisizoisha daily alete results kusiwepo na uhitaji, sio kuanza kutafuta uchawi na na invisible enemies wakati adui wa kwanza ni their lack of performance....
 
Kuna watu wanatembea kwa afya na wameishi maisha marefu sababu ya Wamarekani. Wapo ambao kila mwezi au wiki kadhaa wanaenda kuchukua dawa za ARVs ili kujiongezea Kinga mwilini na kupiga vita magonjwa ambukizi mbalimbali.

Madawa na tiba hizi zimetoka kwa msaada wa watu wa Marekani (na mimi mmojawapo). Ingekuwa wanataka kutupunguza kwa haraka hakuna pazuri kama pale tupapendapo!! Jinsi masikini wetu wanavyopenda kula na kulana, kulala na kulaliana, kutafuna na kutafuniana; maelfu kama siyo mamilioni ya maskini Hawa wangekuwa wamepumzika ahera madukani siku nyingi.

Tuache ufyatu!! Waacheni wazazi au jamii wanaotaka watoto wao wale chakula cha msaada. Tulikula sisi miaka ya themanini na tunashukuru. Wazazi au jamii wasiotaka kula wasilazimishwe. Wazazi wawakataze watoto kula chakula Nicholas. Lakini kuwanyima watoto na wazazi wengine wasio na tatizo na vyakula hivi ni ufyatu . Tukifika mahali kweli tu tunajitegemea kwa chakula tunaweza kukataa kwa sababu ya kutokujiabisha. Sasa hivi msemo wa wahenga "mwenye njaa hana haramu" una ukweli wake.

Nashauri serikali iache hamaki, itulie na kufikiria tena a more balanced approach. Tusiwe note hamnazo.
Mkuu na hapa umechemsha tena. Kujustfy msaada wa chakula cha USDA kwa kuwa tunapokea msaada wa ARVs.

Kwanza kumbuka HIV/ AIDS ni ugonjwa uliotengenezwa maabara kupitia nyani na kisha kuwaambukiza bunadamu.

Pili HIV/ AIDS ni biashara ya Big Pharma ambayo kamwe hawatakubali iishe. Kama wametengeneza dawa zinazofubaza (kufifisha) virusi vya UKIMWI, unadhani wanashindwa kutengeneza dawa za kuua virusi hivyo?

UKIMWI na Saratani lazima viendelee kuwapo ili makampuni yao yaendelee ku SURIVIVE.

Nimalize tu kwa kukushauri kuwa nenda TBS kachukue mfuko wako wa huo mchele na virutubisho ukawalishe wanao. Watakapoanza tabia za kishoga, usianze kutulalamikia
 
Hawa sasa ndio wanaotengeneza tatizo halafu wana solve
Sisi wa kwetu tunawasingizia
 
Mkuu na hapa umechemsha tena. Kujustfy msaada wa chakula cha USDA kwa kuwa tunapokea msaada wa ARVs.

Kwanza kumbuka HIV/ AIDS ni ugonjwa uliotengenezwa maabara kupitia nyani na kisha kuwaambukiza bunadamu.

Pili HIV/ AIDS ni biashara ya Big Pharma ambayo kamwe hawatakubali iishe. Kama wametengeneza dawa zinazofubaza (kufifisha) virusi vya UKIMWI, unadhani wanashindwa kutengeneza dawa za kuua virusi hivyo?

UKIMWI na Saratani lazima viendelee kuwapo ili makampuni yao yaendelee ku SURIVIVE.

Nimalize tu kwa kukushauri kuwa nenda TBS kachukue mfuko wako wa huo mche na virutubisho ukawalishe wanao. Watakapoanza tabia za kishoga, usianze kutulalamikia
Kama umejua Ukimwi umetokana na nyani. Kwanini wewe usitengeneze dawa ya kuponya UKIMWI?
Mpaka sasa tunahangaika na umeme wa mgao, baadhi ya vijiji maji ni shida
 
Hawa sasa ndio wanaotengeneza tatizo halafu wana solve
Sisi wa kwetu tunawasingizia
Mkuu wakitutarget sisi Watu wazima tuliokomaa sio mbaya lakini kutarget Watoto ambao Cell zao bado zina Multiply ni hatari.

Kila Taifa lenye Watu wenye AKILI huwa linalinda Watoto wao sana maana Mtoto akipigwa Stop HAZAI tena anakuwa na hamu ya kulawitiwa na Shahawa zake zinakuwa ni Maji bila RUTUBA anakuwa HAWEZI tena kuzalisha.
 
Mkuu wakitutarget sisi Watu wazima tuliokomaa sio mbaya lakini kutarget Watoto ambao Cell zao bado zina Multiply ni hatari.

Kila Taifa lenye Watu wenye AKILI huwa linalinda Watoto wao sana maana Mtoto akipigwa Stop HAZAI tena anakuwa na hamu ya kulawitiwa na Shahawa zake zinakuwa ni Maji bila RUTUBA anakuwa HAWEZI tena kuzalisha.
Yaani mpaka tujikomboe boss la sivyo sisi ni tegemezi tu kwao
Miaka ya 80 nilikuwa Iraq mainjinia wote ni wenyewe barabara zote wao wanatengeneza hawakutaka kabisa msaada na ni wataalam wasomi haswa
Dawa walizokuwa wanatengeneza utashangaa
Nilikuwa nawakubali sana hao jamaa
Leo sisi karne hii tunapokea mchele kweli
So sad bro
 
Hizo ARV si ni businesses as usual au?
Kwani kuna kitu kinafanywa na serikali coyote duniani kisichokuwa business as usual
Mkuu wakitutarget sisi Watu wazima tuliokomaa sio mbaya lakini kutarget Watoto ambao Cell zao bado zina Multiply ni hatari.

Kila Taifa lenye Watu wenye AKILI huwa linalinda Watoto wao sana maana Mtoto akipigwa Stop HAZAI tena anakuwa na hamu ya kulawitiwa na Shahawa zake zinakuwa ni Maji bila RUTUBA anakuwa HAWEZI tena kuzalisha.
Hii sayansi ya wapi...kwa hiyo watu wazima cell hazimultiply...Zina divide kwa magazijuto
 
Yaani mpaka tujikomboe boss la sivyo sisi ni tegemezi tu kwao
Miaka ya 80 nilikuwa Iraq mainjinia wote ni wenyewe barabara zote wao wanatengeneza hawakutaka kabisa msaada na ni wataalam wasomi haswa
Dawa walizokuwa wanatengeneza utashangaa
Nilikuwa nawakubali sana hao jamaa
Leo sisi karne hii tunapokea mchele kweli
So sad bro
Wewe unaleta hoja muhimu..hii ni ya kujitegemea
 
Hizo ARV na CHEMOTHERAPY zina usalama kiasi gani!

What is your knowledge on this? Au unatuzuga tu unatuchota akili ili soko la madawa yenye sumu liendelee kuwapo?

Kama usalama wa taifa hawezi kubaini madhara kwa taifa mbona ni hatari sana.

Kuna siku tutakuja kulishwa vinyesi tubaki midomo wazi.
 
Yaani mpaka tujikomboe boss la sivyo sisi ni tegemezi tu kwao
Miaka ya 80 nilikuwa Iraq mainjinia wote ni wenyewe barabara zote wao wanatengeneza hawakutaka kabisa msaada na ni wataalam wasomi haswa
Dawa walizokuwa wanatengeneza utashangaa
Nilikuwa nawakubali sana hao jamaa
Leo sisi karne hii tunapokea mchele kweli
So sad bro
Lakini unakumbuka UKIMWI ulivyoingizwa Libya na kwenda kuambukiza Wananchi wa Libya kwa makusudi?

Unakikumbuka kile Kisa?
 
Mbona hili jambo tumelipokea kimihemko sana kwa nini wasinge peleka sample kwa mkemia mkuu bado tuna TFDA yaani tunakuwa kama mazwazwa tunahandle vitu kama matahira nchi nzima
 
Back
Top Bottom