Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimetumwa na nani Hilo ni wazo Sasa kutumika kunakujaje tatizo mnaingiza siasa kwenye mambo ambayo haya husianiNaona umetumwa ukatumika
Huoni ulikuwa nje ya mada? Alikutuma fundiNimetumwa na nani Hilo ni wazo Sasa kutumika kunakujaje tatizo mnaingiza siasa kwenye mambo ambayo haya husiani
Huyo ni mbunge wao akielezea mafanikio hapo tumechukulia reference ya upembuzi wa Barabara ya makambako hadi MGOLOLOWatu wa Mufindi wangekuona unamsifia Mama kiasi hiki, huku wengi wao wakiwa wananung'unika kutokana na ubovu uliokithiri wa barabara kwenye hiyo Wilaya kwa miaka nenda; aisee nahisi wangeweza hata kukupiga makofi.
Eti unasema barabara ya Nyololo Mtwango Kilomita 40.4 kwa kiwango cha lami, mkandarasi yupo site!! Site ya wapi hiyo!! Mimi kila mwezi huwa ninapita hiyo barabara, na imejaa matope. Kama ni lami imepigwa mita 200 tu kutoka barabara kuu ya Tanzam!
Halafu unasema Igowole imepewa lami ya kilomita 1.2 ya mtaani! Sasa km 1.2 ina tija gani katika hali ya kawaida!! Hizo hela mnazotumia kupuyanga huko kwa wenzenu si mngezitumia kujenga kilomita za kutosha tu za barabara za mitaa, badala ya kujenga barabara ya km 1.2!! Halafu nina wasiwasi kama hiyo lami ya Sawala Luhunga kama serikali inahusika kwenye ujenzi wake, kiasi cha kuja kujisifia hapa! Na kama inahusika, basi yatakuwa ni matumizi mabaya ya fedha za serikali.
Ukienda Dodoma ambako ni Jiji, barabara nyingi za mitaa hazipitiki! Na zimegeuka kuwa mabwawa.
Endelea na Imani Yako hili wazoHuoni ulikuwa nje ya mada? Alikutuma fundi
Ile Barabara imejengwa na mradi Agri connect km 40 hadi lulanda na Ile itaenda hadi mlimba kwa Sasa wamepewa km 40 kutoka nyororo hadi mtwango zitaenda kuungana na hiyo na bado ya ifwagi nayo inawekwa lami kupitia mradi wa RISEWatu wa Mufindi wangekuona unamsifia Mama kiasi hiki, huku wengi wao wakiwa wananung'unika kutokana na ubovu uliokithiri wa barabara kwenye hiyo Wilaya kwa miaka nenda; aisee nahisi wangeweza hata kukupiga makofi.
Eti unasema barabara ya Nyololo Mtwango Kilomita 40.4 kwa kiwango cha lami, mkandarasi yupo site!! Site ya wapi hiyo!! Mimi kila mwezi huwa ninapita hiyo barabara, na imejaa matope. Kama ni lami imepigwa mita 200 tu kutoka barabara kuu ya Tanzam!
Halafu unasema Igowole imepewa lami ya kilomita 1.2 ya mtaani! Sasa km 1.2 ina tija gani katika hali ya kawaida!! Hizo hela mnazotumia kupuyanga huko kwa wenzenu si mngezitumia kujenga kilomita za kutosha tu za barabara za mitaa, badala ya kujenga barabara ya km 1.2!! Halafu nina wasiwasi kama hiyo lami ya Sawala Luhunga kama serikali inahusika kwenye ujenzi wake, kiasi cha kuja kujisifia hapa! Na kama inahusika, basi yatakuwa ni matumizi mabaya ya fedha za serikali.
Ukienda Dodoma ambako ni Jiji, barabara nyingi za mitaa hazipitiki! Na zimegeuka kuwa mabwawa.
Sasa barabara za aina hii zinashindwa vipi kujengwa kwenye maeneo yenye uzalishaji mkubwa wa mazao ya chakula na biashara? Mfano kutoka Ifakara kwenda Mlimba, Ifakara kwenda Mahenge na Malinyi, Nyololo Mgololo, nk!!Ile Barabara imejengwa na mradi Agri connect km 40 hadi lulanda na Ile itaenda hadi mlimbaView attachment 2972436View attachment 2972439
kweli aisee ifakara mlimba,ifakara mahenge,mlimba malinyi,mlimba njombe,mahenge lindi,mlimba mafinga na malinyi songea ni barabara muhimu sana ila viongozi wanakomaa na kujenga vitu vya ajabu ili wapige madiliSasa barabara za aina hii zinashindwa vipi kujengwa kwenye maeneo yenye uzalishaji mkubwa wa mazao ya chakula na biashara? Mfano kutoka Ifakara kwenda Mlimba, Ifakara kwenda Mahenge na Malinyi, Nyololo Mgololo, nk!!
Washauri viongozi wako waache mambo ya hovyo. Hii mifumuko ya bei ya vyakuka na bidhaa nyingine, wakati mwingine wanajitakia tu wenyewe.
Sasa barabara za aina hii zinashindwa vipi kujengwa kwenye maeneo yenye uzalishaji mkubwa wa mazao ya chakula na biashara? Mfano kutoka Ifakara kwenda Mlimba, Ifakara kwenda Mahenge na Malinyi, Nyololo Mgololo, nk!!
Washauri viongozi wako waache mambo ya hovyo. Hii mifumuko ya bei ya vyakuka na bidhaa nyingine, wakati mwingine wanajitakia tu wenyewe.
Wazo zuri ila mradi wa Agri connect wamejenga maeneo ya uzalishaji wa mazao ya biashara hasa chai ,kahawaSasa barabara za aina hii zinashindwa vipi kujengwa kwenye maeneo yenye uzalishaji mkubwa wa mazao ya chakula na biashara? Mfano kutoka Ifakara kwenda Mlimba, Ifakara kwenda Mahenge na Malinyi, Nyololo Mgololo, nk!!
Washauri viongozi wako waache mambo ya hovyo. Hii mifumuko ya bei ya vyakuka na bidhaa nyingine, wakati mwingine wanajitakia tu wenyewe.
Wakina JAH PEOPLE nao wamezubaa, barabara na reli ya Makambako ni ya kwanza (T001) nchi hii lakini sioni maendeleo ya maana.Ni Muda mwafaka tanroad kuifungua Barabara ya makambako hadi mlimba kuungana na iliyotoka Ifakara kwa ni wananchi wengi kipande hichi wamekuwa wakitumia treni kama ndo usafiri wao na kwanini wafungue hii Barabara kwanza ni Barabara itakayo kuwa na km chache kama 160 ukilinganisha na ya lupembe km 224 mbili itasaidia kuwaunganisha wakazi wa ifakara mlimba nk na mikoa ya nyanda za juu kUsini iringa, Njombe ,ruvuma,mbeya ,songwe ,rukwa nk tatu itakuwa ndo njia mbadala ya kwenda dsm itapunguza msongamano tazam road ,
Itawarahisishia kutanuka kwa soko la mazao yao wananchi wa mlimba na mwisho naona juhudi zimeanza kuonekana ya kupanganfa kukifungua kipande Cha uchindile hadi mlimba na ndo kipande kilicho kuwa kimesalia hongereni tarura kwa maono hayo👇♨️♨️♨️♨️👇
Nao wakurugenzi wa halmashauri za mkoa huo akiwemo Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Mlimba Mhandisi Stephano Kaliwa wamekiri uboreshaji wa miundombinu katika halmshauri zao huku akimshukuru Rais Dkt. Samia Suluhu Hassa kupitia TARURAna kwamba Halmashauri ya mlimba inatarajia kuchonga barabara ya Mlimba - Uchindile yenye km 80 ambayo itawasaidia kuondokana na adha ya kuzunguka View attachment 2972329View attachment 2972330View attachment 2972331View attachment 2972332
Wewe ndiyo umeingiza Siasa kwa kuanza kumsifia Rais Samia unayemwita mama.Nimetumwa na nani Hilo ni wazo Sasa kutumika kunakujaje tatizo mnaingiza siasa kwenye mambo ambayo haya husiani
HApo ndo inatakiwa upeleke wazo ila wenzio kama mkoa wamefikiria haya kuwa na dry Port viwanda na biashara👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇Wakina JAH PEOPLE nao wamezubaa, barabara na reli ya Makambako ni ya kwanza (T001) nchi hii lakini sioni maendeleo ya maana.
Hiyo nime Quote hebu fuatilia vizuriWewe ndiyo umeingiza Siasa kwa kuanza kumsifia Rais Samia unayemwita mama.
Au Samia siyo mwanasiasa toka CCM??
Umeinukuu Kwa kuwa umeipenda.Hiyo nime Quote hebu fuatilia vizuri
Umeinukuu Kwa kuwa umeipenda.
Lengo nikuonyesha Barabara zilizopo kwenye usanifu wa kinaUmeinukuu Kwa kuwa umeipenda.
Edit.Lengo nikuonyesha Barabara zilizopo kwenye usanifu wa kina
KWani yakitokea maneno MENGINE Yana shidaEdit.
Mimi binafsi nakubaliana na mleta mada kabisa tunapashwa kuzitengeneza njia nyingi zinazoiunganisha Nchi pande zote hiyo ndio njia mojawapo nzuri ya kuleta maendeleo ya ndani ya Nchi. Kuto kuzijenga itakuwa sawa sawa na kile wanachokipata DRC maana upande mmoja hakutani na mwingine kwa urahisi.Ni Muda mwafaka tanroad kuifungua Barabara ya makambako hadi mlimba kuungana na iliyotoka Ifakara kwa ni wananchi wengi kipande hichi wamekuwa wakitumia treni kama ndo usafiri wao na kwanini wafungue hii Barabara kwanza ni Barabara itakayo kuwa na km chache kama 160 ukilinganisha na ya lupembe km 224 mbili itasaidia kuwaunganisha wakazi wa ifakara mlimba nk na mikoa ya nyanda za juu kUsini iringa, Njombe ,ruvuma,mbeya ,songwe ,rukwa nk tatu itakuwa ndo njia mbadala ya kwenda dsm itapunguza msongamano tazam road ,
Itawarahisishia kutanuka kwa soko la mazao yao wananchi wa mlimba na mwisho naona juhudi zimeanza kuonekana ya kupanganfa kukifungua kipande Cha uchindile hadi mlimba na ndo kipande kilicho kuwa kimesalia hongereni tarura kwa maono hayo👇♨️♨️♨️♨️👇
Nao wakurugenzi wa halmashauri za mkoa huo akiwemo Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Mlimba Mhandisi Stephano Kaliwa wamekiri uboreshaji wa miundombinu katika halmshauri zao huku akimshukuru Rais Dkt. Samia Suluhu Hassa kupitia TARURAna kwamba Halmashauri ya mlimba inatarajia kuchonga barabara ya Mlimba - Uchindile yenye km 80 ambayo itawasaidia kuondokana na adha ya kuzunguka View attachment 2972329View attachment 2972330View attachment 2972331View attachment 2972332