Wazo la leo: Tumia JF kumjua mwanamke mwenye akili (mke bora)

Kwenye dini hapo uongo, kuna ile mikokole iko mingi huko, Topic sensitive za kutumia akili wao wanatumia hisia na mahaba ya imani zao za kijinga.

Kiufupi mtu mwenye akili huwezi kumuhusisha na topics za kidini

Kibaya zaid huu mtandao midangaji ni mingi sana, na ukitaka kuamini utawaona tu humu wakitukana na wengine kumlalamikia mtoa thread
 
Jamani msituchanganye
Mnataka tuweje
Sasa mnataka tukajazane huko kwenye majukwaa ya vitabu sijui technology halafu huku MMU mtabebishana na kina naniii

Wengine hayo matechnology sijui vitabu tunashinda nayo kila siku
Tukija huku tunataka kurefresh tu

Wengine kusoma vitabu sio hobby kabisa
Hebu mtupumzishe au mnataka jf mubaki wanaume tupu
 
Unaweza kuta anaeshinda huko MMU, akawa na ujuzi kuliko huyo anaeshinda jukwaa la ujenzi. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 

Yan wanaume wa jf sijui wanataka nn [emoji23][emoji23]
 
Mkuu wewe ulitumia hiyo mbinu na ulifanikiwa kupata mdada mwenye akili Anayeshinda jukwaa la vita? Vipi na wakaka tunaokua nao kwenye hayo majukwaa ya MMU nao ni hawafai kuoa ama?
Kushinda MMU haimanaanishi hamna akili ni katika kujifunza maisha mengine upande wa mahusiano na mapenzi sometimes kurefresh, maisha yana stress haya so where to refresh ? Ni jukwaa la chitchat na MMU bana ebu tuache
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…