Wazo la leo: Tumia JF kumjua mwanamke mwenye akili (mke bora)

Wazo la leo: Tumia JF kumjua mwanamke mwenye akili (mke bora)

Kuna faida zake na hasara zake, ila nakushauri oa mjinga anayeweza kufundishika then mambo ya akili utamfundisha mwenyewe.

Amin.
Hii nayo pambe,tuje zetu tu akili tutazikuta hukohuko,kama kusoma mmeshatusomea,Mali mnatutafutia Sasa tunahangaika kuja na akili za kazi Gani🤔🤔🤔?
 
Hii nayo pambe,tuje zetu tu akili tutazikuta hukohuko,kama kusoma mmeshatusomea,Mali mnatutafutia Sasa tunahangaika kuja na akili za kazi Gani[emoji848][emoji848][emoji848]?

Ndo ivo, muhimu hue na akili zakulea familia, za jinsi ya kutunza mali zenu na kuzizalisha zaidi izo utapewa na mume mwenywe, kuoa mwanamke anayejua kila kitu inaboa sana.
 
Ndo ivo, muhimu hue na akili zakulea familia, za jinsi ya kutunza mali zenu na kuzizalisha zaidi izo utapewa na mume mwenywe, kuoa mwanamke anayejua kila kitu inaboa sana.
Mkuu,ningekuwa Sina njemba ningekusarandia,nimependa sana mtazamo wako wewe utakuwa sio mchoyo mchoyo
 
Wahenga wanashauri oa mke mwenye akili, sasa akili ya mtu unaweza ipima kutokana na vitu mtu anafanya au anapenda kufanya.

Unaweza tumia JF kujua huyu mtu anapenda nini na baada ya hapo ndio utajua huyu mwanamke ana akili au ni wale wanaotumia makalio badala ya akili kuishi hapa duniani!

Sasa fwata huu mwongozo kumjua mwanamke mwenye akili.

1. Ukiona mwanamke mara kwa mara au 90% ya muda wake hapa JF yupo jukwaa la chitchat, jukwaa la mapenzi jukwaa la celebrite au jukwaa lingine linalofanana na hayo jua huyo ana akili ndogo achana nae.

2. Ukiona mwanamke walau asilimia 70 mpaka 90 ya muda wake hapa JF anautumia katika majukwaa kama biashara, intelijensia, international forum, ujenzi, technolojia, dini na majukwaa mengine ambayo yanahitaji utumie "akili" ili uchangie jua huyo ana akili na unaweza weka ndani maana hakuna mwanamke mwenye akili ndogo atasogelea haya majukwaa!

Yangu ni hayo, sasa kazi kwako usije sema hatujakwambia!

Upepo wa Pesa.
Je yule anayepatikana kwa wazee wa kuweka mikeka... imeekaje hapo (misimisondo)
 
........hawa wazee sio wa kuwaamini sana, unakuta anatuunganisha kwa dhati kabisa kumbe behind the scene na lenyewe linakupenda na kukuhitaji kwa udi na uvumba.......
Daaah😅😅😅
Joannah tumvunje moyo au tumpe matumaini?🤪
 
Back
Top Bottom