Wazo lenye mantiki: Kama mmeshindwa kujenga ofisi kwa miaka 25, kama mkipata fursa ya kutawala mngeweza kununua vifaa vya kuokolea?

Wazo lenye mantiki: Kama mmeshindwa kujenga ofisi kwa miaka 25, kama mkipata fursa ya kutawala mngeweza kununua vifaa vya kuokolea?

Mnaweza kuwa na hoja nzuri maana mnapiga kelele kutwa nzima jana na leo.

Lakini kama mmeshindwa kuwa waaminifu kwa kidogo, kikubwa ndio mngeweza?

Zaidi ya miaka ishirini na saba mnakula ruzuku na michango.

Je, mkipata nchi si ndio hatupata darasa wala kifaa cha kukolea kabisa kama gari la zimamoto!
Ngoja wenywewe waje! Mimi naondoka wasije wakanikuta.
 
Mnaweza kuwa na hoja nzuri maana mnapiga kelele kutwa nzima jana na leo.

Lakini kama mmeshindwa kuwa waaminifu kwa kidogo, kikubwa ndio mngeweza?

Zaidi ya miaka ishirini na saba mnakula ruzuku na michango.

Je, mkipata nchi si ndio hatupata darasa wala kifaa cha kukolea kabisa kama gari la zimamoto!
Sidhan kama hii ndio justification ya wao kutoweza kuleta maendeleo! BTW mnaendeleaje huko chatle?
 
Mnaweza kuwa na hoja nzuri maana mnapiga kelele kutwa nzima jana na leo.

Lakini kama mmeshindwa kuwa waaminifu kwa kidogo, kikubwa ndio mngeweza?

Zaidi ya miaka ishirini na saba mnakula ruzuku na michango.

Je, mkipata nchi si ndio hatupata darasa wala kifaa cha kukolea kabisa kama gari la zimamoto!
Mada za aina hii mara nyingi huandikwa na wale watu waliotoka kula ugali na maharage muda si mrefu, Halafu wakala kupitiliza!
 
Mnaweza kuwa na hoja nzuri maana mnapiga kelele kutwa nzima jana na leo.

Lakini kama mmeshindwa kuwa waaminifu kwa kidogo, kikubwa ndio mngeweza?

Zaidi ya miaka ishirini na saba mnakula ruzuku na michango.

Je, mkipata nchi si ndio hatupata darasa wala kifaa cha kukolea kabisa kama gari la zimamoto!

Swali la kijinga. Tofautisha chama Cha siasa Cha upinzani na serikali yenye bajeti na yenye kupokea tozo kila siku.
 
Mnaweza kuwa na hoja nzuri maana mnapiga kelele kutwa nzima jana na leo.

Lakini kama mmeshindwa kuwa waaminifu kwa kidogo, kikubwa ndio mngeweza?

Zaidi ya miaka ishirini na saba mnakula ruzuku na michango.

Je, mkipata nchi si ndio hatupata darasa wala kifaa cha kukolea kabisa kama gari la zimamoto!

Kama sio dogo majaliwa kujiongeza Leo usingeuliza swali la kijinga.
 
Mnaweza kuwa na hoja nzuri maana mnapiga kelele kutwa nzima jana na leo.

Lakini kama mmeshindwa kuwa waaminifu kwa kidogo, kikubwa ndio mngeweza?

Zaidi ya miaka ishirini na saba mnakula ruzuku na michango.

Je, mkipata nchi si ndio hatupata darasa wala kifaa cha kukolea kabisa kama gari la zimamoto!
Oneni hii ndama iliyovimbiwa mihogo inavyohorojeka humu! Ccm 62+ yrs imeshindwa kutoa huduma za jamii Kama maji, umeme, AFYA na elimu Kwa uhakika licha ya kudhulumu majengo ya umma na kuyageuza kuwa ofisi zao na Leo unailaumu cdm Kwa kutokuwa na jengo?
Rudi darsani Tena kwani Kuna mfumo wa MEMKWA utasajiliwa TU usiogope!
 
Oneni hii ndama iliyovimbiwa mihogo inavyohorojeka humu! Ccm 62+ yrs imeshindwa kutoa huduma za jamii Kama maji, umeme, AFYA na elimu Kwa uhakika licha ya kudhulumu majengo ya umma na kuyageuza kuwa ofisi zao na Leo unailaumu cdm Kwa kutokuwa na jengo?
Rudi darsani Tena kwani Kuna mfumo wa MEMKWA utasajiliwa TU usiogope!
Sawa. Lakini upo nje ya mada
 
Back
Top Bottom