Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
Hey brothers and sisters nilikua na wazo kwa kua tuko mwishoni mwa mwaka na tunaanza 2020 naomba tutoe shukrani kwa Mungu kwa kurudisha tulichokipata hata km kidogo kwa mwaka mzima na huku tukiwa mbioni kuanza mwaka mwingine.
Kuna mengi tumepitia makubwa na madogo, shida na raha lakini Mungu hakutuacha. Kuna tuliopitia mitihani miingi mizito na wapo waliopitia tambarare mwaka wote lakini Mungu wetu mwema tumeweza kuwa na afya na hata wagonjwa pia Mungu awaponye, na wale wenye mitihani pia Mungu awavushe salama.
Nilikuwa na wazo kuwa tutoe msaada kwenye vituo au tuchague kimoja tupeleke misaaada yetu hasa mwanzo wa mwaka hapa mahitaji yao makubwa ni uniform mabegi na madaftari ya shule n.k
Kwa yoyote ambaye ataguswa tunaweza tuma pesa halafu vikanunuliwa kwa jumla au mtu kama anavyo akagaia au akannua hayo mahitaji then tukayapeleka sehemu husika siku tutakayopanga.
Mniwie radhi I know watu wana magroup mengi ya familia n.k, na wamepeleka misaada mingi sehemu nyingi lakini sisi wanaJF pia kama familia moja tunaweza tukafanya pia kama tulivofanya huko kwingine.
Anaweza chagulia mtu au hata mods ambaye anaaminika kufanya hyo kazi ya kukusanya pesa n.k Niko tayari kushirikiana 100% maana Mungu ametutendea miujiza mingi mnoo hatuna cha kumlipa zaidi ya kurudisha shukrani kwake. Jf Ni ndugu sote ingawa si wa kuzaliwa na Mungu anasema toa ili nikuruzuku.
Tafadhali naomba wale wenye mawazo mgando hapa wapite tu.
Tukikubaliana tutaweka utaratibu mzuri wa kutoa sadaka zetu.
Ahsanteni na mnisamehe ntakaowaboa pia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mengi tumepitia makubwa na madogo, shida na raha lakini Mungu hakutuacha. Kuna tuliopitia mitihani miingi mizito na wapo waliopitia tambarare mwaka wote lakini Mungu wetu mwema tumeweza kuwa na afya na hata wagonjwa pia Mungu awaponye, na wale wenye mitihani pia Mungu awavushe salama.
Nilikuwa na wazo kuwa tutoe msaada kwenye vituo au tuchague kimoja tupeleke misaaada yetu hasa mwanzo wa mwaka hapa mahitaji yao makubwa ni uniform mabegi na madaftari ya shule n.k
Kwa yoyote ambaye ataguswa tunaweza tuma pesa halafu vikanunuliwa kwa jumla au mtu kama anavyo akagaia au akannua hayo mahitaji then tukayapeleka sehemu husika siku tutakayopanga.
Mniwie radhi I know watu wana magroup mengi ya familia n.k, na wamepeleka misaada mingi sehemu nyingi lakini sisi wanaJF pia kama familia moja tunaweza tukafanya pia kama tulivofanya huko kwingine.
Anaweza chagulia mtu au hata mods ambaye anaaminika kufanya hyo kazi ya kukusanya pesa n.k Niko tayari kushirikiana 100% maana Mungu ametutendea miujiza mingi mnoo hatuna cha kumlipa zaidi ya kurudisha shukrani kwake. Jf Ni ndugu sote ingawa si wa kuzaliwa na Mungu anasema toa ili nikuruzuku.
Tafadhali naomba wale wenye mawazo mgando hapa wapite tu.
Tukikubaliana tutaweka utaratibu mzuri wa kutoa sadaka zetu.
Ahsanteni na mnisamehe ntakaowaboa pia.
Sent using Jamii Forums mobile app