Wazoefu na wataalamu wa mapenzi nisaidieni maana sielewi shida nini?

Wazoefu na wataalamu wa mapenzi nisaidieni maana sielewi shida nini?

Sonko Bibo

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2019
Posts
957
Reaction score
1,493
Inatokea nadate na mwanamke, kwa muda mrefu, au muda mfupi, let's say miezi mitatu, au mwaka. Hapo unakuta manzi ananiimbia, nyimbo za malengo ya ndoa. Hata kama anajua fika kuwa nilimnunua baada ya mitongozo kusua sua. Mwamba naapply pesa. Dau linatiki na hii mbinu haijawah kuniangusha.

Sasa unakuta yeye anajua tuko kibiashara kabisa. Lakini anataka kujiweka awe mke. Na mimi ni hunter tu naepita. Maana sina jiko so nafanya tu kumtuliza huyu boy mdogo kipofu. Sasa ikitokea manzi ananiganda yaani anawaza kunigeuza niwe husband materio a.k.a simp. Mi nakataa hapo sasa unakuta tunaachana for good sake.

Ajabu ni hii ambayo nataka mnisaidie tafadhali. Ni kwanini nikiachana na hawa wanawake wanaweka chuki kali sana kwangu? Kiasi najiuliza kwani nimemfanyia nini huyu? Hata mke wangu aliponiacha aliniwekea chuki kubwa sana nikawa sielewi, nikawa najipa moyo tu kuwa ni kwasababu hakunipenda wala kunihitaji tena.

Lakini hii imeendelea kwa wanawake wengine. Japo ni wao huleta wazo la kuachana. Sijawahi kumwambia mwanamke kuwa tuachane hata kama simhitaji kabisa, wao ndio huniambia tuachane au tumeachana. Kisha baada ya hapo hufuata chuki kali mno.

Tatizo ni nini wakuu hebu tuasaidiane isijekuwa nina tatizo sehemu ikapelekea nikapigwa kisu siku moja. Maana wanawake wengine akili zao wanazijua wao. Nakaribisha mchango positive na utani kiasi, matusi yasubiri uzi wake wa matusi.
 
Baada ya kuachana nao wanaonyeshaje chuki kwako wakati mmesha achana?

Hua wanakuja kwako? Wanakupigia simu? Wanakutumia msg? Ni njia ipi ambayo hua wanaitumia kuonyesha chuki kwako?

Ukiachana na Mwanamke,basi kila kitu kinaishia hapo,kila mtu akamate njia yake,unafanya kama vile hukuwahi kukutana nae katika maisha yako,unaendelea na mambo yako,unakua huna access nae,hiyo dharau yake atakuonyeshaje wakati huna mawasiliano nae?

Grow up and live ur life,
Life is very short,enjoy it.
 
Ugomvi sio mzuri mm wiki ya jana nmekutana na ex wangu tuliepoteana kwa mda mrefu, tukafurahi tukapeana namba jana kanikopesha laki mbili nikanunulia mifugo pumba.
Hata mimi natamani mwanamke akiniambia kuwa tuachane
Iwe ni mutual tu
Sio yeye aweke chuki
Wakati hakuna ugomvi mkuu.
 
Baada ya kuachana nao wanaonyeshaje chuki kwako wakati mmesha achana?

Hua wanakuja kwako? Wanakupigia simu? Wanakutumia msg? Ni njia ipi ambayo hua wanaitumia kuonyesha chuki kwako?

Ukiachana na Mwanamke,basi kila kitu kinaishia hapo,kila mtu akamate njia yake,unafanya kama vile hukuwahi kukutana nae katika maisha yako,unaendelea na mambo yako,unakua huna access nae,hiyo dharau yake atakuonyeshaje wakati huna mawasiliano nae?

Grow up and live ur life,
Life is very short,enjoy it.
Big unajua kabisa kuwa wengine
Tunakutana nao kwenye daily activities zetu.
So ni ngumu kukwepana
Nadhan unaelewa hapo.
Wengine wana connection na watu wetu
So lazima tu taarifa zikufuate man
 
Itakuwa kuna saundi unawapiga inawapa uwakika wa maisha alafu unakuja kupotea, kingine kama unavaa mashati sana punguza, punguza kuwapikia, kunguza kujitambulisha kwa ndugu jamaa na marafiki
Hapo kwenye mashati hapo hebu nieleweshe kidogo mkuu!!
 
Big unajua kabisa kuwa wengine
Tunakutana nao kwenye daily activities zetu.
So ni ngumu kukwepana
Nadhan unaelewa hapo.
Wengine wana connection na watu wetu
So lazima tu taarifa zikufuate man
Be free with ur life,be yourself,huyo anayekuletea story za x wako unampiga marufuku,

Huu muda utakuja kuukumbuka huko mbeleni.
 
Back
Top Bottom