min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
😁😁😁Japo mimi sio nguli wa mapenzi , ila sijaelewa wanaweka vipi chuki kwako? Wanakununia? Au wanataka kukupiga , kukuwinda ? Kivipi yani ? umejua vipi wana chuki na wewe🤫
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁😁😁Japo mimi sio nguli wa mapenzi , ila sijaelewa wanaweka vipi chuki kwako? Wanakununia? Au wanataka kukupiga , kukuwinda ? Kivipi yani ? umejua vipi wana chuki na wewe🤫
Hata akijua sehemu fulani kuna mchongo wako anajaribu hata auharibu tu yaani😁😁😁Japo mimi sio nguli wa mapenzi , ila sijaelewa wanaweka vipi chuki kwako? Wanakununia? Au wanataka kukupiga , kukuwinda ? Kivipi yani umejua vipi wana chuki na wewe🤫
Kuna namna umewaweka karibu na wewe , ndio maana hata michongo yako inakua kwao ni rahisi kuijua ,Apo badilika wewe ,jiweke mbali nao na hata watu wenye mahusiano nao waweke mbali na wewe , jaribu kufanya michongo yako iwe siri yako , kuna wengine hata mke wake tu sio rahisi ajue michongo yake kabla haijakamilika .Hata akijua sehemu fulani kuna mchongo wako anajaribu hata auharibu tu yaani
Mixer kukunyea kwa ndugu zake so simu zitakazokuja kwako ni lawama mwanzo mwisho.
Haujaeleweka bhana, chuki anazifanyia wapi wakati mmeshaachana?Inatokea nadate na mwanamke, kwa muda mrefu, au muda mfupi, let's say miezi mitatu, au mwaka. Hapo unakuta manzi ananiimbia, nyimbo za malengo ya ndoa. Hata kama anajua fika kuwa nilimnunua baada ya mitongozo kusua sua. Mwamba naapply pesa. Dau linatiki na hii mbinu haijawah kuniangusha.
Sasa unakuta yeye anajua tuko kibiashara kabisa. Lakini anataka kujiweka awe mke. Na mimi ni hunter tu naepita. Maana sina jiko so nafanya tu kumtuliza huyu boy mdogo kipofu. Sasa ikitokea manzi ananiganda yaani anawaza kunigeuza niwe husband materio a.k.a simp. Mi nakataa hapo sasa unakuta tunaachana for good sake.
Ajabu ni hii ambayo nataka mnisaidie tafadhali. Ni kwanini nikiachana na hawa wanawake wanaweka chuki kali sana kwangu? Kiasi najiuliza kwani nimemfanyia nini huyu? Hata mke wangu aliponiacha aliniwekea chuki kubwa sana nikawa sielewi, nikawa najipa moyo tu kuwa ni kwasababu hakunipenda wala kunihitaji tena.
Lakini hii imeendelea kwa wanawake wengine. Japo ni wao huleta wazo la kuachana. Sijawahi kumwambia mwanamke kuwa tuachane hata kama simhitaji kabisa, wao ndio huniambia tuachane au tumeachana. Kisha baada ya hapo hufuata chuki kali mno.
Tatizo ni nini wakuu hebu tuasaidiane isijekuwa nina tatizo sehemu ikapelekea nikapigwa kisu siku moja. Maana wanawake wengine akili zao wanazijua wao. Nakaribisha mchango positive na utani kiasi, matusi yasubiri uzi wake wa matusi.
Acha hasira mkuu kwan umeachika?Haujaeleweka bhana, chuki anazifanyia wapi wakati mmeshaachana?
Au anakuwa akirudi kubweka kwako akitokea kwao?
Mbona mnaact like wanawake mnaowagonga na kuwaacha wanatoka sayari nyingine kwamba hamuwezi kuonana tena?Haujaeleweka bhana, chuki anazifanyia wapi wakati mmeshaachana?
Au anakuwa akirudi kubweka kwako akitokea kwao?
No i mean chukua aina tofauti tifauti simultaneuosly, mathalan mmoja awe na tako, mwingine kipapatio, mmoja awe na ghubu, asikosekane mwenye huba, kwenye list akikosekana mmakonde basi hakikisha umemreplace na mngindo au mdigo,mwisho japo si kwa umuhimu hakikisha pamoja na wote hao uwe na kamchepuko as backup au spare tyre!Unamaanisha kuwa nikae na mwanamke mmoja kwa miaka mitano au mi ndio sijaelewa mkuu? Mamsosa
Acha uzinzi wewe,wanapogundua kuwa wewe ni mzinzi na huhitaji mapenzi ya kweli lazima wakuchukie tu...Inatokea nadate na mwanamke, kwa muda mrefu, au muda mfupi, let's say miezi mitatu, au mwaka. Hapo unakuta manzi ananiimbia, nyimbo za malengo ya ndoa. Hata kama anajua fika kuwa nilimnunua baada ya mitongozo kusua sua. Mwamba naapply pesa. Dau linatiki na hii mbinu haijawah kuniangusha.
Sasa unakuta yeye anajua tuko kibiashara kabisa. Lakini anataka kujiweka awe mke. Na mimi ni hunter tu naepita. Maana sina jiko so nafanya tu kumtuliza huyu boy mdogo kipofu. Sasa ikitokea manzi ananiganda yaani anawaza kunigeuza niwe husband materio a.k.a simp. Mi nakataa hapo sasa unakuta tunaachana for good sake.
Ajabu ni hii ambayo nataka mnisaidie tafadhali. Ni kwanini nikiachana na hawa wanawake wanaweka chuki kali sana kwangu? Kiasi najiuliza kwani nimemfanyia nini huyu? Hata mke wangu aliponiacha aliniwekea chuki kubwa sana nikawa sielewi, nikawa najipa moyo tu kuwa ni kwasababu hakunipenda wala kunihitaji tena.
Lakini hii imeendelea kwa wanawake wengine. Japo ni wao huleta wazo la kuachana. Sijawahi kumwambia mwanamke kuwa tuachane hata kama simhitaji kabisa, wao ndio huniambia tuachane au tumeachana. Kisha baada ya hapo hufuata chuki kali mno.
Tatizo ni nini wakuu hebu tuasaidiane isijekuwa nina tatizo sehemu ikapelekea nikapigwa kisu siku moja. Maana wanawake wengine akili zao wanazijua wao. Nakaribisha mchango positive na utani kiasi, matusi yasubiri uzi wake wa matusi.
Ok let me make it brooNo i mean chukua aina tofauti tifauti simultaneuosly, mathalan mmoja awe na tako, mwingine kipapatio, mmoja awe na ghubu, asikosekane mwenye huba, kwenye list akikosekana mmakonde basi hakikisha umemreplace na mngindo au mdigo,mwisho japo si kwa umuhimu hakikisha pamoja na wote hao uwe na kamchepuko as backup au spare tyre!
Mkuu niletee mwanamke ambae sio mzinzi nakuapia namuoa mwaka kesho hiyo hiyo..Acha uzinzi wewe,wanapogundua kuwa wewe ni mzinzi na huhitaji mapenzi ya kweli lazima wakuchukie tu...
Ila nakupa angalizo mkuu, mwanaume kumiliki mwanamke zaidi ya mmoja ni liability ila mwanamke kumilikiwa na mwanaume zaidi ya mmoja kwake ni asset!Ok let me make it broo
Maana maisha bila mpenzi hata hizi pesa huwezi kuzifurahia
Maana unapewa sex but ukitaka kuishi seriously unakuta mwenzio anawaza direction tofauti.
Unakuwa umempotezea muda, mayai yanaisha umri unavyosonga... acha tu wakukasirikie, ikibidi wakutupie jini 🤣Inatokea nadate na mwanamke, kwa muda mrefu, au muda mfupi, let's say miezi mitatu, au mwaka. Hapo unakuta manzi ananiimbia, nyimbo za malengo ya ndoa. Hata kama anajua fika kuwa nilimnunua baada ya mitongozo kusua sua. Mwamba naapply pesa. Dau linatiki na hii mbinu haijawah kuniangusha.
Sasa unakuta yeye anajua tuko kibiashara kabisa. Lakini anataka kujiweka awe mke. Na mimi ni hunter tu naepita. Maana sina jiko so nafanya tu kumtuliza huyu boy mdogo kipofu. Sasa ikitokea manzi ananiganda yaani anawaza kunigeuza niwe husband materio a.k.a simp. Mi nakataa hapo sasa unakuta tunaachana for good sake.
Ajabu ni hii ambayo nataka mnisaidie tafadhali. Ni kwanini nikiachana na hawa wanawake wanaweka chuki kali sana kwangu? Kiasi najiuliza kwani nimemfanyia nini huyu? Hata mke wangu aliponiacha aliniwekea chuki kubwa sana nikawa sielewi, nikawa najipa moyo tu kuwa ni kwasababu hakunipenda wala kunihitaji tena.
Lakini hii imeendelea kwa wanawake wengine. Japo ni wao huleta wazo la kuachana. Sijawahi kumwambia mwanamke kuwa tuachane hata kama simhitaji kabisa, wao ndio huniambia tuachane au tumeachana. Kisha baada ya hapo hufuata chuki kali mno.
Tatizo ni nini wakuu hebu tuasaidiane isijekuwa nina tatizo sehemu ikapelekea nikapigwa kisu siku moja. Maana wanawake wengine akili zao wanazijua wao. Nakaribisha mchango positive na utani kiasi, matusi yasubiri uzi wake wa matusi.
Naona kuna jambo hasemi, unajua kuna wale 'me hasemi moja kwa moja terms and condition za uhusiano yaani, ni couple ya aina gani. Tunajenga au tunapita tu. Ukute ndugu mdau is just stringing along these ladies hawaelewi wanasimama wapi ndio maana wanakasirikaBaada ya kuachana nao wanaonyeshaje chuki kwako wakati mmesha achana?
Hua wanakuja kwako? Wanakupigia simu? Wanakutumia msg? Ni njia ipi ambayo hua wanaitumia kuonyesha chuki kwako?
Ukiachana na Mwanamke,basi kila kitu kinaishia hapo,kila mtu akamate njia yake,unafanya kama vile hukuwahi kukutana nae katika maisha yako,unaendelea na mambo yako,unakua huna access nae,hiyo dharau yake atakuonyeshaje wakati huna mawasiliano nae?
Grow up and live ur life,
Life is very short,enjoy it.
Na hii ndio shida mkuuWanawake wanajifanyaga hawaelewi,umempata kibiashara sasa ukitaka kuhamia kwingine linakuwa tatzo wakat natumia hela kuwa nae
Sitawamiliki per once but nitakuwa nadate na mmoja naachana nae then nachukua mwingine ili nielewe kitu.Ila nakupa angalizo mkuu, mwanaume kumiliki mwanamke zaidi ya mmoja ni liability ila mwanamke kumilikiwa na mwanaume zaidi ya mmoja kwake ni asset!
Mkuu mwanamke mwenye haki ya kunidai muda wake ni mmoja tuUnakuwa umempotezea muda, mayai yanaisha umri unavyosonga... acha tu wakukasirikie, ikibidi wakutupie jini 🤣
😀😀😀😀😀Tatizo hili, mkiachana kila weekend ikifika anakumbuka nyama choma, sasa kwanini asikuchukie
Baada ya kuachana kitapita kipindi kifupi kidogo ambacho mwanamke anakua na chuki dhidi yako, kwaiyo kaa nao mbali, ukipita muda mrefu hakuna interaction yoyote kati yenu siku mtakapokuja kuonana tena inakua amani tu.Inatokea nadate na mwanamke, kwa muda mrefu, au muda mfupi, let's say miezi mitatu, au mwaka. Hapo unakuta manzi ananiimbia, nyimbo za malengo ya ndoa. Hata kama anajua fika kuwa nilimnunua baada ya mitongozo kusua sua. Mwamba naapply pesa. Dau linatiki na hii mbinu haijawah kuniangusha.
Sasa unakuta yeye anajua tuko kibiashara kabisa. Lakini anataka kujiweka awe mke. Na mimi ni hunter tu naepita. Maana sina jiko so nafanya tu kumtuliza huyu boy mdogo kipofu. Sasa ikitokea manzi ananiganda yaani anawaza kunigeuza niwe husband materio a.k.a simp. Mi nakataa hapo sasa unakuta tunaachana for good sake.
Ajabu ni hii ambayo nataka mnisaidie tafadhali. Ni kwanini nikiachana na hawa wanawake wanaweka chuki kali sana kwangu? Kiasi najiuliza kwani nimemfanyia nini huyu? Hata mke wangu aliponiacha aliniwekea chuki kubwa sana nikawa sielewi, nikawa najipa moyo tu kuwa ni kwasababu hakunipenda wala kunihitaji tena.
Lakini hii imeendelea kwa wanawake wengine. Japo ni wao huleta wazo la kuachana. Sijawahi kumwambia mwanamke kuwa tuachane hata kama simhitaji kabisa, wao ndio huniambia tuachane au tumeachana. Kisha baada ya hapo hufuata chuki kali mno.
Tatizo ni nini wakuu hebu tuasaidiane isijekuwa nina tatizo sehemu ikapelekea nikapigwa kisu siku moja. Maana wanawake wengine akili zao wanazijua wao. Nakaribisha mchango positive na utani kiasi, matusi yasubiri uzi wake wa matusi.