Wazoefu na wataalamu wa mapenzi nisaidieni maana sielewi shida nini?

Wazoefu na wataalamu wa mapenzi nisaidieni maana sielewi shida nini?

Wanakua wamekuelewa sana so wanatamani wakumiliki uwe nao for life kitu ambacho kwako ni ndoto za bunuasi

Cc Smart911
Nani anataka kumilikiwa sasa, mimi?
Hapana.
Na mbaya nikikupata nakuhandle kwa uzito wa juu sana. Yaani nakusimamia ile sana kama mume wako anavyotakiwa akusimamie hadi unaanza kuniita ofisini au kwenye biashara zako nishinde na wewe nakuja siku tatu tu nakubebisha maana najua unataka uwatambie wenzako kuwa umependwa after that narudi kwenye mishe zangu.
Ila ukishaanza tu habari za kutaka kuongea na mama yangu hapo ndio unaanza kuona mvua inanyesha bila mawingu.
Maana namjua mama yangu japo anajua alichonitenda mke wangu wa ndoa bado atataka nikuoe ni jambo ambalo
Siruhusu hata uanze kupanga.
Ukianza kusema tu kuwa unataka nikuoe nakata mawasiliano nakuwa nimesimama mbali nakuzoom tu
Hapo natafuta mwingine wa kumrukia chap.
 
Mahali penye uchafu utakuta nzi wengi sana


Mahali penye Asali Huwezi kukosa nyuki 🐝


MKUU jiwajibikie mwenyewe ukiona Kitu au Hali yoyote iwe njema au mbaya inakuja Kwako na kukupata haijakosea njia 👉imekuja Mahali pake pa kuweka makazi


Ukiona unachukiwa jichunguze mwenyewe Sio kutupa lawama kwa wengine Wakati wewe ndiye mwenye matatizo


Hizo chuki hazijakosea njia Mkuu na usipojiangalia mwenyewe na kujisahihisha na kujisafisha na udhalimu wote utazidi kuchukiwa ADI Siku unaingia kaburini
Did you call me mdhalimu?
Mkuu kukataa kuwa punda wa wanawake ndio uniite mdhalimu?
Mkuu when you marry a woman,,
Is like you invited her to come and help you finish your money, if its that plenty, she will give birth to her friends in the name of our children. They'll take all your money and future,
After that, they will co-operate in pushing you into deeper grave.

Me as Sonko, I dont want that kind of shit.
Waiter, get me Red meat, 7up and a piece of lemon, while I sit here and hunt a beautiful lady to prey on her emotions.
 
Sasa waendelee kukupenda wakati umeacha kuwaungisha kwenye biashara ya ngono...
Hili nalo neno shida wao hawataki tena biashara wanataka wanimiliki wanasahau tunatakiwa kuendelea kufanya biashara

Kuna mmoja nikamsisitizia kabisa kuwa oya
Mimi na wewe tuko kibiashara kila tukikutana nakupa chako unaweka knicker pale.
Akasema sawa hivyo na mimi ndio napenda sipendi mwanaume wa kuniganda.
Sonko nikajua nimepata mtu aliyenielewa nini namaanisha.

Kwenda nae tu siku hiyo hiyo naona zinaanza sifa lukuki mara oooh kimeenda kimerudi.
Nikajua kumekucha yameanza yale mapicha.
Nikakausha huku nikiwa najua kuwa huyu nae naelekea kumpoteza.
Baada ya siku moja mtu anadai tukutane ikibidi aje kwangu niaksema noo.
Akadai twende lodge.
Nikamkwepa kuwa sijatenga fungu lake.
Akadai hataki pesa bali ananitaka mimi na ana mazungumzo.
Niaksema kama ni mazungumzo aseme restaurant gani tukutane tuongee akagoma.

Nikawaza ndio maana alikuwa ananifinyia kwa ndani akidhani ndio kete ya kuninasa?
Angejua nilishafinyiwa kwa ndani na mke wangu akaniingiza shimoni akaniacha peke yangu asingewaza hayo.
Naamua kuwalipa ili wasweke hisia zao kwangu lakini bado wapi inageuka kero tu wanataka wanimiliki na hicho kitu nishasema sitaki kumilikiwa na mwanamke.
Hata awe kajiumba mwenyewe haiwezekani kamwe.
 
Did you call me mdhalimu?
Mkuu kukataa kuwa punda wa wanawake ndio uniite mdhalimu?
Mkuu when you marry a woman,,
Is like you invited her to come and help you finish your money, if its that plenty, she will give birth to her friends in the name of our children. They'll take all your money and future,
After that, they will co-operate in pushing you into deeper grave.

Me as Sonko, I dont want that kind of shit.
Waiter, get me Red meat, 7up and a piece of lemon, while I sit here and hunt a beautiful lady to prey on her emotions.


MKUU Unajua maana ya udhalimu?
 
Did you call me mdhalimu?
Mkuu kukataa kuwa punda wa wanawake ndio uniite mdhalimu?
Mkuu when you marry a woman,,
Is like you invited her to come and help you finish your money, if its that plenty, she will give birth to her friends in the name of our children. They'll take all your money and future,
After that, they will co-operate in pushing you into deeper grave.

Me as Sonko, I dont want that kind of shit.
Waiter, get me Red meat, 7up and a piece of lemon, while I sit here and hunt a beautiful lady to prey on her emotions.



MWANAMKE ni mtu HATARI sana na anauwezo wa kukudondosha chini na usiinuke tena haijalishi una hali Gani... pitia kwa upya taratibu na kanuni zako zinazokuongoza kuishi juu ya hi ardhi na KIUMBE kinachoitwa mwanamke Mkuu
 
Inatokea nadate na mwanamke, kwa muda mrefu, au muda mfupi, let's say miezi mitatu, au mwaka. Hapo unakuta manzi ananiimbia, nyimbo za malengo ya ndoa. Hata kama anajua fika kuwa nilimnunua baada ya mitongozo kusua sua. Mwamba naapply pesa. Dau linatiki na hii mbinu haijawah kuniangusha.

Sasa unakuta yeye anajua tuko kibiashara kabisa. Lakini anataka kujiweka awe mke. Na mimi ni hunter tu naepita. Maana sina jiko so nafanya tu kumtuliza huyu boy mdogo kipofu. Sasa ikitokea manzi ananiganda yaani anawaza kunigeuza niwe husband materio a.k.a simp. Mi nakataa hapo sasa unakuta tunaachana for good sake.

Ajabu ni hii ambayo nataka mnisaidie tafadhali. Ni kwanini nikiachana na hawa wanawake wanaweka chuki kali sana kwangu? Kiasi najiuliza kwani nimemfanyia nini huyu? Hata mke wangu aliponiacha aliniwekea chuki kubwa sana nikawa sielewi, nikawa najipa moyo tu kuwa ni kwasababu hakunipenda wala kunihitaji tena.

Lakini hii imeendelea kwa wanawake wengine. Japo ni wao huleta wazo la kuachana. Sijawahi kumwambia mwanamke kuwa tuachane hata kama simhitaji kabisa, wao ndio huniambia tuachane au tumeachana. Kisha baada ya hapo hufuata chuki kali mno.

Tatizo ni nini wakuu hebu tuasaidiane isijekuwa nina tatizo sehemu ikapelekea nikapigwa kisu siku moja. Maana wanawake wengine akili zao wanazijua wao. Nakaribisha mchango positive na utani kiasi, matusi yasubiri uzi wake wa matusi.
Huwa hawakwambii umetumia miili yao na kuwaacha kama vile wa kwako ulikuwa hautumiki, ulikuwa ukitumia dildo.

Anyway, ndivyo walivyo, maana huondoka wakijua utawatafuta sasa ukikausha wanaona unadharau. Wanachukia
 
Huwa hawakwambii umetumia miili yao na kuwaacha kama vile wa kwako ulikuwa hautumiki, ulikuwa ukitumia dildo.

Anyway, ndivyo walivyo, maana huondoka wakijua utawatafuta sasa ukikausha wanaona unadharau. Wanachukia
You made it Nigger,,
Wao hukimbilia kusema unataka kuwachezea kabla hujala mzigo
Sasa ili kuwagonga nawaahidi tu mambo mazuri huko mbeleni
 
MWANAMKE ni mtu HATARI sana na anauwezo wa kukudondosha chini na usiinuke tena haijalishi una hali Gani... pitia kwa upya taratibu na kanuni zako zinazokuongoza kuishi juu ya hi ardhi na KIUMBE kinachoitwa mwanamke Mkuu
Mwanamke mpaka anidondoshe ni mpaka nimpe huo muda
Labda nikupe hint kidogo juu ya wanawake mkuu..
Wanawake wengine huniwinda kutokana na maelekezo maalum kutoka kwa wataalamu wao either wapeleke kucha zangu au shahawa zangu ambazo ndio mimi mwenyewe.
So hapo ninachokifanya ni mimi mwenyewe najua namna ya kuwafanya wasivipate hivyo vitu.
Nyuzi za boksaa na vitu kama nywele anaweza kuvipata lakini navyo
Tuna uwezo wa kublock visifanye kazi kabisa..
Kuna koo huwezi kuchezea mabinti zao maana mabinti hao walitegwa vibaya ningekupa kisa kimoja cha binti mmoja wa huko visiwani sema anaweza kunifuatilia humu akaunganisha dots akasanuka..
Nitakuwa nimeharibu sana.
Ngoja kwanza niendelee kumla kwanza maana huyu kajaa mazima hatuuziani ila ana ndoto za kuishi na mimi
Na kashaweka mikakati ya kunimiliki hajui
Mwenzie sina mpango wa kumilikiwa hata kidogo yaani.
 
Inatokea nadate na mwanamke, kwa muda mrefu, au muda mfupi, let's say miezi mitatu, au mwaka. Hapo unakuta manzi ananiimbia, nyimbo za malengo ya ndoa. Hata kama anajua fika kuwa nilimnunua baada ya mitongozo kusua sua. Mwamba naapply pesa. Dau linatiki na hii mbinu haijawah kuniangusha.

Sasa unakuta yeye anajua tuko kibiashara kabisa. Lakini anataka kujiweka awe mke. Na mimi ni hunter tu naepita. Maana sina jiko so nafanya tu kumtuliza huyu boy mdogo kipofu. Sasa ikitokea manzi ananiganda yaani anawaza kunigeuza niwe husband materio a.k.a simp. Mi nakataa hapo sasa unakuta tunaachana for good sake.

Ajabu ni hii ambayo nataka mnisaidie tafadhali. Ni kwanini nikiachana na hawa wanawake wanaweka chuki kali sana kwangu? Kiasi najiuliza kwani nimemfanyia nini huyu? Hata mke wangu aliponiacha aliniwekea chuki kubwa sana nikawa sielewi, nikawa najipa moyo tu kuwa ni kwasababu hakunipenda wala kunihitaji tena.

Lakini hii imeendelea kwa wanawake wengine. Japo ni wao huleta wazo la kuachana. Sijawahi kumwambia mwanamke kuwa tuachane hata kama simhitaji kabisa, wao ndio huniambia tuachane au tumeachana. Kisha baada ya hapo hufuata chuki kali mno.

Tatizo ni nini wakuu hebu tuasaidiane isijekuwa nina tatizo sehemu ikapelekea nikapigwa kisu siku moja. Maana wanawake wengine akili zao wanazijua wao. Nakaribisha mchango positive na utani kiasi, matusi yasubiri uzi wake wa matusi.
Manz ushaachana nae iyo chuki yake unaijuaje, ama huwa unaendelea kusumbua
 
Back
Top Bottom