Wazoefu na wataalamu wa mapenzi nisaidieni maana sielewi shida nini?

Wazoefu na wataalamu wa mapenzi nisaidieni maana sielewi shida nini?

Sijui kwanini hata Nimecheka lo🤭!

Labda Manzi anakua kamuelewa kisawasawa jamaa na kaona uhakika maisha so anataka kujiweka mazima!

Au anampima tu jamaa aone response yake make wanawake akili zetu tunazijua wenyewe

Hatari sana
Sasa hii si ni hatari
Jana kuna mwingine ananiimbia story za ndoa usiku wa manane na ndio mara ya kwanza tumelala pamoja.
Na mbaya zaidi kwake ni singo maza kabisa..
Nipo namsikilizia mkerewe mmoja hivi.
Nimemuahidi ndoa ambayo najua wazi haipo yaani mkisikia nimerogwa.
Mje na wapiga ndele na vanga
Kunichomoa maana uchawi wa visiwani
Mpaka upate dawa za machifu..
 
Sasa hii si ni hatari
Jana kuna mwingine ananiimbia story za ndoa usiku wa manane na ndio mara ya kwanza tumelala pamoja.
Na mbaya zaidi kwake ni singo maza kabisa..
Nipo namsikilizia mkerewe mmoja hivi.
Nimemuahidi ndoa ambayo najua wazi haipo yaani mkisikia nimerogwa.
Mje na wapiga ndele na vanga
Kunichomoa maana uchawi wa visiwani
Mpaka upate dawa za machifu..
Wanakua wamekuelewa sana so wanatamani wakumiliki uwe nao for life kitu ambacho kwako ni ndoto za bunuasi

Cc Smart911
 
Inatokea nadate na mwanamke, kwa muda mrefu, au muda mfupi, let's say miezi mitatu, au mwaka. Hapo unakuta manzi ananiimbia, nyimbo za malengo ya ndoa. Hata kama anajua fika kuwa nilimnunua baada ya mitongozo kusua sua. Mwamba naapply pesa. Dau linatiki na hii mbinu haijawah kuniangusha.

Sasa unakuta yeye anajua tuko kibiashara kabisa. Lakini anataka kujiweka awe mke. Na mimi ni hunter tu naepita. Maana sina jiko so nafanya tu kumtuliza huyu boy mdogo kipofu. Sasa ikitokea manzi ananiganda yaani anawaza kunigeuza niwe husband materio a.k.a simp. Mi nakataa hapo sasa unakuta tunaachana for good sake.

Ajabu ni hii ambayo nataka mnisaidie tafadhali. Ni kwanini nikiachana na hawa wanawake wanaweka chuki kali sana kwangu? Kiasi najiuliza kwani nimemfanyia nini huyu? Hata mke wangu aliponiacha aliniwekea chuki kubwa sana nikawa sielewi, nikawa najipa moyo tu kuwa ni kwasababu hakunipenda wala kunihitaji tena.

Lakini hii imeendelea kwa wanawake wengine. Japo ni wao huleta wazo la kuachana. Sijawahi kumwambia mwanamke kuwa tuachane hata kama simhitaji kabisa, wao ndio huniambia tuachane au tumeachana. Kisha baada ya hapo hufuata chuki kali mno.

Tatizo ni nini wakuu hebu tuasaidiane isijekuwa nina tatizo sehemu ikapelekea nikapigwa kisu siku moja. Maana wanawake wengine akili zao wanazijua wao. Nakaribisha mchango positive na utani kiasi, matusi yasubiri uzi wake wa matusi.
Nisubiri uniambie tuachane wakati matendo yanaonyesha umeshaniacha?
Ndo maana wanakuchukia
 
Sasa hii si ni hatari
Jana kuna mwingine ananiimbia story za ndoa usiku wa manane na ndio mara ya kwanza tumelala pamoja.
Na mbaya zaidi kwake ni singo maza kabisa..
Nipo namsikilizia mkerewe mmoja hivi.
Nimemuahidi ndoa ambayo najua wazi haipo yaani mkisikia nimerogwa.
Mje na wapiga ndele na vanga
Kunichomoa maana uchawi wa visiwani
Mpaka upate dawa za machifu..
Ss kwann uhaihidi kitu ambacho unajua fika hakipo?
Then tunashangaa kuchukiwašŸ˜„
 
Wakati nakuquote kuna lingine hapa tunapeana kibuti now now
Sasa ukiona hizo text zake zilivyojaa chuki halafu na taarabu nyingi duuh.
Ila kumbuka unavyolala na Kila mwanamke Kwa bidii, ndivyo unavyochafua nafasi yako kupitia hao wanawake ndivyo unavyojiungamanisha na mikosi ,mapepo nk ya hao watu
 
You are a vessel, devil uses you unknowingly to manipulate women, to promote sexual perversion and to introduce them to dark spirits that ruins their lives and steals their stars as they did to you
After you recruit a woman those spirits won't let you rest or stay with the same woman till you recruit more and more of them..

So I advice you accept Jesus as the Lord and savior then start to live holy life
 
Inatokea nadate na mwanamke, kwa muda mrefu, au muda mfupi, let's say miezi mitatu, au mwaka. Hapo unakuta manzi ananiimbia, nyimbo za malengo ya ndoa. Hata kama anajua fika kuwa nilimnunua baada ya mitongozo kusua sua. Mwamba naapply pesa. Dau linatiki na hii mbinu haijawah kuniangusha.

Sasa unakuta yeye anajua tuko kibiashara kabisa. Lakini anataka kujiweka awe mke. Na mimi ni hunter tu naepita. Maana sina jiko so nafanya tu kumtuliza huyu boy mdogo kipofu. Sasa ikitokea manzi ananiganda yaani anawaza kunigeuza niwe husband materio a.k.a simp. Mi nakataa hapo sasa unakuta tunaachana for good sake.

Ajabu ni hii ambayo nataka mnisaidie tafadhali. Ni kwanini nikiachana na hawa wanawake wanaweka chuki kali sana kwangu? Kiasi najiuliza kwani nimemfanyia nini huyu? Hata mke wangu aliponiacha aliniwekea chuki kubwa sana nikawa sielewi, nikawa najipa moyo tu kuwa ni kwasababu hakunipenda wala kunihitaji tena.

Lakini hii imeendelea kwa wanawake wengine. Japo ni wao huleta wazo la kuachana. Sijawahi kumwambia mwanamke kuwa tuachane hata kama simhitaji kabisa, wao ndio huniambia tuachane au tumeachana. Kisha baada ya hapo hufuata chuki kali mno.

Tatizo ni nini wakuu hebu tuasaidiane isijekuwa nina tatizo sehemu ikapelekea nikapigwa kisu siku moja. Maana wanawake wengine akili zao wanazijua wao. Nakaribisha mchango positive na utani kiasi, matusi yasubiri uzi wake wa matusi.


Mahali penye uchafu utakuta nzi wengi sana


Mahali penye Asali Huwezi kukosa nyuki šŸ


MKUU jiwajibikie mwenyewe ukiona Kitu au Hali yoyote iwe njema au mbaya inakuja Kwako na kukupata haijakosea njia šŸ‘‰imekuja Mahali pake pa kuweka makazi


Ukiona unachukiwa jichunguze mwenyewe Sio kutupa lawama kwa wengine Wakati wewe ndiye mwenye matatizo


Hizo chuki hazijakosea njia Mkuu na usipojiangalia mwenyewe na kujisahihisha na kujisafisha na udhalimu wote utazidi kuchukiwa ADI Siku unaingia kaburini
 
You are a vessel, devil uses you unknowingly to manipulate women, to promote sexual perversion and to introduce them to dark spirits that ruins their lives and steals their stars as they did to you
After you recruit a woman those spirits won't let you rest or stay with the same woman till you recruit more and more of them..

So I advice you accept Jesus as the Lord and savior then start to live holy life

šŸ”‘
 
Bado nchi ina watu wapuuzi sana. Mleta uzi ni mfano hai.
Kwamba upuuzi ni kula mema ya nchi?
basi kila mmoja ni mpuuzi tu..
Kaeni na matusi yenu mnaojiona werevu sana..
Hapa nataka ushauri tu umesikia wewe mama? Mwenye naniliuu pana kama govi la tembo.
 
Ila kumbuka unavyolala na Kila mwanamke Kwa bidii, ndivyo unavyochafua nafasi yako kupitia hao wanawake ndivyo unavyojiungamanisha na mikosi ,mapepo nk ya hao watu
Uncle hizo fikra za kupewa mikosi ondoa kichwani mwako kabisa maana tuna njia za kuondoa hizo mnaita sijui mikosi na nuksi
Kama huna dawa ni wewe..
Hivi mnaishije na wazee wenu halafu hawawarithishi hata dawa za kuondoa mikosi? Ina maana ninyi faida zenu ni kurithi majina tu na kusaidiwa kifedha?
Wanakufa ukoo mzima hakuna hata mtu mmoja mwenye dawa wala maarifa ya kutibu hata kaswende hadi mnakimbilia kujazana muhimbili na kuambukizana magonjwa mapya kupitia njia ya hewa?
Mkuu nikuambie tu kitu kidogo hakuna hicho kitu kwenye koo zetu
 
Halafu unategemea wasikuchukie
Haya mambo bwana Bora kuwa single tu
No stress sometimes šŸ˜„
Mkuu kuwa single hapana nakukatalia tena hapana
Wewe kamata mtoto wa watu mdanganye tu.
Yaani hakikisha unamdanganya sana.
Maana usipodanganya wewe bado utadanganywa na huyo uliyeamua kuwa mkweli kwake.
Ni kanuni tu ya mahusiano mkuu
Wewe mtu kazaa kabisa halafu anakuambia kuwa anakupenda umuoe?
Halafu wewe usimdanganye? Acha umalaika ambao najua kama wewe ni mwanaume huna.
Na kama una huo wema basi wewe ni bwege ambae baadae utakuja uamke na kuwa mnyama zaidi yangu.
Nakuapia tena.
Endelea kuniona mimi mshenzi wakati huo huo na mimi nakuona bwege.
 
Back
Top Bottom