min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Nimekuzoea kwenye uzi wetu wa makapukušAah kidogo tu bwanah [emoji1787] ulijua bubu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekuzoea kwenye uzi wetu wa makapukušAah kidogo tu bwanah [emoji1787] ulijua bubu
Sawa mkuu wewe huna?
Sijui kwanini hata Nimecheka loš¤!
Sasa hii si ni hatariSijui kwanini hata Nimecheka loš¤!
Labda Manzi anakua kamuelewa kisawasawa jamaa na kaona uhakika maisha so anataka kujiweka mazima!
Au anampima tu jamaa aone response yake make wanawake akili zetu tunazijua wenyewe
Hatari sana
Wanakua wamekuelewa sana so wanatamani wakumiliki uwe nao for life kitu ambacho kwako ni ndoto za bunuasiSasa hii si ni hatari
Jana kuna mwingine ananiimbia story za ndoa usiku wa manane na ndio mara ya kwanza tumelala pamoja.
Na mbaya zaidi kwake ni singo maza kabisa..
Nipo namsikilizia mkerewe mmoja hivi.
Nimemuahidi ndoa ambayo najua wazi haipo yaani mkisikia nimerogwa.
Mje na wapiga ndele na vanga
Kunichomoa maana uchawi wa visiwani
Mpaka upate dawa za machifu..
Nisubiri uniambie tuachane wakati matendo yanaonyesha umeshaniacha?Inatokea nadate na mwanamke, kwa muda mrefu, au muda mfupi, let's say miezi mitatu, au mwaka. Hapo unakuta manzi ananiimbia, nyimbo za malengo ya ndoa. Hata kama anajua fika kuwa nilimnunua baada ya mitongozo kusua sua. Mwamba naapply pesa. Dau linatiki na hii mbinu haijawah kuniangusha.
Sasa unakuta yeye anajua tuko kibiashara kabisa. Lakini anataka kujiweka awe mke. Na mimi ni hunter tu naepita. Maana sina jiko so nafanya tu kumtuliza huyu boy mdogo kipofu. Sasa ikitokea manzi ananiganda yaani anawaza kunigeuza niwe husband materio a.k.a simp. Mi nakataa hapo sasa unakuta tunaachana for good sake.
Ajabu ni hii ambayo nataka mnisaidie tafadhali. Ni kwanini nikiachana na hawa wanawake wanaweka chuki kali sana kwangu? Kiasi najiuliza kwani nimemfanyia nini huyu? Hata mke wangu aliponiacha aliniwekea chuki kubwa sana nikawa sielewi, nikawa najipa moyo tu kuwa ni kwasababu hakunipenda wala kunihitaji tena.
Lakini hii imeendelea kwa wanawake wengine. Japo ni wao huleta wazo la kuachana. Sijawahi kumwambia mwanamke kuwa tuachane hata kama simhitaji kabisa, wao ndio huniambia tuachane au tumeachana. Kisha baada ya hapo hufuata chuki kali mno.
Tatizo ni nini wakuu hebu tuasaidiane isijekuwa nina tatizo sehemu ikapelekea nikapigwa kisu siku moja. Maana wanawake wengine akili zao wanazijua wao. Nakaribisha mchango positive na utani kiasi, matusi yasubiri uzi wake wa matusi.
Halafu unategemea wasikuchukieKuhusu kupika hapana napenda sana nikidate na mwanamke
Nimchomee nyama once per week.
Ss kwann uhaihidi kitu ambacho unajua fika hakipo?Sasa hii si ni hatari
Jana kuna mwingine ananiimbia story za ndoa usiku wa manane na ndio mara ya kwanza tumelala pamoja.
Na mbaya zaidi kwake ni singo maza kabisa..
Nipo namsikilizia mkerewe mmoja hivi.
Nimemuahidi ndoa ambayo najua wazi haipo yaani mkisikia nimerogwa.
Mje na wapiga ndele na vanga
Kunichomoa maana uchawi wa visiwani
Mpaka upate dawa za machifu..
Ila kumbuka unavyolala na Kila mwanamke Kwa bidii, ndivyo unavyochafua nafasi yako kupitia hao wanawake ndivyo unavyojiungamanisha na mikosi ,mapepo nk ya hao watuWakati nakuquote kuna lingine hapa tunapeana kibuti now now
Sasa ukiona hizo text zake zilivyojaa chuki halafu na taarabu nyingi duuh.
Inatokea nadate na mwanamke, kwa muda mrefu, au muda mfupi, let's say miezi mitatu, au mwaka. Hapo unakuta manzi ananiimbia, nyimbo za malengo ya ndoa. Hata kama anajua fika kuwa nilimnunua baada ya mitongozo kusua sua. Mwamba naapply pesa. Dau linatiki na hii mbinu haijawah kuniangusha.
Sasa unakuta yeye anajua tuko kibiashara kabisa. Lakini anataka kujiweka awe mke. Na mimi ni hunter tu naepita. Maana sina jiko so nafanya tu kumtuliza huyu boy mdogo kipofu. Sasa ikitokea manzi ananiganda yaani anawaza kunigeuza niwe husband materio a.k.a simp. Mi nakataa hapo sasa unakuta tunaachana for good sake.
Ajabu ni hii ambayo nataka mnisaidie tafadhali. Ni kwanini nikiachana na hawa wanawake wanaweka chuki kali sana kwangu? Kiasi najiuliza kwani nimemfanyia nini huyu? Hata mke wangu aliponiacha aliniwekea chuki kubwa sana nikawa sielewi, nikawa najipa moyo tu kuwa ni kwasababu hakunipenda wala kunihitaji tena.
Lakini hii imeendelea kwa wanawake wengine. Japo ni wao huleta wazo la kuachana. Sijawahi kumwambia mwanamke kuwa tuachane hata kama simhitaji kabisa, wao ndio huniambia tuachane au tumeachana. Kisha baada ya hapo hufuata chuki kali mno.
Tatizo ni nini wakuu hebu tuasaidiane isijekuwa nina tatizo sehemu ikapelekea nikapigwa kisu siku moja. Maana wanawake wengine akili zao wanazijua wao. Nakaribisha mchango positive na utani kiasi, matusi yasubiri uzi wake wa matusi.
You are a vessel, devil uses you unknowingly to manipulate women, to promote sexual perversion and to introduce them to dark spirits that ruins their lives and steals their stars as they did to you
After you recruit a woman those spirits won't let you rest or stay with the same woman till you recruit more and more of them..
So I advice you accept Jesus as the Lord and savior then start to live holy life
Kwamba upuuzi ni kula mema ya nchi?Bado nchi ina watu wapuuzi sana. Mleta uzi ni mfano hai.
Uncle hizo fikra za kupewa mikosi ondoa kichwani mwako kabisa maana tuna njia za kuondoa hizo mnaita sijui mikosi na nuksiIla kumbuka unavyolala na Kila mwanamke Kwa bidii, ndivyo unavyochafua nafasi yako kupitia hao wanawake ndivyo unavyojiungamanisha na mikosi ,mapepo nk ya hao watu
Mkuu kuwa single hapana nakukatalia tena hapanaHalafu unategemea wasikuchukie
Haya mambo bwana Bora kuwa single tu
No stress sometimes š
Haaa kumbe ni pisi?Nisubiri uniambie tuachane wakati matendo yanaonyesha umeshaniacha?
Ndo maana wanakuchukia