Wazoefu na wataalamu wa mapenzi nisaidieni maana sielewi shida nini?

Wazoefu na wataalamu wa mapenzi nisaidieni maana sielewi shida nini?

Hii mentality mnaitoa wapi? Chuki kivipi?

Kwa hio hio ndio chuki?


Grudge = Scarcity mindset

And grudge is product of inferiority complex and inferiority complex is product of EGO.


Ili kujua unachukiwa au hauchukiwi fatilia hapo.
 
Hii mentality mnaitoa wapi? Chuki kivipi? Nna mslulu wa wanawake niliowaacha nyuma na hakuna anaenichukia mostly hua nawachekecha nione km nikiomba mzigo napewa na kweli nikichekecha wanajaa sasa najiuliza hio michuki nyinyi mnaitoa wapi?
Wakati nakuquote kuna lingine hapa tunapeana kibuti now now
Sasa ukiona hizo text zake zilivyojaa chuki halafu na taarabu nyingi duuh.
 
[emoji16][emoji16][emoji16]Japo mimi sio nguli wa mapenzi , ila sijaelewa wanaweka vipi chuki kwako? Wanakununia? Au wanataka kukupiga , kukuwinda ? Kivipi yani ? umejua vipi wana chuki na wewe[emoji2958]

Shida ni hela alizokuwa nazo na kujimwambafy akiwa nao bwanah
 
Ugomvi sio mzuri mm wiki ya jana nmekutana na ex wangu tuliepoteana kwa mda mrefu, tukafurahi tukapeana namba jana kanikopesha laki mbili nikanunulia mifugo pumba.
Wewe unatumia mapenzi kwa faida hongera sana 😂
 
Inatokea nadate na mwanamke, kwa muda mrefu, au muda mfupi, let's say miezi mitatu, au mwaka. Hapo unakuta manzi ananiimbia, nyimbo za malengo ya ndoa. Hata kama anajua fika kuwa nilimnunua baada ya mitongozo kusua sua. Mwamba naapply pesa. Dau linatiki na hii mbinu haijawah kuniangusha.

Sasa unakuta yeye anajua tuko kibiashara kabisa. Lakini anataka kujiweka awe mke. Na mimi ni hunter tu naepita. Maana sina jiko so nafanya tu kumtuliza huyu boy mdogo kipofu. Sasa ikitokea manzi ananiganda yaani anawaza kunigeuza niwe husband materio a.k.a simp. Mi nakataa hapo sasa unakuta tunaachana for good sake.

Ajabu ni hii ambayo nataka mnisaidie tafadhali. Ni kwanini nikiachana na hawa wanawake wanaweka chuki kali sana kwangu? Kiasi najiuliza kwani nimemfanyia nini huyu? Hata mke wangu aliponiacha aliniwekea chuki kubwa sana nikawa sielewi, nikawa najipa moyo tu kuwa ni kwasababu hakunipenda wala kunihitaji tena.

Lakini hii imeendelea kwa wanawake wengine. Japo ni wao huleta wazo la kuachana. Sijawahi kumwambia mwanamke kuwa tuachane hata kama simhitaji kabisa, wao ndio huniambia tuachane au tumeachana. Kisha baada ya hapo hufuata chuki kali mno.

Tatizo ni nini wakuu hebu tuasaidiane isijekuwa nina tatizo sehemu ikapelekea nikapigwa kisu siku moja. Maana wanawake wengine akili zao wanazijua wao. Nakaribisha mchango positive na utani kiasi, matusi yasubiri uzi wake wa matusi.
Unatakiwa kabla ya kudate unamsisitiza kuwa huna malengo naye na mpo kibiashara tu
 
Unatakiwa kabla ya kudate unamsisitiza kuwa huna malengo naye na mpo kibiashara tu
Oya mkuu kwa gia hii unataka nipige nyeto mpaka parachute iuzwe 30k?
Hawa wapuuzi hawatakiwi kuijua next step yako.
Ishi humu mkuu.
Nina mwanangu mmoja hivi mwanzo nilikuwa simuelewi kabisa itikadi zake. But muda unavyozidi kwenda naanza kumuelewa kiundani zaidi.

Iko hivi jamaa ni famous sana hapa town,
Hakuna connection inayomshinda.
Sasa wakati wife aliamua kusepa nilibaki na sonona sana.
Kwanza nilikaa ndani tu yaani sitoki kwenda mahali popote miezi minne mfululizo.
Hapo siendi kazini wala mishe yoyote ile.
Ikifika usiku naenda kuchukua maziwa mtindi tu ndio yanapita kooni chakula sina hamu nacho kabisa.
Mwana akanicheki hewani
Oya Sonko mbona sikuoni na wakati sio kawaida? Na vipi kuhusu biashara X uliyoniambia nitafute tenda?
Maana tayari nina tenda tatu hoteli A, hoteli B na hoteli C wameniambia nipeleke sample
Inakuwaje sasa?
Ndio nikampa mchapo kamili kuwa shemela kasepa lakini sio hivyo tu kuna mambo kibao ya pesa keshaharibu sana.
Yaani kuna namna kaamua kujilipa mwenyewe kwa miaka kumi tuliyokaa pamoja.
Mwamba ananiuliza uko wapi?
Namjibu niko B.... huku
Ananiambia njoo ofisini.
Namwambia poa.
Baadae naibuka pale.
Tunabonga sana atleast naiona nafuu kidogo.
Mwamba ananiambia twende kiwanja fulani.
Tunaibuka,, tunabonyea sana pale mpaka ngoma tano hivi.
Kisha mwamba ananiaga kidogo,, Oya Sonko nakuja one time,, nampa CCM(dole gumba) pale, anasogea kaunta anaclear bill.
Mi namcheki tu hatua zake baada ya yeye kusepa natoka maeneo yale nakodi boda mpaka home.
Ile naingia kwa bed tu hivi mwamba ananivutia waya.
Napokea, Mwamba : Sonko uko wapi? Maana nimekuja na shemeji yako nikutambulishe.
Mimi: King nishang'oa muda hivi niko pentagon.
Mwamba anasikika ile kinyonge sana : Poa Sonko but shemej nae alikuwa kaambatana na mwenzie halafu yeye hana mtu, nikawa nimesema nae akawa ameelewa nilitaka uwepo muonane.
Nikamwambia sio kesi kesho nitakuwepo waambie waje.
Akajibu poa akakata waya.
Niliwaza yaani mtu nina machungu ya kuachwa halafu huyu ananiletea wale wale?
Si aniache nipumzike kwanza? Kumbe najiongopea sitakiwi kupumzika kabisa inatakiwa nibandike kitu kipya ili hii hali iishe.
Na King ndie anahakikisha hilo linatokea.
Kiaje sasa? Nakuja kuelewa kuwa jamaa anaweza kukusimamisha na mwanamke yeyote yule na akahakikisha kuwa huyo mwanamke unambeba huo uwezo ni wachache sana wanao.
We mwambie tu kuwa nataka wanawake wa kiwango fulani sasa mimi wanawake wa hali ya chini yaani ambao hawana kipato zaidi ya M15-20 kwa mwaka siwataki.
Ila baada ya kukutanishwa na wale wa kipato cha juu nako kuna kikwazo nakutana nacho.
Hawa wamechoka kuwa single wanataka mtu wa kuwaoa yaani hitaji lao ni ndoa hawataki zaidi ya hilo.
Maana kama ni mijengo, magari, kazi na biashara za pembeni wanazo
Changamoto kwangu mi sitaki ndoa na mtu hata kama najicomit kwa mwanamke ila ndoa sitaki.
Na jamaa yangu akinikutanisha na hao watu ananitambulisha mpaka naogopa mwenyewe.
Akigundua kuwa huyo mwanamke ni msomi labda ana masters yeye atamwambia kuwa huyu ni Bro wangu karudi juzi tu kutoka Malaysia anakofanyia biashara zake na ana Masters ya kitu fulani.
Anamtajia mambo lukuki yaani mpaka unaetambulishwa unaogopa lakini sasa kwasababu wanamjua kuwa yeye mwenyewe ni Don wanaamini mazima.
Sawa hata kama nina vipesa lakini sio kwa kiwango hicho anachonipamba nacho King.

Siku nikamuuliza Bro mbona unanisakafia sana kwa hawa viumbe?
Akajibu kuwa we nakukutanishaje na mwanamke anaendesha gari ya milioni 200 halafu nikuache kizembe hivyo lazima nikubrand maana akili yako kwenye miradi naijua ukiongea au kumshauri mtu lazima aweke mzigo kwenye mradi na ukiwa mpenzi wake ndiyo anakufanya kiongozi wake hapo tunafeli vipi?
Mpenzi wako akikubali kuweka milioni 200 kwenye mradi wowote return yake huoni kama itatusapoti kwenye kuboost biashara zetu huku ukizidi kugain trust pamoja na connection kubwa zaidi kutoka kwa wakubwa wengine?
Huyu King kanifanya niyatazame mahusiano katika angle tofauti yaani mafanikio badala ya kuanzisha mahusiano for the sake of kumridhisha Abdallah kipofu tu.
Kama una watu au mtu wa sampuli ya King kwenye circle yako jitahidi kuwekeza time yako kwao.
Hata kama itakubidi kuteketeza 1m kwaajili ya kuspend nae we teketeza tu maana ukipewa cheo cha ubosi usikikatae huwezi jua mwenzako kaona ability gan kwako
Japo unaweza ukawa unajichukulia poa.
Angalizo usipende sana kuongea,, hilo jukumu muachie yeye maana watu wanamuamini yeye.
Akiongea yeye tu inatosha wewe baki kuwa bosi tu na matajiri au wasomi wakubwa huwa hawaongei sana wewe vaa tu ule uhusika kikamilifu hutaamini mlango utakapofungukia..Yaani kiulaini tu mnashoot.
Muhusika anapata faida na ninyi mnakua kupitia alichowekeza mwenye mtaji.
 
Kama hauna malengo nao ni bora usiwatongoze na pia kama lengo lako kumtuliza abdalla jicho moja ni bora ukachukua MLUPO tu.
Mwamba what is mlupo? Is it a permanent girlfriend or who?
Kama ni habari za permanent broo sitaki kabisa wana mazingira mengi sana ya kuusufocate utafutaji wako.
Ukikaa na mwanamke mmoja muda mrefu kidogo aura yake inaimeza ya kwako anakupanda ubongoni anastick akilini.
Then mkiachana hamu ya kula inapotea kabisa.
Iko hivi kwenye mahusiano its either you prey on her, or she prey on you.
Ukishajua hii kanuni usirudi kutafuta kubalance mizani.
Usijali hata jamii ikikusema huyu kaka ana tabia chafu au ni mchafu hasa wadada
Ujue kuwa wanasema hivyo kwasababu hujawataka au ushawadump tayari hivyo hujaingia kwenye mtego wao wa kugeuzwa punda.
Na kinyume chake kila mwanamke anapigania kuja kwako ili akukalishe uache tabia ya kuwatumia wanawake ili awatambie wenzake kuwa yeye ndiye kiboko maana kauweza mfupa ulioshindikana.
Matokeo yake akijisogeza unamkanda unamuacha anachukia maana lengo lake kwako halijatimia.
 
Inatokea nadate na mwanamke, kwa muda mrefu, au muda mfupi, let's say miezi mitatu, au mwaka. Hapo unakuta manzi ananiimbia, nyimbo za malengo ya ndoa. Hata kama anajua fika kuwa nilimnunua baada ya mitongozo kusua sua. Mwamba naapply pesa. Dau linatiki na hii mbinu haijawah kuniangusha.

Sasa unakuta yeye anajua tuko kibiashara kabisa. Lakini anataka kujiweka awe mke. Na mimi ni hunter tu naepita. Maana sina jiko so nafanya tu kumtuliza huyu boy mdogo kipofu. Sasa ikitokea manzi ananiganda yaani anawaza kunigeuza niwe husband materio a.k.a simp. Mi nakataa hapo sasa unakuta tunaachana for good sake.

Ajabu ni hii ambayo nataka mnisaidie tafadhali. Ni kwanini nikiachana na hawa wanawake wanaweka chuki kali sana kwangu? Kiasi najiuliza kwani nimemfanyia nini huyu? Hata mke wangu aliponiacha aliniwekea chuki kubwa sana nikawa sielewi, nikawa najipa moyo tu kuwa ni kwasababu hakunipenda wala kunihitaji tena.

Lakini hii imeendelea kwa wanawake wengine. Japo ni wao huleta wazo la kuachana. Sijawahi kumwambia mwanamke kuwa tuachane hata kama simhitaji kabisa, wao ndio huniambia tuachane au tumeachana. Kisha baada ya hapo hufuata chuki kali mno.

Tatizo ni nini wakuu hebu tuasaidiane isijekuwa nina tatizo sehemu ikapelekea nikapigwa kisu siku moja. Maana wanawake wengine akili zao wanazijua wao. Nakaribisha mchango positive na utani kiasi, matusi yasubiri uzi wake wa matusi.
Mkuu kwani kuachana Shing Ngapi?We kwani wakikuchukia Shida ni nini?Kwani we unawatakia nini kama mshaachana?Kitulize bwana Mdogo ufurahie maisha acha Kujitafutia STRESS.
 
Acha uzinzi wewe,wanapogundua kuwa wewe ni mzinzi na huhitaji mapenzi ya kweli lazima wakuchukie tu...
Uzinzi ni nini kwanza mkuu?
Unaniambia niache uzinzi real? Are you a real man au ni bidada umeamua kuwatetea wenzio hapa?

Mapenzi ya kweli ni yapi wanayohitaji zaidi ya dudu?
Pesa nawapa, dudu nawapa kipi kingine kitathibitisha hilo unalolisema?
Sikiliza man hivi vimaneno vya kushikiana akili eti mara true love mara passion love and some other f* ckin stuffs ni illusion bed prepared to make simps in the name of husband material sleep 4rever huku malaya waliopewa dhamana ya kuwa kwenye ndoa wakiendelea kuuza uchi mitandaoni na namba wameacha reception za mahoteli makubwa so anakuwa na whatsapp business kwaajili ya kutuma picha kwa wadada wa reception na madada wa Saloon bro
Na hapo hapo anataka umpe cheti cha form four maarufu kama Marriage certificate.
Oya hicho cheti cha form 4 kinawafanya vibaya wajuba.
Wanaunguzwa sana hadi wanajuta kwanini waliwapa wanawake wao.
Mimi sijawahi kutoa hicho cheti wala sitatoa hata niwe nimebwia cocaine. Hata niwe kwenye handas ukinitajia tu kuhusu hicho cheti narudi normal hapo hapo.
Yaani unauza uhuru wako hivi hivi unajiona halafu unajiona bonge la mjanja?
 
Mkuu kwani kuachana Shing Ngapi?We kwani wakikuchukia Shida ni nini?Kwani we unawatakia nini kama mshaachana?Kitulize bwana Mdogo ufurahie maisha acha Kujitafutia STRESS.
Homeboy makoloni ni mazuri kwa kuchezea yaani unakuwa unatoast vile unataka ukijisikia leo unaita Aisha kesho unaita Amina keshokutwa Halima we hutaki?
Halafu unakubali vipi kuwa umemuacha mwanamke
Huwa tunamute tu kiaina halafu mara moja moja tunaendelea kugonga.
Tena akikaa mkao unakula haswa maana ni koloni unalolijua na lenyewe linakujua
So inakuwa ni mtifuano haswa.
Mwanaume haachi bali anakausha
Ndio maana maex pamoja na kutuacha kwa mbwembwe na matusi kisa wamewapata maboya wa kuwaoa tunaendelea kuwasiliana nao
Na kuwakula juu hii ni kuonyesha kuwa pamoja na madharau yote yale bado unabaki kuwa koloni langu tu.
Usiache mwanamke mkuu acha yeye akuache but believe me penzi jipya halichukui zaidi ya miezi sita linakuwa lishaanza mkorogo tayari.
Anaanza kunyoosha kiswahili unaendelea kumkula kwa sana anaanza dharau tena kwa mumewe anaachika anaendelea kuwa koloni lenu.
Tushaitwa wanaume wote mbwa sasa wewe unapambana kujisafisha kwao wewe exploit feelings zao kwa kwenda mbele.
Kuna mwingine wiki hii anaongezwa kwenye makoloni yangu.
Japo yeye anawaza kuwa ataolewa na nimemuahidi kuwa akinishika nabadili dini kwaajili yake namuoa kakubali huku akijua kabisa yeye ni single maza
Sasa kwa scenario kama hiyo ndoa itoke wapi?
Najaribu tu kuwaza huyu ningemkuta bikra angeruhusu hata nimuhubirie issue za kumuoa? Jibu ni noo tena kubwa
Why now? Because anaona lime light inazima so anatafuta simp amuangushie pira,, I am not a simp any more. Though previous? yes I was.
U-hotcake wake alimzawadia nani halafu mimi nimbebee demage zake?
Natafuta Ajira, nyama tafadhali,, jazia ukiweza. Tunaachiana pasi mpaka vijana waelewe hii movement ya "never settle for a hoe."
 
Mwamba what is mlupo? Is it a permanent girlfriend or who?
Kama ni habari za permanent broo sitaki kabisa wana mazingira mengi sana ya kuusufocate utafutaji wako.
Ukikaa na mwanamke mmoja muda mrefu kidogo aura yake inaimeza ya kwako anakupanda ubongoni anastick akilini.
Then mkiachana hamu ya kula inapotea kabisa.
Iko hivi kwenye mahusiano its either you prey on her, or she prey on you.
Ukishajua hii kanuni usirudi kutafuta kubalance mizani.
Usijali hata jamii ikikusema huyu kaka ana tabia chafu au ni mchafu hasa wadada
Ujue kuwa wanasema hivyo kwasababu hujawataka au ushawadump tayari hivyo hujaingia kwenye mtego wao wa kugeuzwa punda.
Na kinyume chake kila mwanamke anapigania kuja kwako ili akukalishe uache tabia ya kuwatumia wanawake ili awatambie wenzake kuwa yeye ndiye kiboko maana kauweza mfupa ulioshindikana.
Matokeo yake akijisogeza unamkanda unamuacha anachukia maana lengo lake kwako halijatimia.
Mlupo ni mdudu wa kupiga mkasi mara moja na kuachana naye...no string attached.
 
Inatokea nadate na mwanamke, kwa muda mrefu, au muda mfupi, let's say miezi mitatu, au mwaka. Hapo unakuta manzi ananiimbia, nyimbo za malengo ya ndoa. Hata kama anajua fika kuwa nilimnunua baada ya mitongozo kusua sua. Mwamba naapply pesa. Dau linatiki na hii mbinu haijawah kuniangusha.

Sasa unakuta yeye anajua tuko kibiashara kabisa. Lakini anataka kujiweka awe mke. Na mimi ni hunter tu naepita. Maana sina jiko so nafanya tu kumtuliza huyu boy mdogo kipofu. Sasa ikitokea manzi ananiganda yaani anawaza kunigeuza niwe husband materio a.k.a simp. Mi nakataa hapo sasa unakuta tunaachana for good sake.

Ajabu ni hii ambayo nataka mnisaidie tafadhali. Ni kwanini nikiachana na hawa wanawake wanaweka chuki kali sana kwangu? Kiasi najiuliza kwani nimemfanyia nini huyu? Hata mke wangu aliponiacha aliniwekea chuki kubwa sana nikawa sielewi, nikawa najipa moyo tu kuwa ni kwasababu hakunipenda wala kunihitaji tena.

Lakini hii imeendelea kwa wanawake wengine. Japo ni wao huleta wazo la kuachana. Sijawahi kumwambia mwanamke kuwa tuachane hata kama simhitaji kabisa, wao ndio huniambia tuachane au tumeachana. Kisha baada ya hapo hufuata chuki kali mno.

Tatizo ni nini wakuu hebu tuasaidiane isijekuwa nina tatizo sehemu ikapelekea nikapigwa kisu siku moja. Maana wanawake wengine akili zao wanazijua wao. Nakaribisha mchango positive na utani kiasi, matusi yasubiri uzi wake wa matusi.
Wewe ukilambishwa asali kwa kidole alafu mwenye dumu la asali akaondoka na alikuahidi atakupa lote utajisikiaje?
 
Back
Top Bottom