Wazoefu na wataalamu wa mapenzi nisaidieni maana sielewi shida nini?

Wazoefu na wataalamu wa mapenzi nisaidieni maana sielewi shida nini?

Baada ya kuachana kitapita kipindi kifupi kidogo ambacho mwanamke anakua na chuki dhidi yako, kwaiyo kaa nao mbali, ukipita muda mrefu hakuna interaction yoyote kati yenu siku mtakapokuja kuonana tena inakua amani tu.
Sawa sawa mkuu je hii husababishwa na nini msaada tutani tafadhali..
 
Inatokea nadate na mwanamke, kwa muda mrefu, au muda mfupi, let's say miezi mitatu, au mwaka. Hapo unakuta manzi ananiimbia, nyimbo za malengo ya ndoa. Hata kama anajua fika kuwa nilimnunua baada ya mitongozo kusua sua. Mwamba naapply pesa. Dau linatiki na hii mbinu haijawah kuniangusha.

Sasa unakuta yeye anajua tuko kibiashara kabisa. Lakini anataka kujiweka awe mke. Na mimi ni hunter tu naepita. Maana sina jiko so nafanya tu kumtuliza huyu boy mdogo kipofu. Sasa ikitokea manzi ananiganda yaani anawaza kunigeuza niwe husband materio a.k.a simp. Mi nakataa hapo sasa unakuta tunaachana for good sake.

Ajabu ni hii ambayo nataka mnisaidie tafadhali. Ni kwanini nikiachana na hawa wanawake wanaweka chuki kali sana kwangu? Kiasi najiuliza kwani nimemfanyia nini huyu? Hata mke wangu aliponiacha aliniwekea chuki kubwa sana nikawa sielewi, nikawa najipa moyo tu kuwa ni kwasababu hakunipenda wala kunihitaji tena.

Lakini hii imeendelea kwa wanawake wengine. Japo ni wao huleta wazo la kuachana. Sijawahi kumwambia mwanamke kuwa tuachane hata kama simhitaji kabisa, wao ndio huniambia tuachane au tumeachana. Kisha baada ya hapo hufuata chuki kali mno.

Tatizo ni nini wakuu hebu tuasaidiane isijekuwa nina tatizo sehemu ikapelekea nikapigwa kisu siku moja. Maana wanawake wengine akili zao wanazijua wao. Nakaribisha mchango positive na utani kiasi, matusi yasubiri uzi wake wa matusi.
Umesema uko wapi?
 
Anahah Hawa viumbe wa kike ni wa kwenda nao vizuri.Kuna mmoja ana story kama yako tulikulana kwa kupandiana dau.Baada ya siku tatu naona anaanza mazoea ya kunipigia simu,mara nakusalimia anhaha.
Mazoea yakawa yanaongezeka mara nimekumic nataka tuonane halafu ukipiga shoo anataka malipo.Kesho kutwa utaskia naomba hela ya kula anahaha.yani tukutane kimalaya halafu yeye atake kuhudumiwa 🤣🤣
 
Tatizo unatumia pesa kuwapata inreality hizo pesa ni kidogo hazitoshi kugawanya,so in the beggining wanahisi wamepata mgodi,wakikujua wanagundua chokeri unadhqni wataacha kukuchukia
 
The way you treat them unapokuwa nao ndo tatizo liko hapo, mbona simple tu 🤒 😎
 
😁😁😁 unawapa pesa
Demu yoyote unaye muaford kwa pesa ni malaya tu
Baadhi ya Mademu hawalitambui hili kiufupi awajielewi wanajiona kama wife material
Sas jiulize wafe material gani mbaka aone hela
 
😁😁😁 unawapa pesa
Demu yoyote unaye muaford kwa pesa ni malaya tu
Baadhi ya Mademu hawalitambui hili kiufupi awajielewi wanajiona kama wife material
Sas jiulize wafe material gani mbaka aone hela
Ok kumbe shida inakuja pale yeye hajitambui kama ni malaya ilhali mimi namtambua kuwa tunaenda kimalaya..
 
Umesema uko wapi?
Swali lako hili mbona limekaa kiaina sana
Sina kituo maalum kwa sasa
Maana namove sana hii nchi naweza kukwambia niko Geita baada ya wiki ukasikia niko Mbeya.
Naishi kwa kupokea simu
Then naingia kwenye mission.
 
😁😁😁 unawapa pesa
Demu yoyote unaye muaford kwa pesa ni malaya tu
Baadhi ya Mademu hawalitambui hili kiufupi awajielewi wanajiona kama wife material
Sas jiulize wafe material gani mbaka aone hela
Nimekuelewa but hao ambao hawataki pesa sikutani nao ujue..
 
Tatizo unatumia pesa kuwapata inreality hizo pesa ni kidogo hazitoshi kugawanya,so in the beggining wanahisi wamepata mgodi,wakikujua wanagundua chokeri unadhqni wataacha kukuchukia
Hawafiki hata kunijua wengi wao but tukifanya business sex, wao wanataka waweke makao hicho ndio tunakosana sasa.
 
Back
Top Bottom