Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Sonko Bibo kwenye moja na mbili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atoto baby niko na wewe mpaka kifo butSonko Bibo kwenye moja na mbili.
Sawa sawa mkuu je hii husababishwa na nini msaada tutani tafadhali..Baada ya kuachana kitapita kipindi kifupi kidogo ambacho mwanamke anakua na chuki dhidi yako, kwaiyo kaa nao mbali, ukipita muda mrefu hakuna interaction yoyote kati yenu siku mtakapokuja kuonana tena inakua amani tu.
Hutaki?Wacha bwana!
Kubadilisha wapenzi mara kwa mara kwa mwanamke anakutana na unyanyapaa kwenye jamii tofauti na mwanaume.Sawa sawa mkuu je hii husababishwa na nini msaada tutani tafadhali..
Duh mkuu niliachana na mapenz a long time ago! sina cha kushaur kwa kwel.Ushauri wako
Nataka hela.Hutaki?
Umesema uko wapi?Inatokea nadate na mwanamke, kwa muda mrefu, au muda mfupi, let's say miezi mitatu, au mwaka. Hapo unakuta manzi ananiimbia, nyimbo za malengo ya ndoa. Hata kama anajua fika kuwa nilimnunua baada ya mitongozo kusua sua. Mwamba naapply pesa. Dau linatiki na hii mbinu haijawah kuniangusha.
Sasa unakuta yeye anajua tuko kibiashara kabisa. Lakini anataka kujiweka awe mke. Na mimi ni hunter tu naepita. Maana sina jiko so nafanya tu kumtuliza huyu boy mdogo kipofu. Sasa ikitokea manzi ananiganda yaani anawaza kunigeuza niwe husband materio a.k.a simp. Mi nakataa hapo sasa unakuta tunaachana for good sake.
Ajabu ni hii ambayo nataka mnisaidie tafadhali. Ni kwanini nikiachana na hawa wanawake wanaweka chuki kali sana kwangu? Kiasi najiuliza kwani nimemfanyia nini huyu? Hata mke wangu aliponiacha aliniwekea chuki kubwa sana nikawa sielewi, nikawa najipa moyo tu kuwa ni kwasababu hakunipenda wala kunihitaji tena.
Lakini hii imeendelea kwa wanawake wengine. Japo ni wao huleta wazo la kuachana. Sijawahi kumwambia mwanamke kuwa tuachane hata kama simhitaji kabisa, wao ndio huniambia tuachane au tumeachana. Kisha baada ya hapo hufuata chuki kali mno.
Tatizo ni nini wakuu hebu tuasaidiane isijekuwa nina tatizo sehemu ikapelekea nikapigwa kisu siku moja. Maana wanawake wengine akili zao wanazijua wao. Nakaribisha mchango positive na utani kiasi, matusi yasubiri uzi wake wa matusi.
😂😅Ugomvi sio mzuri mm wiki ya jana nmekutana na ex wangu tuliepoteana kwa mda mrefu, tukafurahi tukapeana namba jana kanikopesha laki mbili nikanunulia mifugo pumba.
Ok kumbe shida inakuja pale yeye hajitambui kama ni malaya ilhali mimi namtambua kuwa tunaenda kimalaya..😁😁😁 unawapa pesa
Demu yoyote unaye muaford kwa pesa ni malaya tu
Baadhi ya Mademu hawalitambui hili kiufupi awajielewi wanajiona kama wife material
Sas jiulize wafe material gani mbaka aone hela
Swali lako hili mbona limekaa kiaina sanaUmesema uko wapi?
Nifafanulie kidogo mkuu maana isije ikawa kweli mimi ndio nazinguaThe way you treat them unapokuwa nao ndo tatizo liko hapo, mbona simple tu 🤒 😎
Nimekuelewa but hao ambao hawataki pesa sikutani nao ujue..😁😁😁 unawapa pesa
Demu yoyote unaye muaford kwa pesa ni malaya tu
Baadhi ya Mademu hawalitambui hili kiufupi awajielewi wanajiona kama wife material
Sas jiulize wafe material gani mbaka aone hela
Hawafiki hata kunijua wengi wao but tukifanya business sex, wao wanataka waweke makao hicho ndio tunakosana sasa.Tatizo unatumia pesa kuwapata inreality hizo pesa ni kidogo hazitoshi kugawanya,so in the beggining wanahisi wamepata mgodi,wakikujua wanagundua chokeri unadhqni wataacha kukuchukia
Wazee mnaolamba Asali mna jeuri sana huku mnapandisha deni la Taifa tu wala hamjaliMwamba naapply pesa. Dau linatiki na hii mbinu haijawah kuniangusha.