GentleGiant
JF-Expert Member
- Sep 22, 2021
- 585
- 546
Kunena kwa lugha kupo kwa namna mbili kuna kunena kwa lugha kwa maana ya ku-prophecy ambapo atahitajika awepo wa kutafsiri na hii ni kwa ajili ya kanisa(kundi la watu) na kuna kuna kunena kwa lugha kwa ajili ya individual edification.Paul made it very clear.
Kama mtu ananena kwa lugha for the sake of edification then there is no need for intepreter na kama ananena for the sake f congregation yes there will be an intepreter among them.
So kama hujaona intepreters kwenye tongues ambazo watu wananena basi ni kwasababu wananena kwa ajili ya edification na sio congregation.
Kama mtu ananena kwa lugha for the sake of edification then there is no need for intepreter na kama ananena for the sake f congregation yes there will be an intepreter among them.
So kama hujaona intepreters kwenye tongues ambazo watu wananena basi ni kwasababu wananena kwa ajili ya edification na sio congregation.