Wazungu kuja kufanya mikutano ya Injili ya Kilokole litazamwe kwa umakini

Wazungu kuja kufanya mikutano ya Injili ya Kilokole litazamwe kwa umakini

Kunena kwa lugha kupo kwa namna mbili kuna kunena kwa lugha kwa maana ya ku-prophecy ambapo atahitajika awepo wa kutafsiri na hii ni kwa ajili ya kanisa(kundi la watu) na kuna kuna kunena kwa lugha kwa ajili ya individual edification.Paul made it very clear.

Kama mtu ananena kwa lugha for the sake of edification then there is no need for intepreter na kama ananena for the sake f congregation yes there will be an intepreter among them.

So kama hujaona intepreters kwenye tongues ambazo watu wananena basi ni kwasababu wananena kwa ajili ya edification na sio congregation.
 
Wanamsemo wao, usemao:" He who laughs, the last laughs longer!" Tujihadhari nao haswa, isije ikawa msiba wa wengi, kugeuka harusi!
Hiyo koma ya kwenye sentensi ya kiingereza imekaa mahala si sahihi
 
The colonial agendas have not changed....and they will never change....keep that in mind boy
 
Ndugu zetu walokole tafadhari Sana mtaniwia radhi.

Ukizunguka mikoa na Miji mbalimbali hapa Tanzania kuna mikutano ya Injili iliyoandaliwa na makanisa ya Kilokole na wahubiri ni wazungu kutoka nchi zenye Korona,tuwe makini hawa huenda Wana ajenda ya Siri.

Hawa mabwana nchi zao zimepiga marufuku raia wetu kwenda kwao kwamba tutawapelekea covid 19 na wakati huo huo wameiblakilisti nchi yetu kama nchi hatarishi sasa iweje wawaruhusu raia wao eti kuja kueneza Injili kwenye nchi hatarishi?

Msije shangaa wimbi la tatu likazuka ghafla na biashara ya chanjo ikafanyika.

Sijawahi wakubali hao wazungu wenu,huko kwao kuna mashoga kibao na wengine ni viongozi wao kwa nini wasiwahubirie hao? Huku Afrika kuna nyumbu sana hadi inatia hasira.
Ondoa shaka kabla awajapanda ndege upimwa na wakiingia upimwa pia.
Corona imeshapita ile ilikuwa ni ajenda ya darksiders lengo kuwachukua watu waliowataka na kuporomosha uchumi wa dunia kwa malengo ya New World Order
 
Back
Top Bottom