Wazungu kuja kufanya mikutano ya Injili ya Kilokole litazamwe kwa umakini

Wazungu kuja kufanya mikutano ya Injili ya Kilokole litazamwe kwa umakini

Ushoga siyo dhambi ya kawaida, ni chukizo kuu....ni kukengeuka kifikra na kimtazamo kumwelekea ibilisi, yaani unafanya ibada kwa ibilisi live....
Sitetei ushoga na siupendi lkn hayo unayosema umeyatoa wapi ilihari washirikina pia wana ibaada ya ibilisi?
 
Sitetei ushoga na siupendi lkn hayo unayosema umeyatoa wapi ilihari washirikina pia wana ibaada ya ibilisi?
Ushirikina unapingwa, lakini wazungu wameshikamana kutetea ushoga na mashoga hadi wanafanya matamasha mchana kweupe, wanaita 'gay pride parade' kwa sasa wanataka hayo matamasha yafanyike kwa muda mrefu zaidi hadi miezi 6, yaani mishoga inapita inajishebedua mitaani daily...
 
Ngoja mihadhara itaanza upya maana wataalam wapo huru sasa
 
Na wamezagaa kweli kweli, Mbeya niliwaona, Kigoma pia niliwaona, Dom pia niliwaona hawa jamaa na ni ndani ya muda mfupi tu.
Wahubiri wengi wazungu ni CIA, wanakusanya data, sijui security system ya kwetu wanajua hilo, wajivisha ngozi ya uchungaji kumbe jasusi hatari sana, kwa vile wanamikakati ya kupunguza waafrica watafanikiwa vizuri tu, kwa sababu ya Shida na njaa zetu.
 
Ndugu zetu walokole tafadhari Sana mtaniwia radhi.

Ukizunguka mikoa na Miji mbalimbali hapa Tanzania kuna mikutano ya Injili iliyoandaliwa na makanisa ya Kilokole na wahubiri ni wazungu kutoka nchi zenye Korona,tuwe makini hawa huenda Wana ajenda ya Siri.

Hawa mabwana nchi zao zimepiga marufuku raia wetu kwenda kwao kwamba tutawapelekea covid 19 na wakati huo huo wameiblakilisti nchi yetu kama nchi hatarishi sasa iweje wawaruhusu raia wao eti kuja kueneza Injili kwenye nchi hatarishi?

Msije shangaa wimbi la tatu likazuka ghafla na biashara ya chanjo ikafanyika.

Sijawahi wakubali hao wazungu wenu,huko kwao kuna mashoga kibao na wengine ni viongozi wao kwa nini wasiwahubirie hao? Huku Afrika kuna nyumbu sana hadi inatia hasira.
Ndio wameingiza hizo kilo 87kgs ambazo zimekamatwa kwenye land criser Dar leo.
 
Wahubiri wengi wazungu ni CIA, wanakusanya data, sijui security system ya kwetu wanajua hilo, wajivisha ngozi ya uchungaji kumbe jasusi hatari sana, kwa vile wanamikakati ya kupunguza waafrica watafanikiwa vizuri tu, kwa sababu ya Shida na njaa zetu.
Mmoja nilimbamba sehemu anaongea accent kimarekani kingereza akapigiwa call ingine, akaongea Belarussian pure.
Nikasema Bwana apewe sifa!

Everyday is Saturday................................😎
 
Wameshindwa kuwahubiria wenzao ambao hawajui hata kanisa lipo wapi, Bali wanawaza kumbi za starehe zifunliwe, wamekuja kupiga mishe huku
Kweli kabisa kabisa
Ushirikina unapingwa, lakini wazungu wameshikamana kutetea ushoga na mashoga hadi wanafanya matamasha mchana kweupe, wanaita 'gay pride parade' kwa sasa wanataka hayo matamasha yafanyike kwa muda mrefu zaidi hadi miezi 6, yaani mishoga inapita inajishebedua mitaani daily...
Uku Africa, uovu upo kidogo kulinganisha na uko kwao Europe na America, lakini Cha ajabu wanakuja kuhubiri uku Africa ambako pako vizuri kwa nini wasihubiri uko kwao na China, India na Japan.
 
Mmoja nilimbamba sehemu anaongea accent kimarekani kingereza akapigiwa call ingine, akaongea Belarussian pure.
Nikasema Bwana apewe sifa!

Everyday is Saturday................................😎
Sijui security apparatus za Bongo ziko serious kiasi gani
 
Mbona umechachamaa sana, wewe ni shoga? nimesema hao wazungu wangejikita kuwahubiria wazungu wenzao ambao wameungana kumtumikia ibilisi kupitia chukizo la ushoga....hapo vipi?
Wewe ndio shoga. Pumbavu
 
Ushirikina unapingwa, lakini wazungu wameshikamana kutetea ushoga na mashoga hadi wanafanya matamasha mchana kweupe, wanaita 'gay pride parade' kwa sasa wanataka hayo matamasha yafanyike kwa muda mrefu zaidi hadi miezi 6, yaani mishoga inapita inajishebedua mitaani daily...
Mtu kama Olesabaya si bora shoga haumizi watu
 
Na wamezagaa kweli kweli, Mbeya niliwaona, Kigoma pia niliwaona, Dom pia niliwaona hawa jamaa na ni ndani ya muda mfupi tu.
Mi nashangaa wanaacha kwenda kuhubiri katika nchi zao ulaya,madhambi yametamalaki mpaka wanaume kwa wanaume wanaoana. Wanakuja huku daily
 
Kwa hiyo hawa wana agenda mbaya kama wale waarabu wa alshabaab?guility until proven innocent huu msemo una maana kubwa sana kwa vyombo vya usalama.
 
Kwa hiyo hawa wana agenda mbaya kama wale waarabu wa alshabaab?guility until proven innocent huu msemo una maana kubwa sana kwa vyombo vya usalama.
 
Back
Top Bottom