Wazungu kuja kufanya mikutano ya Injili ya Kilokole litazamwe kwa umakini

Wazungu kuja kufanya mikutano ya Injili ya Kilokole litazamwe kwa umakini

Tuwe macho kwani hata wamisionari walioleta dini walikuwa na nia ya kuitawala Afrika. Walituachia Biblia tuendelee kufunga macho kwa kusali ila wao wanachapa kazi.
 
Huduma walizotupa ni kama unampa mtoto pipi mdomoni huku unamfinya, atavumilia maumivu ili aendelee na utamu wa pipi.
 
Kuna Mnigeria mmoja mwenye kanisa lake moja tu mjini Dar alikuja kufanya mikutano ya injiri mwaka flani. Sadaka zoote za siku tano alikusanya yeye na baada ya kumaliza akapita bureau de change kubadilisha na kupata dollars then akasepa

Kanisani kwake TZ aliwaachia msaala wa kulipa madeni yote ya maandalizi ya mikutano ile na waumini wakaanza kuchangishwa kulipa madeni

Imani kwa sasa wengi wamezigeuza kuwa vyanzo vya mapato. But surely, tunahitaji kweli manabii kutoka Nigeria? Yaani Tanzania nzima kanisa lipo moja tuu na watu hawashtuki tu?
 
Mkuu stress zingine ni za kujitakia na hakika zitakupeleka kaburini kabla ya muda wako bure tu. Achana nazo!.

Hujawahi wakubali wazungu ila hapo unachat kwa kutumia simu zao na teknolojia yao, unatumia magari yao na ukiumwa wa kwanza kwenda hospitali kutumia dawa zao.

Usijenelolaizi mkuu utapata depression very soon. Yapo mazungu mengine makorofi kama ambavyo wapo wamakonde wengine machizi ila achana na dhana kuwaza wazungu ni wabaya mara wanataka kukuibia utajiri wako mara wanataka kukuua
 
Acha wivu, kunywa maji m

Ndugu zetu walokole tafadhari Sana mtaniwia radhi.

Ukizunguka mikoa na Miji mbalimbali hapa Tanzania kuna mikutano ya Injili iliyoandaliwa na makanisa ya Kilokole na wahubiri ni wazungu kutoka nchi zenye Korona,tuwe makini hawa huenda Wana ajenda ya Siri.

Hawa mabwana nchi zao zimepiga marufuku raia wetu kwenda kwao kwamba tutawapelekea covid 19 na wakati huo huo wameiblakilisti nchi yetu kama nchi hatarishi sasa iweje wawaruhusu raia wao eti kuja kueneza Injili kwenye nchi hatarishi?

Msije shangaa wimbi la tatu likazuka ghafla na biashara ya chanjo ikafanyika.

Sijawahi wakubali hao wazungu wenu,huko kwao kuna mashoga kibao na wengine ni viongozi wao kwa nini wasiwahubirie hao? Huku Afrika kuna nyumbu sana hadi inatia hasira.
Hawajaanza kuja leo, tangu miaka hiyo wazungu wanakuja kuhubiri injili
 
Bora watalii wanakuja ku spend sio mambo ya kijinga haya ya eti kuhubiri,hawa mapunga wanakuja kufanya nini huku?

Somalia,Nigeria,Mynmar Gaza hawakuoni ili wakahubiri amani na wokovu huko? DRC je.

.Hivi watoa vibali kwa nini mnaacha watu wetu wanafanyiwa ujasiriamali ilhali mnajua Tzn hii ina wajinga wengi?
Futa kauli yako mkuu sidhani kama kuhubiri neno la Mungu kwa imani ya mtu husika ni jambo la kijinga.
Jiepushe na chuki mkuu hakuna aliyekamilika dunia hii lakin wenye neema ya kueneza habari njema si watu wajinga usipende kuhukumu nawe usihukumiwe.
One love One people usitengeneze matabaka kwa kigezo cha rangi za ngozi zetu.
 
Fafanua"ukristu ulikuwa Afrika kabla ya wamisionari" Yesu alizaliwa Uyahudini, nani angefahamisha Afika kama yupo? Labda useme kuna Yesu Mwafrika. Hakika tulipokea neno bila kuhoji.
 
Fafanua"ukristu ulikuwa Afrika kabla ya wamisionari" Yesu alizaliwa Uyahudini, nani angefahamisha Afika kama yupo? Labda useme kuna Yesu Mwafrika. Hakika tulipokea neno bila kuhoji.
Inshu ni wamisionary na ukristo ama inshu ni eneo Yesu alipozaliwa?.
Ni wapi nimeuliza ama nimekanusha suala la Yesu kuzakuliwa uyaudini?.

Unakumbuka vizuri maudhui ya comment iliyofanya nikukot?.
 
Ndugu zetu walokole tafadhari Sana mtaniwia radhi.

Ukizunguka mikoa na Miji mbalimbali hapa Tanzania kuna mikutano ya Injili iliyoandaliwa na makanisa ya Kilokole na wahubiri ni wazungu kutoka nchi zenye Korona,tuwe makini hawa huenda Wana ajenda ya Siri.

Hawa mabwana nchi zao zimepiga marufuku raia wetu kwenda kwao kwamba tutawapelekea covid 19 na wakati huo huo wameiblakilisti nchi yetu kama nchi hatarishi sasa iweje wawaruhusu raia wao eti kuja kueneza Injili kwenye nchi hatarishi?

Msije shangaa wimbi la tatu likazuka ghafla na biashara ya chanjo ikafanyika.

Sijawahi wakubali hao wazungu wenu,huko kwao kuna mashoga kibao na wengine ni viongozi wao kwa nini wasiwahubirie hao? Huku Afrika kuna nyumbu sana hadi inatia hasira.
Hii mikutano ya injili ya wazungu ilianza zamani za kale,tangu miaka ya 90,maubili kama haya yalikuwa yanafanyika pale jangwani Dar,
 
Ndugu zetu walokole tafadhari Sana mtaniwia radhi.

Ukizunguka mikoa na Miji mbalimbali hapa Tanzania kuna mikutano ya Injili iliyoandaliwa na makanisa ya Kilokole na wahubiri ni wazungu kutoka nchi zenye Korona,tuwe makini hawa huenda Wana ajenda ya Siri.

Hawa mabwana nchi zao zimepiga marufuku raia wetu kwenda kwao kwamba tutawapelekea covid 19 na wakati huo huo wameiblakilisti nchi yetu kama nchi hatarishi sasa iweje wawaruhusu raia wao eti kuja kueneza Injili kwenye nchi hatarishi?

Msije shangaa wimbi la tatu likazuka ghafla na biashara ya chanjo ikafanyika.

Sijawahi wakubali hao wazungu wenu,huko kwao kuna mashoga kibao na wengine ni viongozi wao kwa nini wasiwahubirie hao? Huku Afrika kuna nyumbu sana hadi inatia hasira.
Hizo ni project za magumashi. Kuna wapelelezi. Kuna waganga njaa na kuna wahubiri. Ila ndio dunia yetu ilivyo
 
Back
Top Bottom