Auz
JF-Expert Member
- Apr 6, 2016
- 13,539
- 11,419
Mmeachana nayo wakati mganga wa kienyeji Doro ndio anawataka watu wavae barakoa sasa.Inamaana mpaka leo haiujui nyungu ? Tulishaachana na mambo ya corona toka ,Mwezi Mei 2020 ambapo tulikuwa na jumla ya wagonjwa 509 na vifo 21 ambavyo vilisababishwa na hiyo corona !View attachment 1820768