Wazungu kuja kufanya mikutano ya Injili ya Kilokole litazamwe kwa umakini

Wazungu kuja kufanya mikutano ya Injili ya Kilokole litazamwe kwa umakini

Wewe kama umeshindwa imani kaa pembeni endelea kutambikia na kufanya matambiko tuache sisi na imani yetu. Kafie mbele huko..
Ndugu zetu walokole tafadhari Sana mtaniwia radhi.

Ukizunguka mikoa na Miji mbalimbali hapa Tanzania kuna mikutano ya Injili iliyoandaliwa na makanisa ya Kilokole na wahubiri ni wazungu kutoka nchi zenye Korona,tuwe makini hawa huenda Wana ajenda ya Siri.

Hawa mabwana nchi zao zimepiga marufuku raia wetu kwenda kwao kwamba tutawapelekea covid 19 na wakati huo huo wameiblakilisti nchi yetu kama nchi hatarishi sasa iweje wawaruhusu raia wao eti kuja kueneza Injili kwenye nchi hatarishi?

Msije shangaa wimbi la tatu likazuka ghafla na biashara ya chanjo ikafanyika.

Sijawahi wakubali hao wazungu wenu,huko kwao kuna mashoga kibao na wengine ni viongozi wao kwa nini wasiwahubirie hao? Huku Afrika kuna nyumbu sana hadi inatia hasira.
 
Ndugu zetu walokole tafadhari Sana mtaniwia radhi.

Ukizunguka mikoa na Miji mbalimbali hapa Tanzania kuna mikutano ya Injili iliyoandaliwa na makanisa ya Kilokole na wahubiri ni wazungu kutoka nchi zenye Korona,tuwe makini hawa huenda Wana ajenda ya Siri.

Hawa mabwana nchi zao zimepiga marufuku raia wetu kwenda kwao kwamba tutawapelekea covid 19 na wakati huo huo wameiblakilisti nchi yetu kama nchi hatarishi sasa iweje wawaruhusu raia wao eti kuja kueneza Injili kwenye nchi hatarishi?

Msije shangaa wimbi la tatu likazuka ghafla na biashara ya chanjo ikafanyika.

Sijawahi wakubali hao wazungu wenu,huko kwao kuna mashoga kibao na wengine ni viongozi wao kwa nini wasiwahubirie hao? Huku Afrika kuna nyumbu sana hadi inatia hasira.
Mkuu mbona uko paranoid sana? Huo ni ugonjwa wa akili.
 
Ndugu zetu walokole tafadhari Sana mtaniwia radhi.

Ukizunguka mikoa na Miji mbalimbali hapa Tanzania kuna mikutano ya Injili iliyoandaliwa na makanisa ya Kilokole na wahubiri ni wazungu kutoka nchi zenye Korona,tuwe makini hawa huenda Wana ajenda ya Siri.

Hawa mabwana nchi zao zimepiga marufuku raia wetu kwenda kwao kwamba tutawapelekea covid 19 na wakati huo huo wameiblakilisti nchi yetu kama nchi hatarishi sasa iweje wawaruhusu raia wao eti kuja kueneza Injili kwenye nchi hatarishi?

Msije shangaa wimbi la tatu likazuka ghafla na biashara ya chanjo ikafanyika.

Sijawahi wakubali hao wazungu wenu,huko kwao kuna mashoga kibao na wengine ni viongozi wao kwa nini wasiwahubirie hao? Huku Afrika kuna nyumbu sana hadi inatia hasira.
Mbona waarabu walileta wahubiri kibao na kuleta taharuki ya kuchambua biblia mpaka pakazaa ugaidi hukuongea?
 
Ndugu zetu walokole tafadhari Sana mtaniwia radhi.

Ukizunguka mikoa na Miji mbalimbali hapa Tanzania kuna mikutano ya Injili iliyoandaliwa na makanisa ya Kilokole na wahubiri ni wazungu kutoka nchi zenye Korona,tuwe makini hawa huenda Wana ajenda ya Siri.

Hawa mabwana nchi zao zimepiga marufuku raia wetu kwenda kwao kwamba tutawapelekea covid 19 na wakati huo huo wameiblakilisti nchi yetu kama nchi hatarishi sasa iweje wawaruhusu raia wao eti kuja kueneza Injili kwenye nchi hatarishi?

Msije shangaa wimbi la tatu likazuka ghafla na biashara ya chanjo ikafanyika.

Sijawahi wakubali hao wazungu wenu,huko kwao kuna mashoga kibao na wengine ni viongozi wao kwa nini wasiwahubirie hao? Huku Afrika kuna nyumbu sana hadi inatia hasira.
Da nadhani Wote tuchukue tahadhari hata wasio wazungu wana corona.tusije tukadhani wenyewe kwa wenyewe tuko salama.
 
Wewe kama umeshindwa imani kaa pembeni endelea kutambikia na kufanya matambiko tuache sisi na imani yetu. Kafie mbele huko..
Kwa hiyo mlokole unatukana au? [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
because many Africans are stupid...hawa jamaa bado wanaendeleza harakat zao za kusambaza utumwa wa akili kwa waafrika il uzid kuwakamata kiukwel kwel,,inashangaza et mtu aache shida za uko kwao aje kukuhubiria wew wa huku bongo land distance ya toka kwao mpk hapa? kwa upendo gan walio nao?? , kwa msiowajua wazungu mtabaki na upumbv wen wakujisifu na kuwasifu kuwaa oooh Mungu anawapenda, achen ujinga na upuuz eny waafrika, Mungu hawez mtuma mtu wa mbali aje akuonye wew mtu wa kishimundu uko, ila atamtuma mtu jran yao, ndugu yako, ama mweus mwenzako akuonye na kukufundsha na sio jamii ya tofaut naww ije ikufundshe wakat haijui unapitia changamoto gan,,Hawa walokole uchwara wanatka kurudia makosa yalee yalee waliyofanya babu zetu kipind kile cha kuruhusu wamishionari wasambaze hizo dini , zilizoleta ubaguz ,ujinga, uwiz, ushirikina na vifungo vya akili,.wazungu n watu wajanja sanaa, hutumia mbinnu za ajbu sana kupitisha ajenda zao,,anaweza akajfanya mchungaji anahubr mpk watu wanaanguka, kumbe ni agent wa C.I.A kapewa mission ya kuja kumwaga virus vya magonjwa ktk umati wa watu kupitia mafuta ya upako,maji ya upako, vitambaa vya upako, chumvi, ama hata marashi yenye hewa chafu, ambapo anaweza kuwaachia hapa alf yeye akasepa zake, mwishoe nyie mkabaki na majanga, ndio mtafutano unaanzia hapo, sjui mtamlaumu nan,,,,,, MUNGU HAJAWAI MTUMA NA HAWEZI MTUMA MTU WA MBALI AJE AKUKOMBOE AMA AKUPE NURU YA MAISHA WEW MTU WA JAMII YA TOFAUT NA YAKE.....AMKENII WAAFRIKA MTADANGANYWA MPKA LINI????
FB_IMG_16227216723354327.jpg
 
because many Africans are stupid...hawa jamaa bado wanaendeleza harakat zao za kusambaza utumwa wa akili kwa waafrika il uzid kuwakamata kiukwel kwel,,inashangaza et mtu aache shida za uko kwao aje kukuhubiria wew wa huku bongo land distance ya toka kwao mpk hapa? kwa upendo gan walio nao?? , kwa msiowajua wazungu mtabaki na upumbv wen wakujisifu na kuwasifu kuwaa oooh Mungu anawapenda, achen ujinga na upuuz eny waafrika, Mungu hawez mtuma mtu wa mbali aje akuonye wew mtu wa kishimundu uko, ila atamtuma mtu jran yao, ndugu yako, ama mweus mwenzako akuonye na kukufundsha na sio jamii ya tofaut naww ije ikufundshe wakat haijui unapitia changamoto gan,,Hawa walokole uchwara wanatka kurudia makosa yalee yalee waliyofanya babu zetu kipind kile cha kuruhusu wamishionari wasambaze hizo dini , zilizoleta ubaguz ,ujinga, uwiz, ushirikina na vifungo vya akili,.wazungu n watu wajanja sanaa, hutumia mbinnu za ajbu sana kupitisha ajenda zao,,anaweza akajfanya mchungaji anahubr mpk watu wanaanguka, kumbe ni agent wa C.I.A kapewa mission ya kuja kumwaga virus vya magonjwa ktk umati wa watu kupitia mafuta ya upako,maji ya upako, vitambaa vya upako, chumvi, ama hata marashi yenye hewa chafu, ambapo anaweza kuwaachia hapa alf yeye akasepa zake, mwishoe nyie mkabaki na majanga, ndio mtafutano unaanzia hapo, sjui mtamlaumu nan,,,,,, MUNGU HAJAWAI MTUMA NA HAWEZI MTUMA MTU WA MBALI AJE AKUKOMBOE AMA AKUPE NURU YA MAISHA WEW MTU WA JAMII YA TOFAUT NA YAKE.....AMKENII WAAFRIKA MTADANGANYWA MPKA LINI????View attachment 1820911
I concur with you
 
Na wamezagaa kweli kweli, Mbeya niliwaona, Kigoma pia niliwaona, Dom pia niliwaona hawa jamaa na ni ndani ya muda mfupi tu.
Hata mimi niliona mabango yamezagaa huku pande za kanda ya ziwa.......wangejikita zaidi kuhubiria wazungu wenzao maana nadhani ndo waliopotea zaidi kiroho hadi kuungana kuhalalisha ushoga......
 
Hata mimi niliona mabango yamezagaa huku pande za kanda ya ziwa.......wangejikita zaidi kuhubiria wazungu wenzao maana nadhani ndo waliopotea zaidi kiroho hadi kuungana kuhalalisha ushoga......
Siyo lazima ukomment kila uzi hata kama hujui kitu kuhusu suala hilo ni heri ukapita kimya kimya bila kusema chochote.
 
Siyo lazima ukomment kila uzi hata kama hujui kitu kuhusu suala hilo ni heri ukapita kimya kimya bila kusema chochote.
Mbona umechachamaa sana, wewe ni shoga? nimesema hao wazungu wangejikita kuwahubiria wazungu wenzao ambao wameungana kumtumikia ibilisi kupitia chukizo la ushoga....hapo vipi?
 
Unawashukutumu kina nani ?
Wazungu
Wafanya Mikutano ambao ni Wazungu
Walokole
Au watu wanaotoka nchi nyingine

Kama issue ni Mikutano na Mikusanyiko je ikifanywa na watu wasio na injili ni sawa ?
Issue ni ipi
Kuambukizwa Corona Au?
Na kama issue ni maambukizi lawana ni kwa wanaokuja au wanaolinda mipaka yetu kuchuja / kupima wanaokuja...
Opportunity Cost Mbona huyu mdau haujamjibu?
 
Back
Top Bottom