Aladeen04
JF-Expert Member
- Sep 6, 2016
- 3,524
- 5,731
Ndani ya miezi miwili nimewaona Mbeya, Kigoma, na Dodoma pia. Yawezekana ikawa pia ni miezi yao ya kuja huku kwetu kuendeleza kazi walizozianzisha kabla."Muda mfupi" unataka kusemaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndani ya miezi miwili nimewaona Mbeya, Kigoma, na Dodoma pia. Yawezekana ikawa pia ni miezi yao ya kuja huku kwetu kuendeleza kazi walizozianzisha kabla."Muda mfupi" unataka kusemaje?
Wazungu wangapi wanakuja kwa mambo tofauti wewe umeona wahubiri tu?Inahusikaje na mada mkuu
Ndugu zetu walokole tafadhari Sana mtaniwia radhi.
Ukizunguka mikoa na Miji mbalimbali hapa Tanzania kuna mikutano ya Injili iliyoandaliwa na makanisa ya Kilokole na wahubiri ni wazungu kutoka nchi zenye Korona,tuwe makini hawa huenda Wana ajenda ya Siri.
Hawa mabwana nchi zao zimepiga marufuku raia wetu kwenda kwao kwamba tutawapelekea covid 19 na wakati huo huo wameiblakilisti nchi yetu kama nchi hatarishi sasa iweje wawaruhusu raia wao eti kuja kueneza Injili kwenye nchi hatarishi?
Msije shangaa wimbi la tatu likazuka ghafla na biashara ya chanjo ikafanyika.
Sijawahi wakubali hao wazungu wenu,huko kwao kuna mashoga kibao na wengine ni viongozi wao kwa nini wasiwahubirie hao? Huku Afrika kuna nyumbu sana hadi inatia hasira.
Tanzania hatujazuia mikusanyiko ndiyo maana rais anafanya mikutano ya hadharaNdugu zetu walokole tafadhari Sana mtaniwia radhi.
Ukizunguka mikoa na Miji mbalimbali hapa Tanzania kuna mikutano ya Injili iliyoandaliwa na makanisa ya Kilokole na wahubiri ni wazungu kutoka nchi zenye Korona,tuwe makini hawa huenda Wana ajenda ya Siri.
Hawa mabwana nchi zao zimepiga marufuku raia wetu kwenda kwao kwamba tutawapelekea covid 19 na wakati huo huo wameiblakilisti nchi yetu kama nchi hatarishi sasa iweje wawaruhusu raia wao eti kuja kueneza Injili kwenye nchi hatarishi?
Msije shangaa wimbi la tatu likazuka ghafla na biashara ya chanjo ikafanyika.
Sijawahi wakubali hao wazungu wenu,huko kwao kuna mashoga kibao na wengine ni viongozi wao kwa nini wasiwahubirie hao? Huku Afrika kuna nyumbu sana hadi inatia hasira.
Nami nakuunga mkono. Iko namna. Tuwe makini.Ndugu zetu walokole tafadhari Sana mtaniwia radhi.
Ukizunguka mikoa na Miji mbalimbali hapa Tanzania kuna mikutano ya Injili iliyoandaliwa na makanisa ya Kilokole na wahubiri ni wazungu kutoka nchi zenye Korona,tuwe makini hawa huenda Wana ajenda ya Siri.
Hawa mabwana nchi zao zimepiga marufuku raia wetu kwenda kwao kwamba tutawapelekea covid 19 na wakati huo huo wameiblakilisti nchi yetu kama nchi hatarishi sasa iweje wawaruhusu raia wao eti kuja kueneza Injili kwenye nchi hatarishi?
Msije shangaa wimbi la tatu likazuka ghafla na biashara ya chanjo ikafanyika.
Sijawahi wakubali hao wazungu wenu,huko kwao kuna mashoga kibao na wengine ni viongozi wao kwa nini wasiwahubirie hao? Huku Afrika kuna nyumbu sana hadi inatia hasira.
Songwe, Sumbawanga kote wamefikaNdani ya miezi miwili nimewaona Mbeya, Kigoma, na Dodoma pia. Yawezekana ikawa pia ni miezi yao ya kuja huku kwetu kuendeleza kazi walizozianzisha kabla.
Siko kwenye enterprise ya dini mkuu kwa hiyo sina any conflict of interestSema Tu unataka kugombania nao sadaka you aren't better than them they are crooks so as you
Kupenyeza virusi hatari vya Covid 19Injili yao ni ya upendo na amani haina viashiria vya kigaidi kabisa ,
Sasa wasiwasi wako unatokana na nini labda?
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] Acha mzaha mkuuInamaana mpaka leo haiujui nyungu ? Tulishaachana na mambo ya corona toka ,Mwezi Mei 2020 ambapo tulikuwa na jumla ya wagonjwa 509 na vifo 21 ambavyo vilisababishwa na hiyo corona !View attachment 1820768
Hao wazungu hawawavushi popote nduguMleta uzi kama una pepo au wivu wa dini ndivyo vinavyo kusumbua ushindwe na ulegee kabisaa..
Ona huyu nyumbu,ndio maana mnapigwa kwa kuuziwa bidhaa za upakoWazungu wangapi wanakuja kwa mambo tofauti wewe umeona wahubiri tu?
Una sumbuliwa na wivu, mafuta auziwe mwingine uwashwe weweOna huyu nyumbu,ndio maana mnapigwa kwa kuuziwa bidhaa za upako