figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
- #21
Noma sana..Noma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Noma sana..Noma
Hata shoga ana afadhali ukimkalia vibaya naye anakuweka!!!Yani ccm ni wapumbavu kiwango cha mwisho,unamuuzia mtu eneo avune wanyama halafu unasema muwekezaji?ccm ni sawa na mbupu la shoga
Wametumwa na Lema haoMungu wabariki Wazungu
Na Lema ametumetumwa na nani?Wametumwa na Lema hao
Umelamba sukari sio, kwa upunguani huu ulio nao.machokoraa wa kizungu wamebebeshwa mabango, acheni ushamba kwamba kila mgozi nyeupe ina hela
MakamuNa Lema ametumetumwa na nani?
Dr Mpango!Makamu
Astaghafillullah !!Salaam Wakuu,
Wale Wazungu waliotegemewa kuja Tanzania baada ya Movie ya Royal Tour, wamepinga Kitrndo cha Wamasai kuhamishwa kwani Ngorongoro ni ardhi yao.
Kama mnavyojua, Peter alitembezwa kwenye maboma ya Wamasai Ngorongoro.
Nasisitiza, kama kuna Mwarabu anataka kuwekeza Loliondo, aasmbiwe avute subira japo hadi 2030
View attachment 2257738
View attachment 2257806
Mungu wabariki WazunguNoma
Hizo bango zingine zimezoandikwa Tourism na Hunting nayo ni Palestine?"Give their land back" hii ni kampeni ya wapelestina kudai ardhi yao inahokaliwa kimabavu na waisraeli.
Haihusiani na Ngorongoro. Ngorongoro kuko shwari.
Wazungu wana andamana... Huko mbeya mkuu wa mkoa naye kaandamana kumpongeza Hangaya
Wewe utakuwa una wazimu kichwani kama hakishuki hadi tumboni!"Give their land back" hii ni kampeni ya wapelestina kudai ardhi yao inahokaliwa kimabavu na waisraeli.
Haihusiani na Ngorongoro. Ngorongoro kuko shwari.
Hivi unajua kusoma wewe."Give their land back" hii ni kampeni ya wapelestina kudai ardhi yao inahokaliwa kimabavu na waisraeli.
Haihusiani na Ngorongoro. Ngorongoro kuko shwari.
Hata kama huna akili usijiabishe hivi mbele ya kadamnasi Palestina na Maasai correlation iko wapi labda ungesema picha ziko photoshopped."Give their land back" hii ni kampeni ya wapelestina kudai ardhi yao inahokaliwa kimabavu na waisraeli.
Haihusiani na Ngorongoro. Ngorongoro kuko shwari.
Kuna taarifa kwamba Waarabu wamemwaga hela kama mchanga ili watetewe , nimedokezwa kwamba hata mimi nilisakwa sana ili nipewe mpunga lakini sikupatikana , sijui walinisakia wapi wallah !! unaambiwa hela wanayotoa ni sawa na kukatwa vidole 100 Zimbabwe !!Wewe utakuwa una wazimu kichwani kama hakishuki hadi tumboni!