Wahuni wame-editUko palestina kuna wamasai, naona bango la mwisho limewataja mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wahuni wame-editUko palestina kuna wamasai, naona bango la mwisho limewataja mkuu
Wahuni wame- editHata kama huna akili usijiabishe hivi mbele ya kadamnasi Palestina na Maasai correlation iko wapi labda ungesema picha ziko photoshopped.
Hakuna hotel hata moja ndani ya Crater boy,mimi nimebahatika kuitembelea hii hifadhi but sijawahi ona hotel hizo ndani ya shimo (Crater)hotel zote kubwa zimejengwa kwenye ring ya Crater sio ndani mf;Serena,Wildlife lodge,Sopa lodge na Luxury Tented lodges zote zipo kwa Ring sio ndani boyNarudia tena Ngorongoro inatakiwa iwe ya wanyama tu binadamu yoyote asiishi mle ndani na hoteli zote zilizomo ndani ya crater zivunjwe zijengwe nje ya crater au karatu na oldeani. Watalii watakuwa wanaingia crater na kutoka basi
Ila ujumbe umefika ulitaka wabebe matajiri,haohao wanyonge ndio wazuri kuwatumiaUkiwaangalia hao kwenye picha unaona hata kuna anayeijua hiyo Tanzania yenyewe.... Wamewachukua Homeless wamewapa vidola sijui chakula eti Wazungu wamepinga,
Aibu!!!
😁😁😁Yani ccm ni sawa na mbupu la shoga
Imebhugi wapi?Tatizo nyie Masai ni wa binafsi hamna nia njema na Serikali yetu ya kuwatunza wanyamapori kwa ajili ya generation na generations zijazo nyie mnawaza maziwa na ming'ombe yenu,hamtaki vitukuu vyenu vije vishuhudie urithi huu wa kipekee wa kidunia,nendeni Msomela Handeni Tanga mbona kuna malisho ya nyama zenu?Kiukweli serikali imebugi kuwaamisha wamasai huu ndo ukweli japo watatumia nguvu kuwaondoa
True 100%Msishabikie siasa chafu mnaaribu kazi kubwa inayofanywa na serikali
Wamasai hawawez kuendelea kubak ngorongoro kwa idadi ile
Kuhamisha makazi ni kitu cha kawaida
Leta ambayo haijaeditiwa tujue wameedit. Vinginevyo unaonekana unalopoka tuWahuni wame-edit
haohao wanyonge ndio wazuri kuwatumia
Sasa nani kaongelea mambo ya hela hapa?Machokoraa wa kizungu wamebebeshwa mabango, acheni ushamba kwamba kila mgozi nyeupe ina hela.
Kumbe na Palestina kuna Wamasai walionyang'anywa ardhi yao?"Give their land back" hii ni kampeni ya wapelestina kudai ardhi yao inayokaliwa kimabavu na waisraeli.
Haihusiani na Ngorongoro. Ngorongoro kuko shwari.
Mzungu sio mjinga kama bashite abebe bango hajui maudhui yake,kambebeshe wewe uone,kikubwa ujunbe umefikaKuwatumia!!!?
Kwa hiyo umekubali mmewapa vihela hao omba omba wa kizungu mkawabebesha mabango na kuwapiga picha,
Aibuuuuu.
Umefika wapi ?Mzungu sio mjinga kama bashite abebe bango hajui maudhui yake,kambebeshe wewe uone,kikubwa ujunbe umefika
Kwa mpalangeUmefika wapi ?