‘Wazungu wa Royal Tour’ wapinga Wamasai kuhamishwa

‘Wazungu wa Royal Tour’ wapinga Wamasai kuhamishwa

Imebhugi wapi?Tatizo nyie Masai ni wa binafsi hamna nia njema na Serikali yetu ya kuwatunza wanyamapori kwa ajili ya generation na generations zijazo nyie mnawaza maziwa na ming'ombe yenu,hamtaki vitukuu vyenu vije vishuhudie urithi huu wa kipekee wa kidunia,nendeni Msomela Handeni Tanga mbona kuna malisho ya nyama zenu?
Kumbuka zamani mlikuwa mnaruhusiwa kuingiza mifugo ndani ya kreta kwa ajili ya mifugo yenu kunywa maji but mkawa mnaingiza makundi makubwa ya mifugo bila utaratibu,taratibu wanyama walao nyama simba wakaanza kuwa adimu/kupatikana kwa shida ndani creta kwa sababu ya uoga.Uhifadhi kwa kuona hili ukawapiga marufuku kutoingiza mifugo ndani creta,leo tunashuhudia sharubu wamezagaa kila kona ya creta,zamani sharubu walikuwa wanaoneka barabara kuu but nyie mmetishia maisha yao wote wamerudi chini,wageni wanakutana na mikondoo,ming"ombe,mimbwa,mimbuzi,mipunda kihongwe,mapaka yenu barabara kuu,sasa huu ni utalii gani?
Bado watoto na vijana wenu wanakaa barabarani wanaomba wazungu chakula na maji ya kunywa"pliizii give me fudi".
Tokeni,waachie wanyamapori wajinafasi ndoo maana Mwingereza aliwafukuza Serengeti alijua kabisa nyie baadae mtakuwa tatizo ila akaona awasogeze karibu na lango la kutokea Karatu ili Karatu maisha yawashinde msogee manyara means kwa kusogea huko kwa miaka ile mngekulikuwa tayari mpo Handen tena kwa miguu sema mlibweteka,kenge nyie.
Wazungu ni bora kuliko sisi?
 
Kuna taarifa kwamba Waarabu wamemwaga hela kama mchanga ili watetewe , nimedokezwa kwamba hata mimi nilisakwa sana ili nipewe mpunga lakini sikupatikana , sijui walinisakia wapi wallah !! unaambiwa hela wanayotoa ni sawa na kukatwa vidole 100 Zimbabwe !!

Hatari kubwa !

Duuuu !!!
 
Kuna taarifa kwamba Waarabu wamemwaga hela kama mchanga ili watetewe , nimedokezwa kwamba hata mimi nilisakwa sana ili nipewe mpunga lakini sikupatikana , sijui walinisakia wapi wallah !! unaambiwa hela wanayotoa ni sawa na kukatwa vidole 100 Zimbabwe !!

Hatari kubwa !
Haya mambo watu wanayachukulia kama mzaha, lakini ni mambo serious kabisa. Tunarudishwa kwenye utumwa/ukoloni hivi hivi huku tukikenua meno!
 
"Give their land back" hii ni kampeni ya wapelestina kudai ardhi yao inayokaliwa kimabavu na waisraeli.
Haihusiani na Ngorongoro. Ngorongoro kuko shwari.
Also nashangaa hizo picha hazionyeshi ni maasai wa wapi nani tukio gani, ila wadau wanapandisha mapicha JF, tweeter nk kuaminisha watu.
 
"Give their land back" hii ni kampeni ya wapelestina kudai ardhi yao inayokaliwa kimabavu na waisraeli.

Haihusiani na Ngorongoro. Ngorongoro kuko shwari.
Kuna bango limeandkwa hapo"save Masai lands"
Kumbe palestina Ina wamasai....Safi Sana
 
Ukiwaangalia hao kwenye picha unaona hata kuna anayeijua hiyo Tanzania yenyewe.... Wamewachukua Homeless wamewapa vidola sijui chakula eti Wazungu wamepinga,

Aibu!!!
UMEJUAJE?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Salaam Wakuu,

Wale Wazungu waliotegemewa kuja Tanzania baada ya Movie ya Royal Tour, wamepinga Kitendo cha Wamasai kuhamishwa kwani Ngorongoro ni ardhi yao.

Kama mnavyojua, Peter alitembezwa kwenye maboma ya Wamasai Ngorongoro.

Nasisitiza, kama kuna Mwarabu anataka kuwekeza Loliondo, aambiwe avute subira japo hadi 2030

View attachment 2257738
View attachment 2257806
Ina maana wewe hujui tofauti ya eneo la Ngorongoro Crater na Loliondo? Si ungekaa kimya tu
 
Ina maana wewe hujui tofauti ya eneo la Ngorongoro Crater na Loliondo? Si ungekaa kimya tu
Naona hajui tofauti ya hayo maeneo ngoja tumueleweshe,kwanza kabisa Ngorongoro ni wilaya ambapo makao makuu ya wilaya hii yapo Loliondo Tarafa ya Loliondo jina la wilaya limetokana na kuwepo kwa eneo la kivutio cha crater ya Ngorongoro kilichopo Tarafa ya Ngorongoro ambayo ipo chini ya Mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro wakati eneo la Loliondo ni pori tengefu hayo ni maeneo mawili tofauti na issues zao zipo tofauti. Sheria iliyoanzisha Mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro iliruhusu uhifadhi na ufugaji wakati ule idadi wa watu katika eneo hili ilikuwa ndogo sasa hivi watu katika eneo hili wameongezeka sana kiasi cha kutishia uendelevu wa uhifadhi serikali ilikuwa na uamuzi wa kunyoa au kusuka,kuwaacha watu waendelee kuongezeka na kuua uhifadhi au kupunguza idadi ya watu katika eneo hili ili uhifadhi uendelee sambamba na ufugaji?
 
Mkuu wameniuzia kongolaa bora ningekunywa mchuz wa pweza. Hawa jamaa wanaharib miti yetu bure dawa zenyew hawazijui

[emoji23][emoji23]
Hawa ni masalia ya wamasai
Siku hizi unaweza kuta mzaramo kavaa shuka la kimasai na kazi inaenda
Utauziwa mpaka mkaa na chaki
 
Back
Top Bottom