Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Mkuu,Hao takataka wanaharibu sana tamaduni za watu.
Walitakiwa waachwe wajipeleke na ufirauni wao wakikutwa Huko wakatwe hizo shingo zao zisieleweka kama ni za kiume au za kike.
Huu utamaduni wa wazungu ni mbaya sana na kibaya zaidi wanatumia gharama kubwa na nguvu kubwa kuueneza.
Watu wema wasipokuwa makini waovu ndio wanaotaka kushika hatamu ya kila kitu huku wakitumia fedha kurubuni watawala na mashirika ya kutetea haki za shetani kuishi na wanadamu.
Hawapaswi TU kutengwa Bali hata kuomndolewa harakaharaka kabla ya hawajakimaliza kizazi cha kesho. Watu wote wakiwa mashoga na wasagaji kama wanavyotaka Dunia itakwenda wapi ? Yani wazazi wao wangekua mashoga wao wangetoka wapi?
Hawa mashoga ni watu wasio na huruma Wala mipango ya Kesho ya Dunia mana wanatamani watu wote wawe mashoga na wasagaji kama wao ili Dunia ifikie mwisho ibaki na wanyama TU binadamu atoweke Duniani. Sasa kuwahurumia watu kama Hawa ni kumhurumia shetani.
Hawa dawa yao ni Moja TU kupigwa vita kubwa sana kila mahali .
Hata hiyo soka ni mchezo wa Waingereza.
Sasa si mngeikataa nayo katika kuonesha hamzikubali tamaduni zao?
Kwa sasa naona mnawakataa kwa ile methali ya Kiswahili ya "Baniani mbaya, kiatu chake dawa".
Kuwakataa mnataka. Kuwakubali mnataka.
Hamjielewi mnataka nini.