Wazungu waanza kuambiana ukweli

Wazungu waanza kuambiana ukweli

Sijawai fuatwa nyumban kuhubiriwa ushoga au utamaduni wa wazungu , ni nyiny viherehere vyenu mnaoish kwa kuoga na ndo nyiny mnasema wanasambaza wkt mnajipeleka kuangalia mambo yao tena bila kuombwa
Umejaribu KUFANYA utafiti Kidogo ukajua Jinsi mtandao wao ulivyomkubwa kuanzia kwenye serikali taasisi za elimu Biashara n.k.
Unajua kuwa ulawiti ni ibada kabisa ya Kishetani na wanaeneza ibada hoyo kama ibada nyingine lakini Kwa Siri na Kwa fedha nyingi? Unajua Wanasiasa wengi ni wasagaji na wanaoitwa Chawa Nini kipo nyuma yake ? Unajua athari za Jambo baya kuvalishwa joho Zuri na kuachwa lisambae Kwa Watoto wadogo wasiojua jema na baya.?
Umewahi kufuatilia mienendo ya Vijana na Watoto wanavyokwenda? Umewahi Hata kuuliza Jinsi Kesi za Watoto kulawitiwa zinavyoongezeka Kwa wingi miaka ya Hiví Karibuni ? Umewahi kuuliza Walimu wanavyopata shida na Kesi za Watoto shuleni kulawitiana?
Unajua ni Kwa nini Nchi za Mashariki ya kati ziliweka Sheria Kali dhidi ya Ndoa za jinsia Moja na kuzipiga marufuku? Wanajua athari yake mana ni mambo AMBAYO yalienea sana na kuonenaka ni ya kawaidia mpaka wale mashujaa walioitwa Mitume na manabii walipokuja na kuanzisha vita za kutokomeza ibada za Kutoa makafara Watoto,ibada za masanamu ,ushoga ,uasherati, ushirikina ,Kwa kuwakata Vichwa Mashoga mana lengo lao ni baya kuliko mana wanalazimisha Kila MTU awe shoga.

Kuna Kisa Cha Sodoma na Gomora kwenye Biblia ambapo wataalamu Wa mambo ya kale wanasema walifikia Mahali pa wanaume WALIKUA wanatengengeza Duara Wa Mbele anaingiziwa dushe na wanyuma inakua ni mduara yaani wote ni Lazima uingie kwenye Huo mduara.
Uchafu Huo ukashamiri mpaka Muumbaji Wa Wanadamu yaani Mungu akawatuma Malaika kwenda Kwa Nabii ibrahimu cha ajabu Wale Mabasha wakataka kuwavamia na kuwafanyia ushenzi huo Bila Kujua kuwa wale WALIKUA ni Malaika.

Kwa hiyo suala la Ushoga ni jambo Hatari sana mana historia inaonyesha kuwa Hao takataka wanalazimisha Kila MTU awe hivyo walivyo wao.
Mabasha wanafanya mpaka wanawake kinyume na maumbile lengo lao ni kutaka kuwaaminisha watu kuwa hilo shimo la Mavi halina shida na ni Zuri kuliko. Watu wakishaamini hivyo basi wanaona kuwa shimo hilo LIPO pia Kwa Wanaume hivyo hakuna haja ya kuhangaika na wanawake ambao wameshawafanya kuwa Pasua kichwa na wao kuona kuwa Wanaume HAWANA umuhimu Tena kwenye jamii . Yote ni mipango Kabambe ya Mashoga na wasagaji kupitia mashirika ya kimataifa ya kutetea upumbavu Wa binadamu.
 
Wazungu mafala sana. Wanapenda kulazimisha dunia nzima tuishi kama wao.
 
Nadhani vitabu hivyo vya kishetani na majini ndivyo vimekuharibu ubongo! Mimi sijasema Yesu ni mzungu lakini ustaarabu wa sasa tulionao umeanzia Mashariki ya Kati. Hivyo miaka 2000 iliyopita wazungu hawakuhusika na cho chote katika dhulma walizofanyiwa waarabu wala waafrika, bali zilifanywa na waarabu wenyewe kwa wenyewe na waafrika miongoni mwao.

Kuwahusisha wazungu na mateso waliyopata waarabu na waafrika miaka hiyo ni ukilaza na ujinga usio na viwango!
Miafrika mijinga sana imepumbazwa na waarabu mpaka kuhusi waarabu ni wema kumbe ndyo makatiri since kuumbwa Kwa ulimwengu. Mzungu ndiyo aliabolishe slave trade baada ya kufanya Kwa miaka mingi na weusi wakishirikiana na warabu. Hiyo north Africa ilikuwa ardhi ya weusi tupu waarabu kutokea middle east wakavamia na kuua sana weusi mpaka wakajimilikisha ardhi. Kuna mengi ya kuongea ngoja niwape nafasi wavaa kobazi waseme neno
 
Soccer as it is played today ni mchezo wa Waingereza.

Wao ndio walioweka sheria za kucheza, walioanzisha Football association ya kwanza etc.

Kwa hivyo, ukicheza soccer leo, hii ya FIFA, unacheza mchezo wa Waingereza.

Sasa habari ya kushadadia unapinga utamaduni wa kigeni wakati unafurahia kucheza soka ni contradiction.



Sifa za culture (utamaduni) ni kubadilika badilika kulingana na muda, hivyo hata kama mpira ni utamaduni wa Mwingereza (although soccer ilianzia China na kupokelewa na Uingereza kuweka sheria). Kwahiyo utamaduni wa mchezo mpira ulikubali kupokelewa na mataifa mengine kwa hiari kabisa na sio kwa campaign, ulaghai, ufedhuli, hujuma n.k kama hizo tamaduni zingine za wamaghalibi. Civilization ya kwanza ni kukubali, kuheshimu utaratibu wa mwenzako hadi pale watu wao husika watakapo ona haifai bila kushinikizwa kwa vyovyote.
 
Kama QATAR walikubali kuwa wenyeji wa soccer kwa ngazi ya FIFA world cup na soccer ni dhambi kwa mjibu wa imani ya uislam basi waendelee kukubali na dhambi zingine zinazoambatana na soccer vinginevyo naunga mkono waache unafiki
kabisa
 
Sifa za culture (utamaduni) ni kubadilika badilika kulingana na muda, hivyo hata kama mpira ni utamaduni wa Mwingereza (although soccer ilianzia China na kupokelewa na Uingereza kuweka sheria). Kwahiyo utamaduni wa mchezo mpira ulikubali kupokelewa na mataifa mengine kwa hiari kabisa na sio kwa campaign, ulaghai, ufedhuli, hujuma n.k kama hizo tamaduni zingine za wamaghalibi. Civilization ya kwanza ni kukubali, kuheshimu utaratibu wa mwenzako hadi pale watu wao husika watakapo ona haifai bila kushinikizwa kwa vyovyote.
Sawa kabisa isipokuwa kwa hoja yako Qatar kakubali kuwa mwenyeji wa FIFA world cup ambapo pombe na ujinga mwingine kama unaruhusiwa vile na si sehemu ya utamaduni wake. Kwa upande mwingine Qatar naye kama mwenyeji ana utamaduni wake. sasa nani afate wa mwenzake? nani aliuziwa mbuzi kwenye gunia kwa maana hakujua utamdaduni wa mwenzake kabla ya kuingia makubaliano.
 
Sawa kabisa isipokuwa kwa hoja yako Qatar kakubali kuwa mwenyeji wa FIFA world cup ambapo pombe na ujinga mwingine kama unaruhusiwa vile na si sehemu ya utamaduni wake. Kwa upande mwingine Qatar naye kama mwenyeji ana utamaduni wake. sasa nani afate wa mwenzake? nani aliuziwa mbuzi kwenye gunia kwa maana hakujua utamdaduni wa mwenzake kabla ya kuingia makubaliano.
Kwa hiyo kesho waje wa Jamaica sisi utamaduni wetu kuvuta bangi waje wa Kenya na sisi mirungi tamaduni zetu tuacheni uhuru wetu au sio? Leo FIFA kanifurahisha kawambia vaeni hizo alama ya ushoga mtapigwa yellow card kabla ya game na msipovua red mbona wamesalimu amri wenyewe. Ukienda nyumba ya mtu heshimu nyumba ya watu ni rahisi tu.
 
Acha kutuingiza mkenge bhanaa, nyie mnaoamini hakuna Mungu kimsingi ni devil worshipers.....nothing less..
Thibitisha Mungu yupo.

Mimi siamini huyo devil yupo, sasa nitamu worship vipi wakati siamini kwamba yupo?

Wewe mjinga sana, ndiyo maana unatoa madai ambayo huwezi kuyatetea kimantiki.
 
Sifa za culture (utamaduni) ni kubadilika badilika kulingana na muda, hivyo hata kama mpira ni utamaduni wa Mwingereza (although soccer ilianzia China na kupokelewa na Uingereza kuweka sheria). Kwahiyo utamaduni wa mchezo mpira ulikubali kupokelewa na mataifa mengine kwa hiari kabisa na sio kwa campaign, ulaghai, ufedhuli, hujuma n.k kama hizo tamaduni zingine za wamaghalibi. Civilization ya kwanza ni kukubali, kuheshimu utaratibu wa mwenzako hadi pale watu wao husika watakapo ona haifai bila kushinikizwa kwa vyovyote.
Hao Qatar ambao wanakubali vitu, halafu wanavikataa masaa 48 kabla ya mashindano kuanza si walaghai, wafedhuli, wahujumu?

Unaelewa kwamba hata kama mtu hakubaliani na tamaduni moja kuingilia nyingine, Qatar wamefanya uhuni?
 
Thibitisha Mungu yupo.

Mimi siamini huyo devil yupo, sasa nitamu worship vipi wakati siamini kwamba yupo?

Wewe mjinga sana, ndiyo maana unatoa madai ambayo huwezi kuyatetea kimantiki.
It is either you worship God or the devil, nothing in between....kwa kuwa wewe umeshakiri huamini uwepo wa Mungu, then automatically you are a devil worshiper...because whatever is outside God realm is devilish......
 
Hao Qatar ambao wanakubali vitu, halafu wanavikataa masaa 48 kabla ya mashindano kuanza si walaghai, wafedhuli, wahujumu?

Unaelewa kwamba hata kama mtu hakubaliani na tamaduni moja kuingilia nyingine, Qatar wamefanya uhuni?

Sina Imani kama Qatar wamepata hiyo pesa na kuishia juu kwa juu. Lazima hiyo pesa watakua wamei-reimburse au negotiation yoyote hiyo tuhuma kubwa sana to go through
 
Mkuu,

Hata huo mchezo wa soccer si utamaduni wa Waarabu.

Huo ni mchezo uliotokea Uingereza.

Sasa, huoni kwamba hata huo mchezo kwenda kufanya World Cup Qatar ni kuruhusu kusambaa kwa ustaarabu wa Muingereza Qatar?

Kwani Waarabu hawana michezo yao?

Kwa nini wanaruhusu michezo ya Waingereza Qatar iende kusambaza utamaduni wa Waingereza?
Ustaarabu wa muingereza ulishasambaa hapo Qatar. Kwani ni nani aliyeiunda hiyo nchi ya Qatar kama si muingereza? Nani anaezoa mafuta yao kwa wingi kama siyo hayo makampuni ya kiingereza, ulaya na marekani? Waarabu wanayo michezo yao lakini mbona mashindano ya magari (grand prix) yanafanyika katika moja ya nchi za arabuni?
 
It is either you worship God or the devil, nothing in between....kwa kuwa wewe umeshakiri huamini uwepo wa Mungu, then automatically you are a devil worshiper...because whatever is outside God realm is devilish......
Thibitisha Mungu yupo.

Hujathibitisha.

Kusema tu kwamba Mungu nisipimuamini automatically namuabudu huyo devil hakuthibitishi Mungu yupo wala hakuthibitishi devil yupo.

Thibitisha Mungu yupo.
 
Sina Imani kama Qatar wamepata hiyo pesa na kuishia juu kwa juu. Lazima hiyo pesa watakua wamei-reimburse au negotiation yoyote hiyo tuhuma kubwa sana to go through
Tatizo bado unaongelea imani... na lazima itakuwa... bila kufanya uchunguzi hata mdogo tu kuhusu haya mambo ambayo yapo mitandaoni.

Hili ni tatizo kubwa.

Halafu pia, reimbursement inaweza kuwa si issue kwa mambo ambayo watu wametumia muda na resources nyingine tayari.

Kama utamaduni wako hautaki bia sawa.

Kwa nini unasubiri masaa 48 kabla michezo kuanza kusema hilo?
 
Ustaarabu wa muingereza ulishasambaa hapo Qatar. Kwani ni nani aliyeiunda hiyo nchi ya Qatar kama si muingereza? Nani anaezoa mafuta yao kwa wingi kama siyo hayo makampuni ya kiingereza, ulaya na marekani? Waarabu wanayo michezo yao lakini mbona mashindano ya magari (grand prix) yanafanyika katika moja ya nchi za arabuni?
Mimi nawashangaa wanavyojifaragua kwa style ya "Baniani mbaya, kiatu chake dawa".
 
Ww hujui historia ya michezo SEMA wao walichofanya ni improvements/ modern footballs lakn historia ya michezo yote haikuanzishwa na waingereza kabla ya uingereza michezo ilikuepo nenda kasome
 
Back
Top Bottom