Wazungu waanza kuambiana ukweli

Wazungu waanza kuambiana ukweli

Hujajibu swali nililouliza kuhusu Ufaransa.

Unalianzisha kuhusu Ufaransa halafu ukibanwa unabadilisha topic?
Wewe ukibanwa unapiga block mtu,sasa hapo nani mwenye nafuu kati yako na yeye?

Punguza ujuaji uelimishwe.
 
Waarabu mashoga sana , hata hii mechi ya ufunguz nmewaona wawili ila wamevaa kanz
Mashoga hua mnajuana sio?

Wazazi wako wana hasara kubwa sana,Qatar nchi yao iko mbali sana,endelea kuteseka huku ukitafuna muhogo chini ya mti.
 
Mwanaume akiwa na msimamo anavutia, mashoga wasubiri kombe liishe,wakaoane huko kwao.
Huu upuuzi umesambaa dunia nzima mpaka kuongelewa kiasi hiki?

Ukute na hapa kwenye huu uzi mashoga wapo mtaona comments zao.

Sina shida na pombe ila ushoga hapana
 
Swagger jacking ni kitendo cha mtu kuiba swagger ya mtu mwingine. A special sort if "culture appropriation".

Yani, mtu si gay, ameshiriki katika kuhakikisha gays wamefunikwa huko Qatar.

Halafu anakuja bila aibu anajifanya amesimama na ushirikiano na gays anajiona na yeye kama gay.

Ameyatumia maumivu ya gays kutengwa kwa faida yake ya kisiasa, kibaya zaidi, na yeye kashiriki katika kuwakandamiza hao gays wafunikwe kama wakoma huko Qatar.

Yani hata kama mtu hukubaliani na gays, unatakiwa uone kwamba huyu jamaa ana hadaa ya hali ya juu.

Bora asingewataja tu hao gays akasema tu mambo kivyakevyake.

Yani haiwezekani yeye mtu mmoja awe kiongozi wa FIFA iliyokubali gays wapigwe marufuku World Cup, halafu hapo hapo anajidai kusimama pamoja na gays.

It is sheer hypocrisy.
hawajapigwa marufuku,

kila nchi ina policies zake pia.

kwa nini Xavi alizuiwa kuingia US ??
 
Halafu ieleweke hawajazuia Pombe,

But wameweka utaratibu maalum wa kunywa pombe ktk maeneo maalum.
 
Mkuu,

Hata hiyo soka ni mchezo wa Waingereza.

Sasa si mngeikataa nayo katika kuonesha hamzikubali tamaduni zao?

Kwa sasa naona mnawakataa kwa ile methali ya Kiswahili ya "Baniani mbaya, kiatu chake dawa".

Kuwakataa mnataka. Kuwakubali mnataka.

Hamjielewi mnataka nini.
Kwa nini wanatumia nguvu KUBWA kueneza ushoga?

Hivi hujiulizi watu wote wakiwa mashoga kizazi cha kiumbe binadam kitaendelea kuwepo Duniani?:
JIBU ni Hapana?
Sasa Kwa nini tuwapende na kuwaonea huruma watu wanaotaka kumwanzamiza na binadamu Duniani? Ni wehu tu ndio wanaosapoti harakati za kueneza ushoga na usagaji.

Lakini pia mpira ulianza kuchezwa china Karne nyingi. Tatizo haukua na kanuni maalumu Mwingereza aliuwekea kanuni Baadae ya kuuiba.
 
Kwa nini unafikiria watu wote bilion 8 duniani wanaweza kuwa mashoga na wasagaji ?
Wanaweza mana wamejipenyeza kwenye Sekta muhimu na wanatumia fedha nyingi kuueneza.
Kama ni hulka au ulemavu Wa MTU Kwa Nini watumie nguvu kuueneza? Fuatilia uone Jinsi watoto na Vijana wanavyolawitiana Kwa Kasi KUBWA? Kuna Biashara Gani nyuma ya ushoga?
 
Wewe unaweza kushawishiwa kuwa shoga?
Kwa kupewa mali au fedha?
Wanaweza mana wamejipenyeza kwenye Sekta muhimu na wanatumia fedha nyingi kuueneza.
Kama ni hulka au ulemavu Wa MTU Kwa Nini watumie nguvu kuueneza? Fuatilia uone Jinsi watoto na Vijana wanavyolawitiana Kwa Kasi KUBWA? Kuna Biashara Gani nyuma ya ushoga?
 
Unamfahamu mtu yeyote aliyeshawishwa kuwa shoga kwa fedha za wazungu?
Wanaweza mana wamejipenyeza kwenye Sekta muhimu na wanatumia fedha nyingi kuueneza.
Kama ni hulka au ulemavu Wa MTU Kwa Nini watumie nguvu kuueneza? Fuatilia uone Jinsi watoto na Vijana wanavyolawitiana Kwa Kasi KUBWA? Kuna Biashara Gani nyuma ya ushoga?
 
Swagger jacking ni kitendo cha mtu kuiba swagger ya mtu mwingine. A special sort if "culture appropriation".

Yani, mtu si gay, ameshiriki katika kuhakikisha gays wamefunikwa huko Qatar.

Halafu anakuja bila aibu anajifanya amesimama na ushirikiano na gays anajiona na yeye kama gay.

Ameyatumia maumivu ya gays kutengwa kwa faida yake ya kisiasa, kibaya zaidi, na yeye kashiriki katika kuwakandamiza hao gays wafunikwe kama wakoma huko Qatar.

Yani hata kama mtu hukubaliani na gays, unatakiwa uone kwamba huyu jamaa ana hadaa ya hali ya juu.

Bora asingewataja tu hao gays akasema tu mambo kivyakevyake.

Yani haiwezekani yeye mtu mmoja awe kiongozi wa FIFA iliyokubali gays wapigwe marufuku World Cup, halafu hapo hapo anajidai kusimama pamoja na gays.

It is sheer hypocrisy.
Yeye si Gay
 
nyie si mnasema mpira ni dhambi? tatizo mmejawa na unafiki
Kama QATAR walikubali kuwa wenyeji wa soccer kwa ngazi ya FIFA world cup na soccer ni dhambi kwa mjibu wa imani ya uislam basi waendelee kukubali na dhambi zingine zinazoambatana na soccer vinginevyo naunga mkono waache unafiki
 
Kuna dini halafu kuna utamaduni hvyo ni vitu viwil tofaut ukisema utamadun bc hata kuvaa surual ni utamaduni wa wazungu na utamaduni wa waarabu ni kuvaa kanzu,
swali: sisi tusiovaa kanzu tunavaa surual sio waislam?
Mkuu ni ngumu sana kutenga dini na utamaduni
 
hawajapigwa marufuku,

kila nchi ina policies zake pia.

kwa nini Xavi alizuiwa kuingia US ??
Unajua swagger jacking ni nini?

Yani hata kama gays hawajapigwa marufuku, mtu ambaye si gay kujisema yeye ni kama gay ni kosa.

Wewe unaweza kusema kuwa wewe ni kama gay?

Unaelewa hata point yangu ya swagger jacking ni ipi?
 
Kwa nini wanatumia nguvu KUBWA kueneza ushoga?

Hivi hujiulizi watu wote wakiwa mashoga kizazi cha kiumbe binadam kitaendelea kuwepo Duniani?:
JIBU ni Hapana?
Sasa Kwa nini tuwapende na kuwaonea huruma watu wanaotaka kumwanzamiza na binadamu Duniani? Ni wehu tu ndio wanaosapoti harakati za kueneza ushoga na usagaji.

Lakini pia mpira ulianza kuchezwa china Karne nyingi. Tatizo haukua na kanuni maalumu Mwingereza aliuwekea kanuni Baadae ya kuuiba.
Soka kama inavyochezwa leo ni mchezo wa Waingereza.

Na kama hutaki utamaduni wa kigeni ukuingilie, hutaki soka ikuingilie, na Qatar hata kwa kuruhusu soka wanakosea.

Soccer is a global game. Ukitaka ku host World Cup, ni muhimu sana kukubali tamaduni zote kubwa za dunia.

Na kama una matatizo na tamaduni fulani kubwa za dunia, unaweza kubaki na tamaduni zako kwa kukataa ku host World Cup.

Kutaka ku host World Cup na hapo hapo ukatae tamaduni zinazoenea sana duniani ni unrealistic.

Hapo, unatafuta vita tu.

Tumalize hili kwanza kabla ya yote.
 
Back
Top Bottom